Kadogosa: Asilimia 70 ya Ujenzi wa SGR umefanywa na awamu ya 6

Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la reli nchini (TRC) amesema asilimia 70 ya ujenzi wa reli ya kisasa umefanywa na awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Kwa mantiki hiyo, awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilihusika na asilimia 30 tu🤣

My take:
Legacy inafutwa kwa kishindo, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mpeni maua yake Magufuli hata kama hatukumpenda!View attachment 2944527
Hii ni awamu ya tano....inaendelea. tusubiri awamu ya sita 2025. Mashindano ya kijinga haya. Magufuli alikuwa CCM, Samia alikuwa msaidizi namba moja wa Magufuli, Samia ni CCM. Sijui tuite kitu gani hili sasa...kha!!
 
umeoongea utumbo na sio weww ni ccm chawa kila siku awamu ya 6 ya mama kapiga aslimia 80, bado imefeli awamu ya 6 unafikiri jpm angekuwa hai miradi yoote sasa hivi ingekuwa imeisha na kuna miradi mipya kaazisha, mwenye miradi kafariki mnataka ashindane na mama yupo hai
Kwani uongo ni upi? Ni kweli SGR imejengwa zaidi kuanzia 2021 kuliko kabla ya hapo sasa kadanganya nini?

Kipindi JPM anafariki mlisema hakuna kama yeye cha ajabu wengine wakifanya miradi mliosema hawawezi mnataka sifa kwa JPM!!
 
Dah Mungu anamuona,Baba yangu alikopa Trilion 7.1 kutoka sntandard charted HK kwaajili ya SGR.Mradi mzima unagharimu Tririoni 12.

Achilia zile trilion mbili akizomba SA
Zama za bibi kidude unafki ni mwingi sanaa.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la reli nchini (TRC) amesema asilimia 70 ya ujenzi wa reli ya kisasa umefanywa na awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Kwa mantiki hiyo, awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilihusika na asilimia 30 tu🤣

My take:
Legacy inafutwa kwa kishindo, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mpeni maua yake Magufuli hata kama hatukumpenda!View attachment 2944527
kadogosa hana akili kama aliyemtua.
 
Hata kama ndiyo mnampamba aliyepo lakini hii ni too much

Nani asiyejua kuwa JPM ndiyo alijenga huo Mradi Kwa asilimia kubwa kabla hajafariki?

Nadhani Serikali iliyopo bado inaweza kuendelea kuongoza pasipo kuikandia Serikali iliyopita

Yaani utasema Serikali ya awamu ya 5 likuwa ni ya Chadema sasa hii ya awamu ya 6 ni ya CUF 🙌

Kweli kufa kufaana 😭
 
L
Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la reli nchini (TRC) amesema asilimia 70 ya ujenzi wa reli ya kisasa umefanywa na awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Kwa mantiki hiyo, awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilihusika na asilimia 30 tu🤣

My take:
Legacy inafutwa kwa kishindo, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mpeni maua yake Magufuli hata kama hatukumpenda!View attachment 2944527
legacy ya asilimia 30 anayo.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la reli nchini (TRC) amesema asilimia 70 ya ujenzi wa reli ya kisasa umefanywa na awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Kwa mantiki hiyo, awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilihusika na asilimia 30 tu🤣

My take:
Legacy inafutwa kwa kishindo, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mpeni maua yake Magufuli hata kama hatukumpenda!View attachment 2944527
Mngemwacha JPM hadi leo mnafikiri hiyo sgr ingekuwa%ngapi? Au mnataka marehemu aendelee kujenga?
 
Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la reli nchini (TRC) amesema asilimia 70 ya ujenzi wa reli ya kisasa umefanywa na awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Kwa mantiki hiyo, awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilihusika na asilimia 30 tu🤣

My take:
Legacy inafutwa kwa kishindo, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mpeni maua yake Magufuli hata kama hatukumpenda!View attachment 2944527
Siyo masuala ya uwongo huo ndyo ukweli ambao misukule ya Magufuli hawataki kuukubali.

Kuanzisha kitu ni jambo moja na kumaliza ni jambo jingine. Kama SGR na Bwawa la umeme aliyaanzisha Magufuli mwaka 2017 na hadi anakufa mwaka 2021 yalikuwa 30% utaachaje kumsifia Samia?

Au nyie Wafiadini wa Magufuli mlitaka Samia aache ile miradi iliyoanzishwa na mwendazake na kuanzisha ya kwake kama jinsi yeye alivyoacha Bomba la gesi ya Mtwara na Bagamoyo Port zilizoanzishwa na Kikwete?
 
Kikubwa iishe na itimize malengo yaliyokusudiwa siyo Yale ya kuwanufaisha wabinafsi. Yaani sawa tu Hata ikiwa 99% vs 1%
 
Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la reli nchini (TRC) amesema asilimia 70 ya ujenzi wa reli ya kisasa umefanywa na awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Kwa mantiki hiyo, awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilihusika na asilimia 30 tu🤣

My take:
Legacy inafutwa kwa kishindo, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mpeni maua yake Magufuli hata kama hatukumpenda!
fools
 
Back
Top Bottom