Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,010
- 8,955
Sisi tunamjua JPM tu, hayo mengine mtajuana wenyewe.
Mwendo wa MBITIYAZA hauna kasi kama ya mwendo wa MBITIYAPI😂Mwendo wa MBITIYAZA
Hii ni awamu ya tano....inaendelea. tusubiri awamu ya sita 2025. Mashindano ya kijinga haya. Magufuli alikuwa CCM, Samia alikuwa msaidizi namba moja wa Magufuli, Samia ni CCM. Sijui tuite kitu gani hili sasa...kha!!Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la reli nchini (TRC) amesema asilimia 70 ya ujenzi wa reli ya kisasa umefanywa na awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Kwa mantiki hiyo, awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilihusika na asilimia 30 tu🤣
My take:
Legacy inafutwa kwa kishindo, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mpeni maua yake Magufuli hata kama hatukumpenda!View attachment 2944527
Kwani uongo ni upi? Ni kweli SGR imejengwa zaidi kuanzia 2021 kuliko kabla ya hapo sasa kadanganya nini?umeoongea utumbo na sio weww ni ccm chawa kila siku awamu ya 6 ya mama kapiga aslimia 80, bado imefeli awamu ya 6 unafikiri jpm angekuwa hai miradi yoote sasa hivi ingekuwa imeisha na kuna miradi mipya kaazisha, mwenye miradi kafariki mnataka ashindane na mama yupo hai
kadogosa hana akili kama aliyemtua.Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la reli nchini (TRC) amesema asilimia 70 ya ujenzi wa reli ya kisasa umefanywa na awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Kwa mantiki hiyo, awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilihusika na asilimia 30 tu🤣
My take:
Legacy inafutwa kwa kishindo, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mpeni maua yake Magufuli hata kama hatukumpenda!View attachment 2944527
legacy ya asilimia 30 anayo.Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la reli nchini (TRC) amesema asilimia 70 ya ujenzi wa reli ya kisasa umefanywa na awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Kwa mantiki hiyo, awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilihusika na asilimia 30 tu🤣
My take:
Legacy inafutwa kwa kishindo, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mpeni maua yake Magufuli hata kama hatukumpenda!View attachment 2944527
Mngemwacha JPM hadi leo mnafikiri hiyo sgr ingekuwa%ngapi? Au mnataka marehemu aendelee kujenga?Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la reli nchini (TRC) amesema asilimia 70 ya ujenzi wa reli ya kisasa umefanywa na awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Kwa mantiki hiyo, awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilihusika na asilimia 30 tu🤣
My take:
Legacy inafutwa kwa kishindo, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mpeni maua yake Magufuli hata kama hatukumpenda!View attachment 2944527
Siyo masuala ya uwongo huo ndyo ukweli ambao misukule ya Magufuli hawataki kuukubali.Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la reli nchini (TRC) amesema asilimia 70 ya ujenzi wa reli ya kisasa umefanywa na awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Kwa mantiki hiyo, awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilihusika na asilimia 30 tu🤣
My take:
Legacy inafutwa kwa kishindo, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mpeni maua yake Magufuli hata kama hatukumpenda!View attachment 2944527
Ha hahahaha aa!Kipindi cha 2021 tuliambiwa na kadogoso kuwa reli imefikia 50 asilimia
Awamu ya sita 70%, awamu ya Tano asilimia?, na ambazo hazijamalizwa ni asilimia ngapi?L
legacy ya asilimia 30 anayo.
foolsMkurugenzi Mtendaji wa shirika la reli nchini (TRC) amesema asilimia 70 ya ujenzi wa reli ya kisasa umefanywa na awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Kwa mantiki hiyo, awamu ya tano chini ya hayati Magufuli ilihusika na asilimia 30 tu🤣
My take:
Legacy inafutwa kwa kishindo, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mpeni maua yake Magufuli hata kama hatukumpenda!