JWTZ/TPF na wahitimu wa shahada ya kwanza

[QUshahada za kijinga kama zipi mkuu?[/QUOTE]
degree ya muziki, kiswahili, historia
 
[QUshahada za kijinga kama zipi mkuu?
degree ya muziki, kiswahili, historia[/QUOTE]

Mkuu Muziki ndio unampa John Komba maisha, kiswahili kilimtoa Mohamed khatibu (wasakatonge), mudhihir mudhihir etc, historia ndio degree anayomiliki Pius Msekwa na kama hujui Edward Lowasa anadegree ya Fine and performing arts ukiachia mbali Uprofesa wa Mauwa na Bustani wa Maghembe!
 
Lakini ni kwanini wasomi wengi wanawaza mishahara na malupulupu makubwa kuliko kuwaza namna ya kuwakomboa Watanzania maskini ?Maana kila mwenye kishahada chake anafikilia kazi yenye malipo manono kwa kazi isiyotoa jasho!

Kwa nini msiwaze kwenda vivijini kuelimisha watu namna ya kilimo bora,kufundisha shule zisizo na walimu,kuelimisha watu mambo ya afya,kuunda vyama vya akiba na mikopo,kuelimisha na kuonyesha namna ya utawala bora ngazi ya vijiji,mitaa na kata?

Mimi nasema siku za wenye tamaa ya madaraka, utajiri wa haraka na wasiopenda kutumia elimu zao kwa manufaa ya umma ziko ukingoni.
 
Lakini ni kwanini wasomi wengi wanawaza mishahara na malupulupu makubwa kuliko kuwaza namna ya kuwakomboa Watanzania maskini ?Maana kila mwenye kishahada chake anafikilia kazi yenye malipo manono kwa kazi isiyotoa jasho!

Kwa nini msiwaze kwenda vivijini kuelimisha watu namna ya kilimo bora,kufundisha shule zisizo na walimu,kuelimisha watu mambo ya afya,kuunda vyama vya akiba na mikopo,kuelimisha na kuonyesha namna ya utawala bora ngazi ya vijiji,mitaa na kata?

Mimi nasema siku za wenye tamaa ya madaraka, utajiri wa haraka na wasiopenda kutumia elimu zao kwa manufaa ya umma ziko ukingoni.

Ukingoni kivipi?Je tukikupa hyo kaz isiyo na maslahi ya kwenda kuwaelimisha vijijini bila malipo utaiweza?Usipost post kwa kutafuta sifa na kuosha jina hapa siyo mahala pake mr.Hengo!
 
Ukingoni kivipi?Je tukikupa hyo kaz isiyo na maslahi ya kwenda kuwaelimisha vijijini bila malipo utaiweza?Usipost post kwa kutafuta sifa na kuosha jina hapa siyo mahala pake mr.Hengo!

sure ndugu umempa ukweli
 
Mr. JERO mimi sina tatizo na malipo, tatizo hapa ni malupulupu na mishahara mikubwa kuliko vipato vya Taifa hasa ukilinganisha na vipato vya watanzania walio wengi.Je, ww unafikiri ni sahihi mtu analipwa Ml.8 hadi 17 + malupulupu,housing,transport na matibabu huku wengi hawana uhakika wa kula?Mimi ninadhani kuna haja kuwajali wenzetu kwa kutanguliza ubiandamu, uzalendo ili kujenga umoja na usawa kwa Taifa letu.Kama nawe unatamaa ya fisi ya kupenda kujilimbikizia Miposho, malupulupu na Mishahara mikubwa huku Watanzania walio wengi hawana uhakika wa kula basi nawe hutufai.
 
Mr. JERO mimi sina tatizo na malipo, tatizo hapa ni malupulupu na mishahara mikubwa kuliko vipato vya Taifa hasa ukilinganisha na vipato vya watanzania walio wengi.Je, ww unafikiri ni sahihi mtu analipwa Ml.8 hadi 17 + malupulupu,housing,transport na matibabu huku wengi hawana uhakika wa kula?Mimi ninadhani kuna haja kuwajali wenzetu kwa kutanguliza ubiandamu, uzalendo ili kujenga umoja na usawa kwa Taifa letu.Kama nawe unatamaa ya fisi ya kupenda kujilimbikizia Miposho, malupulupu na Mishahara mikubwa huku Watanzania walio wengi hawana uhakika wa kula basi nawe hutufai.

Nchi imeishauzwa hii wewe!
 
wewe mwalimu wa kiswahili hutufai jeshini.
wewe kweli mwendawazimu,lutambi alipopondea degree ya kiswahili kwamba ni ya kijinga wewe ukatetea kwamba kiswahili kinalipa,swali wewe una akili? Alaf unavijua vipaumbele vya jeshi kwenye ajira?
 
degree ya muziki, kiswahili, historia

Mkuu Muziki ndio unampa John Komba maisha, kiswahili kilimtoa Mohamed khatibu (wasakatonge), mudhihir mudhihir etc, historia ndio degree anayomiliki Pius Msekwa na kama hujui Edward Lowasa anadegree ya Fine and performing arts ukiachia mbali Uprofesa wa Mauwa na Bustani wa Maghembe![/QUOTE]

dah,,,,,nimecheka sana asbuh ya leo mdau,,,,,PIA NAONGEZEA TU,,,,,
KISWAHILI NDICHO KIMEMPA ULAJI PROF MLACHA,EDWIN SEMZABA,PROF KAHIGI(MBUNGE),DR NCHIMBI AMEKULA SHAVU KWA HISTORY(HADI LEO PENGO LAKE LIPO HISTORY DEPT-UDSM)
 
Lakini ni kwanini wasomi wengi wanawaza mishahara na malupulupu makubwa kuliko kuwaza namna ya kuwakomboa Watanzania maskini ?Maana kila mwenye kishahada chake anafikilia kazi yenye malipo manono kwa kazi isiyotoa jasho!

Kwa nini msiwaze kwenda vivijini kuelimisha watu namna ya kilimo bora,kufundisha shule zisizo na walimu,kuelimisha watu mambo ya afya,kuunda vyama vya akiba na mikopo,kuelimisha na kuonyesha namna ya utawala bora ngazi ya vijiji,mitaa na kata?

Mimi nasema siku za wenye tamaa ya madaraka, utajiri wa haraka na wasiopenda kutumia elimu zao kwa manufaa ya umma ziko ukingoni.

utamkomboa mtu na njaa
 
Nafurahi kusikia JWTZ kutangaza nafasi za kujiandikisha kuwa Mwanajeshi,kwani JWTZ ni ya Wananchi na watoto wa Wananchi ndiyo wametarifiwa kuhusu nafasi za kujiandikisha.Ni fursa ya wanaohitaji kuzichangamkia.pia nasikitika kuona mwana jf mwenzetu kuhisi kuwa ukiwa MWANAJESHI UTAROGWA!kwanza atambue kuwa katika kada zote za maeneo ya kazi za Umma,JESHINI ndiyo sehemu pekee pasipo kuwa na majungu, unafiki,siasa za kijinga, kuoneana wala uchawi anaouogopa.JESHINI mambo yote huendeshwa kwa nidhamu ya hali ya juu kwa makamanda na wapiganaji.Hivyo mambo huendeshwa kwa amri na maelekezo(Line Organisation philosophy)

Tangazo likowapi mkuu?
 
Back
Top Bottom