LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,128
Miaka ya elfu 2 mwanzoni nilikuwaga jambazi.
Section yangu ilikuwa udereva.
Jukumu langu lilikuwa kuwaendesha " ma afande wangu " baada ya tukio.
Kanuni yangu ilikuwa tukienda "kiwanja" ( eneo la tukio) kukiwasha, tukio likisha fanyika basi ndani ya dakika 2 baada ya tukio inatakiwa kila mtu awe ndani ya gari.
Ikizidi hata sekunde moja tu nawasha gari nasepa.
Kwa utaratibu huu niliwaacha " maafande" wengi sana almost zaidi ya 30 na wote waliuwawa kwa sababu walikuwa slow.
Leo nimeanzisha hapa Uzi kuhusu weupe wa wamarekani weusi, naona watu wana comment hoja ambazo zinaonyesha wapo very very slow yani hawawezi kuelewa kwa haraka hata hoja ndogo kabisa.
Aisee. Kibaya zaidi wengi wao wanajiita graduate.
You guys (slow learners) kama ningefanya " kazi" na ninyi enzi zangu za maisha ya kishetani basi ninyi nyote mngekuwa mmekufa. Ningewaacha na gari eneo la tukio na mngeishia kuuwawa na Raia wenye Hasira Kali..
Slow people are very boring.
Slow learners mnatakiwa kujua kwamba hata kazi ya ujambazi haiwahitaji.
Section yangu ilikuwa udereva.
Jukumu langu lilikuwa kuwaendesha " ma afande wangu " baada ya tukio.
Kanuni yangu ilikuwa tukienda "kiwanja" ( eneo la tukio) kukiwasha, tukio likisha fanyika basi ndani ya dakika 2 baada ya tukio inatakiwa kila mtu awe ndani ya gari.
Ikizidi hata sekunde moja tu nawasha gari nasepa.
Kwa utaratibu huu niliwaacha " maafande" wengi sana almost zaidi ya 30 na wote waliuwawa kwa sababu walikuwa slow.
Leo nimeanzisha hapa Uzi kuhusu weupe wa wamarekani weusi, naona watu wana comment hoja ambazo zinaonyesha wapo very very slow yani hawawezi kuelewa kwa haraka hata hoja ndogo kabisa.
Aisee. Kibaya zaidi wengi wao wanajiita graduate.
You guys (slow learners) kama ningefanya " kazi" na ninyi enzi zangu za maisha ya kishetani basi ninyi nyote mngekuwa mmekufa. Ningewaacha na gari eneo la tukio na mngeishia kuuwawa na Raia wenye Hasira Kali..
Slow people are very boring.
Slow learners mnatakiwa kujua kwamba hata kazi ya ujambazi haiwahitaji.