TaiPei
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 394
- 323
Wewe kinakuuma nini? Nyie CHADEMA lini mtapata akili?Kafulila bado unataka uteuzi? Wewe umekatwa mkia ndugu yangu. Acha kumfagilia rais Samia kimdezi ili kubembeleza uteuzi.
Wewe kinakuuma nini? Nyie CHADEMA lini mtapata akili?Kafulila bado unataka uteuzi? Wewe umekatwa mkia ndugu yangu. Acha kumfagilia rais Samia kimdezi ili kubembeleza uteuzi.
Hoja nimekuachia weweKwanini usijadili hoja na Wewe unajadili mtoa hoja?
Daudi Mchambuzi punguza chuki kwa walio pewa na Wewe utapewaHoja nimekuachia wewe
Samia jembe sana tuache mawivu yetu yasiyo na manaIla huyu Mama anajitahidi Sana tukiacha chuki zetu za kijinga kijinga,
Mauzo kuongezeka kwa trilioni 6 sio jambo dogo,
2025 kura yangu anayo huyu Mama
Walamba asali wa awamu ya SITAHoja nimekuachia wewe
Walamba asali wa awamu ya SITAHoja nimekuachia wewe
Kafulila yuko vizuriWakati baadhi ya Watanzania wachache wakiendelea kufumba macho na masikio wasione wala kusikia kazi kubwa na Nzuri inayofanywa na Rais wetu hodari wa awamu ya sita Mhe Samia Suluhu Hassan,
Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ameandika haya Kwenye ukurasa wake wa tweeter kuhusu Tanzania kuvunja rekodi ya kuuza nje ya nchi bidhaa na huduma,
Kwa taarifa tu, Rekodi hii haijawahi kutokea tangu nchi yetu iwe huru kisiasa na kiuchumi,
#Hongera Rais Samia Suluhu Hassan na team yako,
👇👇👇
View attachment 2365046
KaziindeleeKafulila yuko vizuri
😍😍Ila huyu Mama anajitahidi Sana tukiacha chuki zetu za kijinga kijinga,
Mauzo kuongezeka kwa trilioni 6 sio jambo dogo,
2025 kura yangu anayo huyu Mama
😍😍2025 uchaguzi ni rahisi Sana kwa CCM hasa baada ya Watanzania kupoteza imani na Upinzani
😍😍Ni mpumbafu tu ndio atamnyima kura Samia,Naamini hata Mbowe na Lissu watamchagua must,
Sifia na Wewe shida iko wapi?Kanogewa na teuzi huyu!! Kazi kusifia
Me Mungu anisamehe tu kwa kweliWakati baadhi ya Watanzania wachache wakiendelea kufumba macho na masikio wasione wala kusikia kazi kubwa na Nzuri inayofanywa na Rais wetu hodari wa awamu ya sita Mhe Samia Suluhu Hassan,
Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ameandika haya Kwenye ukurasa wake wa tweeter kuhusu Tanzania kuvunja rekodi ya kuuza nje ya nchi bidhaa na huduma,
Kwa taarifa tu, Rekodi hii haijawahi kutokea tangu nchi yetu iwe huru kisiasa na kiuchumi,
#Hongera Rais Samia Suluhu Hassan na team yako,
👇👇👇
View attachment 2365046
Tulia wewe kijanaWakati baadhi ya Watanzania wachache wakiendelea kufumba macho na masikio wasione wala kusikia kazi kubwa na Nzuri inayofanywa na Rais wetu hodari wa awamu ya sita Mhe Samia Suluhu Hassan,
Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ameandika haya Kwenye ukurasa wake wa tweeter kuhusu Tanzania kuvunja rekodi ya kuuza nje ya nchi bidhaa na huduma,
Kwa taarifa tu, Rekodi hii haijawahi kutokea tangu nchi yetu iwe huru kisiasa na kiuchumi,
#Hongera Rais Samia Suluhu Hassan na team yako,
View attachment 2365046
Wewe mpe yako,Ni mpumbafu tu ndio atamnyima kura Samia,Naamini hata Mbowe na Lissu watamchagua must,
nafahamu,shida yenu Ni Uzalendo tu, Kafulila tangu enzi ya ESCROW huyu yuko bold Sana kusaidia nchi yake, CCM tunatamani akina Kafulila wengi,Dont stop himDuh Tumbili mama keshakusikia,pumzika kidogo unatuchosha na makele yako.
Unatafuta huruma ati ee, usaliti ulikuponzaaWakati baadhi ya Watanzania wachache wakiendelea kufumba macho na masikio wasione wala kusikia kazi kubwa na Nzuri inayofanywa na Rais wetu hodari wa awamu ya sita Mhe Samia Suluhu Hassan,
Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ameandika haya Kwenye ukurasa wake wa tweeter kuhusu Tanzania kuvunja rekodi ya kuuza nje ya nchi bidhaa na huduma,
Kwa taarifa tu, Rekodi hii haijawahi kutokea tangu nchi yetu iwe huru kisiasa na kiuchumi,
#Hongera Rais Samia Suluhu Hassan na team yako,
View attachment 2365046
Kuna msaliti zaidi ya Mbowe TANZANIA?Unatafuta huruma ati ee, usaliti ulikuponzaa