JWTZ/TPF na wahitimu wa shahada ya kwanza

wanaangalia shahada yako kwanza ni ya kozi gani kwa mfano kama umesoma shahada za kijinga jinga unapewa vv mbili kama umesoma shahada ya ukweli nyota mbili mpaka tatu..........so shahada yako ni ya nini
 
wanaangalia shahada yako kwanza ni ya kozi gani kwa mfano kama umesoma shahada za kijinga jinga unapewa vv mbili kama umesoma shahada ya ukweli nyota mbili mpaka tatu..........so shahada yako ni ya nini

shahada za kijinga kama zipi mkuu?
 
guys,embu tujulisheni swala la kipato chao,swala la ugumu ni kawaida tu. Asikudanganye mtu kwamba kuna kazi nzuri isiyo na ugumu.
 
Nafurahi kusikia JWTZ kutangaza nafasi za kujiandikisha kuwa Mwanajeshi,kwani JWTZ ni ya Wananchi na watoto wa Wananchi ndiyo wametarifiwa kuhusu nafasi za kujiandikisha.Ni fursa ya wanaohitaji kuzichangamkia.pia nasikitika kuona mwana jf mwenzetu kuhisi kuwa ukiwa MWANAJESHI UTAROGWA!kwanza atambue kuwa katika kada zote za maeneo ya kazi za Umma,JESHINI ndiyo sehemu pekee pasipo kuwa na majungu, unafiki,siasa za kijinga, kuoneana wala uchawi anaouogopa.JESHINI mambo yote huendeshwa kwa nidhamu ya hali ya juu kwa makamanda na wapiganaji.Hivyo mambo huendeshwa kwa amri na maelekezo(Line Organisation philosophy)
 
Nafurahi kusikia JWTZ kutangaza nafasi za kujiandikisha kuwa Mwanajeshi,kwani JWTZ ni ya Wananchi na watoto wa Wananchi ndiyo wametarifiwa kuhusu nafasi za kujiandikisha.Ni fursa ya wanaohitaji kuzichangamkia.pia nasikitika kuona mwana jf mwenzetu kuhisi kuwa ukiwa MWANAJESHI UTAROGWA!kwanza atambue kuwa katika kada zote za maeneo ya kazi za Umma,JESHINI ndiyo sehemu pekee pasipo kuwa na majungu, unafiki,siasa za kijinga, kuoneana wala uchawi anaouogopa.JESHINI mambo yote huendeshwa kwa nidhamu ya hali ya juu kwa makamanda na wapiganaji.Hivyo mambo huendeshwa kwa amri na maelekezo(Line Organisation philosophy)

mkuu hilo tangazo la jwtz linapatikana wapi?
 
Utaratibu wa jeshi upo hiviii mwenye degree anapewa nyota mbili(luteni) haijalishi ni degree ya nini hata kama ni ya philosophy ,posho 300,000/-,alafu kama una degree nayo inalipwa 250,000/-,mshahara basic salary 900,000/- ,
 
wanaangalia shahada yako kwanza ni ya kozi gani kwa mfano kama umesoma (shahada za kijinga jinga) unapewa vv mbili kama (umesoma shahada ya ukweli) nyota mbili mpaka tatu..........so shahada yako ni ya nini
jambo usilolijua ni kama usiku wa giza , huyu jamaa hajui kitu mr.roryakwetu mpuuze
 
Degree ni degree iwe baed,engineering, kinachozingatiwa ni kwamba una degree kama unayo unapata nyotambili,anayesema sijui unapewa v mbili hana akili manake kama ni v mbili manake ni koplo haiwezekani mtu mwenye degree apewe ukoplo wakati tuu formsix wakiingia jeshini wanaanza na nyotamoja(luteni usu) huyu cprograming hajuikitu mpuuzeni
 
digirii yako ni ya nini? kuna digirii nyingine dili jeshini na nyingine balaa! mie nilitoroka na digirii yangu pale kunduchi dar mwaka 2007. kabla sijakushauri nijulishe digirii yako kwa sababu jeshini ndio kwetu, upo mura!
 
hivi jamani mi na miaka 35,nitaweza kupata kazi jwtz?au ndo nshazeeka sasa?na umri wa kwenda huko ni miaka mingapi wajameni?
 
Utaratibu wa jeshi upo hiviii mwenye degree anapewa nyota mbili(luteni) haijalishi ni degree ya nini hata kama ni ya philosophy ,posho 300,000/-,alafu kama una degree nayo inalipwa 250,000/-,mshahara basic salary 900,000/- ,
kiongoz ww ndo unajua achana hao wajinga then wajiita GT
 
Ukimaliza mafunzo ya awali ya Kuruta miezi 9 unaenda moja kwa moja Monduli kusomea Uofisa wa jeshi ukimaliza unalamba mawe matatu yaani unakua Captain

Du umempeleka mbali sana, ukienda jeshini ukiwa umetokea chuo namaanisha ukiwa na bachelor unapiga kwata miezi 6 pale JWTZ eneo la Mtongani Dar na miezi mingine 6 Monduli.Ukitoka hapo unaondoka na nyota mbili tu ambazo hapo utaitwa Luten Roryakwetu.Mshahara wake take home sio chini ya laki 8 lakini pia kuna marupurupu mfano kula na kulala ni bure plus mambo ya afya ni juu ya jeshi.Sasa sijajua kuhusiana na overtime maana kazi yenyewe imakaa kiovertime.

Ukiwa una mastars hapo mambo ni shwari unapiga kwata kama hao hao wa bachelor lakini wewe kule Monduli siku ya kuhitimu unapigwa mawe matatu yaani unakuwa Captain, mshahara wake siuji lakini Captain sio cheo kidogo ndugu yangu maana wewe unaweza kuongoza combania bila wasi wasi
 
Ukimaliza mafunzo ya awali ya Kuruta miezi 9 unaenda moja kwa moja Monduli kusomea Uofisa wa jeshi ukimaliza unalamba mawe matatu yaani unakua Captain
Wewe ni mwongo hata ujui unasikiliza habari za mtaani!!uliza kwa umakini utaambiwa officer cadet akimaliza anakuwa nani siyo kukurupuka na kusema unakuwa kaptain!!
 
Back
Top Bottom