Kafulila: Nimerejea CHADEMA rasmi leo

Kafulila: Nimerejea CHADEMA rasmi leo

Ila apunguze ukigoma .... (ubishi ) usio na tija
na kujiona ni bora.... atulie na kujenga chama... namkubali sana huyu jamaa tatizo tu ni Kale ka UKigoma ajakaacha.... Kafulila this time kaache Malagalasi tafadhali..... karibu nyumbani....
kigoma ni nchi, weka heshima mbele

just like zanzibar
 
Kilichokuondoa CDM ni nini? Na kinachokufanya urudi CDM ni nini?
 
Mkuu karibu sana huku na najua kuna 'vinyamkera' vitakubeza sana humu ila achana navyo ni vijibwa vya mtaani havina madhara. wewe ni JEMBE na wanakujua, karibu mno.
 
Yaani F6 anasema atachangia maendeleo ya taifa. Huu ni umburura mwingine.

Siasa za Tanzania hazina kipimo cha nani mkweli.
 
Namshukuru Mungu kwa siku ya leo kurejea CHADEMA rasmi. Kwa heshima kubwa Namshukuru Mungu kwa tukio la leo.

Namshukuru sana Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa heshima kwa kunikabidhi kadi mbele ya kikao muhimu cha Kamati Kuu leo jijini Mwanza.

Ninaawaahidi wanachadema na wazalendo wote mnaopigania mabadiliko ya taifa hili kuwa nitatumia nguvu na akili yangu kuchangia mabadiliko tunayoamini!

Ni wito wangu kwa wazalendo wote tuunganishe nguvu CHADEMA kuliokoa taifa letu linalopita nyakati ngumu kiuchumi na majaribu makubwa kiuongozi.

hapa inakuwa kigugumizi kwa baadhi ya members kwani username iliyotumika kuleta habari hii siyo ya kafulila. Huyu Mwita ni nani au ni mtu amemuwakilisha kufikisha ujumbe hapa.

Subiri.jpg
 
Back
Top Bottom