Kabla ya maisha kuwapiga Watu wengi Knockout, wengi walifikiri wakifika miaka 30 wangekuwa na nyumba na Gari

Shida tupo kwenye mifumo ambayo inataka watu watumie akili zaidi kuliko nguvu mafanikio kwa sasa hayawafuati watu wanaojituma wenye skills ndio wanaotoboa mfano ingia playstore mtu kajifungi geto anatengeneza App inayoenda kutengeneza mabilioni ya pesa kazi ndogo matokeo makubwa

Kitu kingine hauhitaji kujipa stress kuchelewa kujenga ama kuwa na gari jambo msingi swala la mafanikio kwenye maisha ni kujikita kutafuta njia zitakazo kupa matokeo makubwa na sio kuonekana unafanya vitu kwa wakati
Stori za abunuasi
 
Kuna ambao walikata tamaa lakini Dakika za mwisho wakatoboa wakiwa katika state hiyohiyo ya kukata tamaa.

Na waliokuwa na moyo mkuu usiokataa tamaa mpaka mwisho lakini wakashindwa kutoboa. Walikufa wakiwa hawaamini kama ngoma imelala wakiwa wamepigwa.


Mungu ndiye mwamuzi wa yote. Huna lolote utakalofanya kwa uwezo wako. Unaweza ukawa strong ukashindwa na aliyedhaifu
Siyo kweli, ukisema hivyo maana yake hata sheria za kifizikia zinazotawala maisha ya mwanadamu hazina maana. Hayo maneno kutoka kwa mhubiri hujayaelewa vizuri.
 
Tanzania, kwa maoni ya wengi, kujenga nyumba na kununua gari ndiyo kilele cha mafanikio. Kwangu nini sidhani kama tuko sahihi. Unaweza kuwa unaishi kwenye nyumba ya kupanga na unatumia usafiri wa public lakini ukawa na mafanikio kuliko mtu mwenye nyumba na gari.
Fact,

Kwa mazingira ya nchi yetu mafanikio hupimwa kwa vitu kama hivi lakini katika uhalisia haya siyo mafanikio bali na mahitaji ya kawaida kwa binadamu yoyoye ili aweze kuishi vyema
 
Mbona umerukia kwa Riz-1 na wewe, Ungeanzia kwq babu yake Rizi-1 na Babu yako wewe, ukaja kwa baba yake Riz-1 na baba yako wewe.. Rizi-1 na wewe ni just By products tu za long chain hukoo.
Kwasababu umesema "Mungu kawapa watu wote same ground blah blah". Ungelenga mababu tu, ambapo hata hivyo huwezi kuprove kama walikuwa na same ground, mimi nisingejibu nilivyojibu.

Na kama issue ni mababu tu, inamaana huyo mungu hana fairness, kwasababu mimi sina same ground na watu wengi tu.
 
Yaani ushinde kanisani au msikitini bila mipango upate private jet ya burebure? Hiyo hajawahi kutokea. Tumepewa utashi na maarifa tuyatumie. Simba hawezi kula bila kuua, anatumia utashi wake kupata mlo otherwise atakufa.
Neno la kumaliza ni

" Simba hawezi kula bila kuua"
 
Back
Top Bottom