Hahahahahaaa, umaarufu wake ulikuja kwa kasi na unaondoka kwa kasi mbaya. Wamempa wizara lile kazi kwisha, na sasa wanamtengenezea zengwe kama walivyomfanyia Ngereja!!! Maskini siku zake zinahesabikaFebruary si anaweza akachukua kiti bwana.
Hujajibu swali langu
Mara nyingi hawa matajiri wanaambiwa kuomba ulinzi wa polisi katika kusindikiza mapene Bank.. Wanaleta ubahili na matokeo yake ndo haya.. Macikini dada wa watu.. Maisha yake yamekatizwa kwa uzmbe na ubahili wa tajiri..
RIP Mwasiti..
????? halafu wanataka kustandardize matokeo ya form4? kweli hii nchi imekuwa kama chombo kisicho na nahodha
kwa heshima ulonayo hapa jf wewe sio wa kukomalia maswali ya kipuuzi kana kwamba kiswahili unakijua sana wala huwezi kupokea. ishu haikua kuonesha utaalam wa lugha bali kufikisha ujumbe. mia
Hahahahahaaa, umaarufu wake ulikuja kwa kasi na unaondoka kwa kasi mbaya. Wamempa wizara lile kazi kwisha, na sasa wanamtengenezea zengwe kama walivyomfanyia Ngereja!!! Maskini siku zake zinahesabika
kwahyo unashabikia haya matukio kwenye miji mikubwa mkuu poleni wafiwa, RIP MDADAWabongo bwana, mnasahngaa matukio kama haya kwa mji mkubwa kama dar?Waulize wenzenu wa huko Arusha, ila kwa tukio hili wawabane wafanyakazi wenzake huenda kuna mmojawapo kafanya mchongo.
sasa kama habari huna uhakika nayo unatupostia humu ili iweje!!!
Vp hao majambazi walifanikiwa kuchukua hocho walichokitaka?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Polisi haiwezi kuja pande hiyo mara kwa mara cause, hakuna mu-meeting ya opposition, so munabidi muanze-organize mu-meeting ya Chadema then, soldiers itapata reason ya kuja pande hiyo ya k/koo. Kwa kuanza mualikeni Lema afanye public meeting hapo Congo street, then iko tanambia kama usalama hawako, sawa kwa rafiki!Anaitwa MWASITI , ni mfanyakazi wa DUKA LA VIFAA VYA HOSPITALI LA GRANTS CARE LTD , KIPATA / CONGO STREET , Taarifa zinasema kwamba alikuwa anapeleka pesa bank ya HABIB KARIAKOO , alikufa hapohapo , ni dada ninayemfahamu sana , inasikitisha sana , Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali inapostahili , amina . Angalizo , pamoja na k/koo kuzalisha pesa nyingi sana kutokana na biashara zilizopo , lakini Usalama wake ni Hafifu mno , mhalifu anaweza fanya lolote bila kukamatwa ! Shortly ni kama hakuna usalama kabisa .
Kuna uhusiano wa kindugu kati ya Marehemu na mwenye Duka , GRANT ( Ambaye ndiye owner ) ameoa dada wa Marehemu , ni suala la ujambazi tu , kwa hiyo tuchukulie kama bad luck .
nimechukulia kiujambazi zaidi
kwamba mwenye mali kalala wakati watumishi wanapigwa risasi....akiamka anzika, anaajiri mwingine na maisha yanaendelea