K/Koo: Mwanadada kapigwa risasi

K/Koo: Mwanadada kapigwa risasi

Ana uhusiano na Mwasiti?
Samahani mdau, kuna habari iliyotangulia tu ndo ikatufikisha hapa na huyo niliyem'quote'. Kwa hiyo hana uhusiano, ile tulilolizungumzia ndo lina uhusiano. Na ikiwezekana uishie hapohapo usije ukajikuta unadandia gari la taka
 
So sad inatia wasiwasi hata kwa wanaotafuta mlo wao wa siku, Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi amen
 
sasa kama habari huna uhakika nayo unatupostia humu ili iweje!!!

Tatizo humu JF baadhi ya watu (kama aliyeleta uzi huu) huwa wanakurupuka bila hata kufanya ufuatiliaji wa kina na kisha kupost thread. :angry:
 
????? halafu wanataka kustandardize matokeo ya form4? kweli hii nchi imekuwa kama chombo kisicho na nahodha
nimecheka mpaka mbavu zinaniuma. hiyo ndio TANZANI akina SHE DED? wako wengi kweli.sasa jiulize mtu anandika maneno mawili anakosea hivyo,je akiwa mwalimu si itakuwa burudani?
 
May all beings attain enlightenment.

May all employers use armoured vehicles to transfer large amounts of cash.
 
Ni vyema kama polisi watachunguza kwa makini chanzo cha mauaji ya huyo dada. Lazima kuna mtu anafanya kazi hapo dukani amekuwa akiwasiliana na majambazi na kutoa taarifa juu ya mwenendo mzima wa jinsi pesa zinavyopelekwa benki. Roho ya marehemu iwekwe mahali pema peponi. Amina.
 
CONFIRMED , MAZISHI NI KESHO , saa 7 mchana kwenye Makaburi ya Kisutu , Heshima za Mwisho zitafanyika nyumbani kwa GRANTS ( the owner of GRANTS CARE LTD ) TABATA Mawenzi , mwili utawasili saa 4 asubuhi .
 
Back
Top Bottom