Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,496
- 272,164
mwenya kampuni kalala, binti wa watu anabeba pesa nyingi na kuishia kuuwawa... si ajabu mshahara wake ulikua mdogo tu
Kuna uhusiano wa kindugu kati ya Marehemu na mwenye Duka , GRANT ( Ambaye ndiye owner ) ameoa dada wa Marehemu , ni suala la ujambazi tu , kwa hiyo tuchukulie kama bad luck .