Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,514
- 14,238
karibu kamanda
wanawake ndio wanakuwa na kinyongo cha milele, otherwise kama unapumuliwa kisogoni hapo utakuwa sawa kwa kauli yakoKafulila siyo sisimizi tena?
Ww unafangasi kichwaniEmbu acha dharau wwe ina maana kafulila 2015 laisaidiwa na zitto?? Kma sio NEC kuingiliwa na uhuni hadi kulazimisha warudie kuhesabu ndio kulisababish asiwepo mjengoni ila tuliokuwepo jimboni tunajua alishinda
Kma zitto ndio kila kitu kigoma mbona jimbo lake la kigoma kaskazini act haikushinda?? Mbona kwa mchali hakumsaidia kushinda??? Kwenye jimbo la kafulila act ilisimamisha mgombea kma zitto ndo kila kitu mbona act haikushinda zaidi mgombea wao aliachwa kura takribani 20,000 na kafulila???
Namkubali sana zitto ila sio kwa dharau hizi Kafulila wa 2010 sio wa 2015 sahvi ana CV nzito ma political experience kubwa hasa hoja zake nzito kipindi akiwa bungeni iweje umdharau hivi?? Leo hii ukisimamishwa naye nani watakuwa na shauku ya kukuskiliza wwe wamuache yye??
Subiri wakikutupa tena kwenye gorofa, utamlilia nani tena
Una uhakika chama kina demokrasia na maendeleo pia yapo? ?karibu mkuu kwenye chama cha demokrasia.
swissme
Una uhakika chama kina demokrasia na maendeleo pia yapo? ?
Mimi ni mwanachama halali wa CHADEMA, nina haki ya kufanya hivyo.Yani hata wewe unamakribisha Kafulila Chadema? Hahahahaha.... Maajabu makubwa haya
Habari za uhakika hata muanzilishi wa mahakama hiyo ni fisadi mkuu!! Muache ajiloge akamate watu kwa visasi kama hajaitwa kwa pilato aliyemchagua!! wanamuogopa kama ukoma yule guru wa sheria Tundu Antipas Mugwai Lissu!! chiboko cha dikteta uchwaraUkisema Chama Cha Mafisadi una maanisha CCM!!!!!!!!
Hongera sana kwa kulitambua hili na ndio maana hadi leo mahakama ya mafisadi haijaanza kufanya kazi kwani tuliaahidiwa kuwa jamaa wakiingia Ikulu jambo la kwanza kula sahani moja na mafisadi kumbe baadaye wakaona ni habari nzito, kwani asilimia kubwa ya mafisadi wapo ndani ya CCM.
NANI AMFUNGE PAKA KENGELE????????
Sawa mkuu nina fangasi kichwani ila tujifunze kuheshim kutofautiana mawazo na ndio kipimo cha juu zaidi cha uzalendo kwenye taifa.Ww unafangasi kichwani