Mmmmhhh naona Kafulila ameamua kula matapishi yake. Kajiunga na chama chenye watuhumiwa wa ufisadi!ana roho ngumu sana. Njaa itatupeleka pabaya wajameni. Hajatueleza kwa nini amemuacha bwana Mbatia peke yake. Au ndio kampeni za kuua vyama dhaifu kama nccr. Mungu atuhurumieNamshukuru Mungu kwa siku ya leo kurejea CHADEMA rasmi. Kwa heshima kubwa Namshukuru Mungu kwa tukio la leo. Namshukuru sana Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa heshima kwa kunikabidhi kadi mbele ya kikao muhimu cha Kamati Kuu leo jijini Mwanza. Ninaawaahidi wanachadema na wazalendo wote mnaopigania mabadiliko ya taifa hili kuwa nitatumia nguvu na akili yangu kuchangia mabadiliko tunayoamini! Ni wito wangu kwa wazalendo wote tuunganishe nguvu CHADEMA kuliokoa taifa letu linalopita nyakati ngumu kiuchumi na majaribu makubwa kiuongozi.
Je Kafulila aliyekabidhiwa kadi na Mbowe leo ni yule yule aliyemtuhumu Mbowe kuwa alimuua Wangwe au ni mwingine? Tena akapanga maandamano Dar wakati viongozi wa CHADEMA wakiwa Tarime kwa kampeni za uchaguzi mdogo wa Ubunge kufuatia kifo cha Wangwe. Na yote hayo lengo ni kuonyesha Mbowe hafai kuwa mwenyekiti na kuwa Zitto alitakiwa achukue uenyekiti. Kama ndio Kafulila huyo huyo basi wengine hatuiwezi siasaIla apunguze ukigoma .... (ubishi ) usio na tija
na kujiona ni bora.... atulie na kujenga chama... namkubali sana huyu jamaa tatizo tu ni Kale ka UKigoma ajakaacha.... Kafulila this time kaache Malagalasi tafadhali..... karibu nyumbani....
Namshukuru Mungu kwa siku ya leo kurejea CHADEMA rasmi. Kwa heshima kubwa Namshukuru Mungu kwa tukio la leo. Namshukuru sana Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa heshima kwa kunikabidhi kadi mbele ya kikao muhimu cha Kamati Kuu leo jijini Mwanza. Ninaawaahidi wanachadema na wazalendo wote mnaopigania mabadiliko ya taifa hili kuwa nitatumia nguvu na akili yangu kuchangia mabadiliko tunayoamini! Ni wito wangu kwa wazalendo wote tuunganishe nguvu CHADEMA kuliokoa taifa letu linalopita nyakati ngumu kiuchumi na majaribu makubwa kiuongozi.
Kama Msindai angepata ubunge angerudi CCM? Jibu Hapana. Na wale wenye "mkia" mbona mkubwa wao kateuliwa balozi? Hivi mnajielewa kweli?Kama angepata ubunge angehamia CHADEMA? Jibu hapana.
Kwa nini anadhani CHADEMA ni bora kuliko NCCR-Mageuzi wakati ukisimamishwa kugombea na NCCR-Mageuzi unapigiwa kampeni na vyama vilivyoko Ukawa.
Kwa hiyo anatupa ujumbe kuwa NCCR-Mageuzi limebaki jina tu ndani ya UKAWA.
Nini hatima ya Ukawa nchini? Au ndio kama yale madai yanayosema Tanganyika imevaa koti la Muungano!
Kwa sasa CHADEMA imevaa koti la Ukawa!
Namshukuru Mungu kwa siku ya leo kurejea CHADEMA rasmi. Kwa heshima kubwa Namshukuru Mungu kwa tukio la leo. Namshukuru sana Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa heshima kwa kunikabidhi kadi mbele ya kikao muhimu cha Kamati Kuu leo jijini Mwanza. Ninaawaahidi wanachadema na wazalendo wote mnaopigania mabadiliko ya taifa hili kuwa nitatumia nguvu na akili yangu kuchangia mabadiliko tunayoamini! Ni wito wangu kwa wazalendo wote tuunganishe nguvu CHADEMA kuliokoa taifa letu linalopita nyakati ngumu kiuchumi na majaribu makubwa kiuongozi.
Karibu home KakaNamshukuru Mungu kwa siku ya leo kurejea CHADEMA rasmi. Kwa heshima kubwa Namshukuru Mungu kwa tukio la leo. Namshukuru sana Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa heshima kwa kunikabidhi kadi mbele ya kikao muhimu cha Kamati Kuu leo jijini Mwanza. Ninaawaahidi wanachadema na wazalendo wote mnaopigania mabadiliko ya taifa hili kuwa nitatumia nguvu na akili yangu kuchangia mabadiliko tunayoamini! Ni wito wangu kwa wazalendo wote tuunganishe nguvu CHADEMA kuliokoa taifa letu linalopita nyakati ngumu kiuchumi na majaribu makubwa kiuongozi.
Hapana mkuu naona ni bora ili tuwe na chama kimoja kikubwa kuliko utitiri wa vyama ikiwezekana hta kina mbowe waivunje chadema na mtatiro aivunje cuf waunde chama kimoja chenye nguvu maana Ukawa haupo kisheria na katiba mpya ambayo ingeweza kutambua coallition za kisiasa ndo imeota mbawa so naona ni kma transition ya kuelekea chama kimoja cha upinzani bara na zanzibar.Kama angepata ubunge angehamia CHADEMA? Jibu hapana.
Kwa nini anadhani CHADEMA ni bora kuliko NCCR-Mageuzi wakati ukisimamishwa kugombea na NCCR-Mageuzi unapigiwa kampeni na vyama vilivyoko Ukawa.
Kwa hiyo anatupa ujumbe kuwa NCCR-Mageuzi limebaki jina tu ndani ya UKAWA.
Nini hatima ya Ukawa nchini? Au ndio kama yale madai yanayosema Tanganyika imevaa koti la Muungano!
Kwa sasa CHADEMA imevaa koti la Ukawa!