Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
kuna kabira flani hiv noma ila miguu ka chelewa. Mpaka wanaume wa huko pia wanakibinda
Mbona wewe unaongea pointless kwenye hopeless??
Kwahiyo ukipata jibu hapa unataka ulifanyie nini?....
Siku hizi makabila yote yanaongoza manake mchina yupo. Huezi jua yupi asili, yupi mchina.
Wanyiramba
I now doubt if this is a place of great thinkers au kumeingiliwa kwa siku ya leo.Napita tuu,kwaheri.
kuna kabira flani hiv noma ila miguu ka chelewa. Mpaka wanaume wa huko pia wanakibinda