white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,618
- 13,890
Mbona wenye kuelewa hawajapata shida wamenielewa!!Wapi mada imesema Ukawa ni chama cha siasa?
Mbona wenye kuelewa hawajapata shida wamenielewa!!Wapi mada imesema Ukawa ni chama cha siasa?
Tofautisha kuelewa na kupuuzaMbona wenye kuelewa hawajapata shida wamenielewa!!
Naona mnaumia sana!! Tulia daea ikuingie gamba weweKama angepata ubunge angehamia CHADEMA? Jibu hapana.
Kwa nini anadhani CHADEMA ni bora kuliko NCCR-Mageuzi wakati ukisimamishwa kugombea na NCCR-Mageuzi unapigiwa kampeni na vyama vilivyoko Ukawa.
Kwa hiyo anatupa ujumbe kuwa NCCR-Mageuzi limebaki jina tu ndani ya UKAWA.
Nini hatima ya Ukawa nchini? Au ndio kama yale madai yanayosema Tanganyika imevaa koti la Muungano!
Kwa sasa CHADEMA imevaa koti la Ukawa!
Aliyemwita sisizi alihamia CCM dakika za mwisho kisha wakamsepasha kula bata!! Ni muda muafaka sasa wa yeye kurudi na kuyaendeleza yale anayoyaamini.Kafulila siyo sisimizi tena?
Ukawa ndani ya ukawaNamshukuru Mungu kwa siku ya leo kurejea CHADEMA rasmi. Kwa heshima kubwa Namshukuru Mungu kwa tukio la leo.
Namshukuru sana Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa heshima kwa kunikabidhi kadi mbele ya kikao muhimu cha Kamati Kuu leo jijini Mwanza.
Ninaawaahidi wanachadema na wazalendo wote mnaopigania mabadiliko ya taifa hili kuwa nitatumia nguvu na akili yangu kuchangia mabadiliko tunayoamini!
Ni wito wangu kwa wazalendo wote tuunganishe nguvu CHADEMA kuliokoa taifa letu linalopita nyakati ngumu kiuchumi na majaribu makubwa kiuongozi.
Hah hah njaa bana kwanini arudi Chadema na asiende CUF au abaki NCCR akabiliane na bosi wake au aende ACT,shida hapa ni kuwatumia wapiga debe wa BAVICHA ili wamsaidie kuzungusha mikono apate tena ubunge,baado kijana anaota tamu ya kuwa mbunge tena,kala matapishi yake.Namshukuru Mungu kwa siku ya leo kurejea CHADEMA rasmi. Kwa heshima kubwa Namshukuru Mungu kwa tukio la leo.
Namshukuru sana Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa heshima kwa kunikabidhi kadi mbele ya kikao muhimu cha Kamati Kuu leo jijini Mwanza.
Ninaawaahidi wanachadema na wazalendo wote mnaopigania mabadiliko ya taifa hili kuwa nitatumia nguvu na akili yangu kuchangia mabadiliko tunayoamini!
Ni wito wangu kwa wazalendo wote tuunganishe nguvu CHADEMA kuliokoa taifa letu linalopita nyakati ngumu kiuchumi na majaribu makubwa kiuongozi.
Kala mitapishi yake ,kwa taarifa heri ya jana kuliko leo Kafulila,kufulia kwako ndio kunaanza safari ya milele,na kamwe hupati tena ubunge ,ukidhani kuwa Chadema ndio njia ya kulitwaa tena jimbo ulilolopoteza.Natumaini hutaondoka tena. Karibu Nyumbani mwana mpotevu!