BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,911
Anaitwa MWASITI , ni mfanyakazi wa DUKA LA VIFAA VYA HOSPITALI LA GRANTS CARE LTD , KIPATA / CONGO STREET , Taarifa zinasema kwamba alikuwa anapeleka pesa bank ya HABIB KARIAKOO , alikufa hapohapo , ni dada ninayemfahamu sana , inasikitisha sana , Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali inapostahili , amina . Angalizo , pamoja na k/koo kuzalisha pesa nyingi sana kutokana na biashara zilizopo , lakini Usalama wake ni Hafifu mno , mhalifu anaweza fanya lolote bila kukamatwa ! Shortly ni kama hakuna usalama kabisa .
Juzi tumeona BOSTON mji ulifungwa hakuna kutoka wala kuingia mpaka mhalifu akapatikana ,nashangaa hapa tanzania hakuna uthubutu wa namna hiyo!Mitaa yote pale kkoo na barabara zote zingefungwa mpaka mhalifu apatikane,ninauhakia pasingetokea tena wizi wa namna hiyo ambao umekua sugu!waziri wa mambo ya ndani kazi yake kutunza sharubu tuu.Hii inanipa uhakika kuwa polisi uhusika na wizi wa katikati ya mji sii mnakumbuka zile 150m za kkoo polisi walisepa nazo