Kafulila: Nimerejea CHADEMA rasmi leo

Kafulila: Nimerejea CHADEMA rasmi leo

Ukawa hiyo. NCCR ndo inakufa taratibu na CUF inapumulia mirija. Ngoja tuone picha stealing mamvi +mbowe.
 
hongera kwa kuamua maamuzi magumu..labda umejigundua kuwa ni kweli wewe ni sisimizi tu..
 
Kama angepata ubunge angehamia CHADEMA? Jibu hapana.

Kwa nini anadhani CHADEMA ni bora kuliko NCCR-Mageuzi wakati ukisimamishwa kugombea na NCCR-Mageuzi unapigiwa kampeni na vyama vilivyoko Ukawa.

Kwa hiyo anatupa ujumbe kuwa NCCR-Mageuzi limebaki jina tu ndani ya UKAWA.

Nini hatima ya Ukawa nchini? Au ndio kama yale madai yanayosema Tanganyika imevaa koti la Muungano!

Kwa sasa CHADEMA imevaa koti la Ukawa!
Hayo maswali ya nini hatma ya UKAWA unayaelekeza kwa Kafulila kwani ndiye mratibu wa UKAWA?
 
Nadhani huyu analenga kwenda kugombea kule kwa yule mbunge aliyefungwa miezi sita....ama kweli kufa kufaana!
Miezi sita na siku 1 Lijualikali alikuwa anapoteza ubunge wake bahati mbaya hakimu alishindwa kusoma sheria hiyo akatoa miezi 6 net pole sana mkuu
 
Ni swali chokonozi juu ya mustakabali wa Ukawa na malengo yake.Inakuwaje member wa Nccr wanahamia Chadema?Ikiwa Ukawa wana nia na lengo moja iwenye chama kimoja ndani ya Ukawa kiendelee kuwanyonya wanachama wa vyama vingine ndani ya Umoja huu?
 
Ni swali chokonozi juu ya mustakabali wa Ukawa na malengo yake.Inakuwaje member wa Nccr wanahamia Chadema?Ikiwa Ukawa wana nia na lengo moja iwenye chama kimoja ndani ya Ukawa kiendelee kuwanyonya wanachama wa vyama vingine ndani ya Umoja huu?
Hapo ndio utajua kuwa ndio maana wauza maduka wengi ni kinamangi, maana wanajua biashara kupita kabila lolote lile hapa ulimwenguni
 
Kama Msindai angepata ubunge angerudi CCM? Jibu Hapana. Na wale wenye "mkia" mbona mkubwa wao kateuliwa balozi? Hivi mnajielewa kweli?
Mchambuzi
Huwa nikisoma hoja zako ninapata kicheko!

Kwa hiyo inachokifanya CHADEMA ni sawa NA wanachikifanya CCM. Kwa maana nyingine, CCM ni kioo cha CHADEMA.

Mimi nilidhani CHADEMA ni mbadala wa CCM!
Ni muhimu ukafahamu kwamba ndoto kubwa kuliko zote ya ukawa ni kuwa chama kimoja cha siasa lakini CCM haitaki hilo litokee ndio maana ilipitisha Sheria maalum ya vyama vya siasa (1992) ambayo inapiga marufuku vyama kuungana,badala yake kushirikiana tu. CCM inajua kwamba muungano wa vyama vya siasa ni kifo kwake
Tatizo lake ni nini kama wanataka kuanzisha chama kimoja?

Kama kweli wanataka kuanzisha chama kimoja kwa nini wote wasijiudhuru uongozi na ubunge ndani ya vyama vyao na kujiunga na CHADEMA. Baada ya kujiunga na CHADEMA, wale waliokuwa wabunge watateuliwa tena na CHADEMA kugombea kwenye majimbo yao na watachaguliwa tena kuingia bungeni kwa tiketi ya CHADEMA.

Wameshindwa kuachia nafasi zao kwa sababu ni wasanii tu wa kisiasa wanaotumia majukwaa ya kisiasa kujipatia vipato vyao na sio kama wanavyotaka kutuaminisha.
Nini hatima ya ukawa nchini? Pengine ungeuliza je - nini ni hatima ya CCM ya sasa, CCM inayojitambua kwamba ni dhaifu na isiyo na political legitimacy,inayojitambua kwamba haiwezi survive bila nguvu ya dola kupora mamlaka ya nchi.
Jibu la Hatima ya CCM lilishatolewa na Jakaya Kikwete.

Angalia hii video ili ufahamu vizuri hatima ya CCM.
 
Back
Top Bottom