JWTZ kupiga doria barabarani: Mwamunyange ameenda mbali mno...

-Ni utaratibu wa kawaida tu ambao umetumika,lengo ikiwa ni kuwahakikishia raia wema amani na usalama.
-Mji wa dar una raia wengi kuliko mji mwingine wowote nchini,hatuwezi kuzungumzia jeshi la wananchi kulinda mipaka wakati ndani si shwari.
-Doria iliyokuwa inafanywa na JWTZ ni sehemu ya kuona kama kuna sehem vurugu zimekuwa kubwa kiasi polisi wanehitaji usaidizi nathalani kama kungekuwa na mapigano ya silaha.
-Labda nikukumbushe kuwa wewe uliwaona Mgambo wa jiji,Polisi,FFU na JWTZ je unatambua kuwa kuna vyombo vingine vya ulinzi na usalama vilikuwa vikifanya doria pasi ya wewe kujua?
;Basi hakuna matumizi mabaya ya vikosi hiki yaliyotumika sote tuna wajibu sawa kulinda amani ya nchi yetu hata kama mimi na wewe si maaskari.

Umemweleza vyema yeye anaona Nchi inaenda anadhani ni FFU pekee walikuwa na Mgambo no way. Kila mtu alikuwa kazini na next time we need to break their legs and leave them bullets in their bodies wasimulie wajukuu kwamba walileta ujinga state ikalinda Nchi.

Nawaunga JW kuwepo na nasema hawa viroboto ni wa kufyeka ni cancer ya maendeleo na ustawi wa jamii kwa jina la Islam. Muislam gani anaiba kanisani na kukimbia na kteri za bia ?Let them go to hell .They are turnishing the image of my Country ndani na nje.

Sasa walio waislam safi wategemee kibano sana kupata Visa za kwenda Nchi za watu na hasa Ulaya na US kwa masomo nk. Ni hawa wahuni wa kuwalaumu
 
Ni Jeshi la Wananchi wa Tanzania, na pale walipopiga doria ni kwa ajili ya watu wa Tanzania. Ukisema mipaka unamaanisha kila kilichomo ndani ya mipaka kinalindwa.

Sema kama uliona magari ya deraya na vifaru na kama ndivyo kweli walipitiliza. Kitendo cha wao kuonekana mitaani kikazi kilitosha kuiambia dunia kwamba wapo smart, wasidhani jirani yeyote anaweza kuitumia nafasi hiyo kama mwanya wa kuleta chokochoko.

After all, uliowaona barabarani ni kama tone la rangi ndani ya bahari wengine walikaa kuangalia kama raia wa Tanzania wanafaraja kujihakikikshia usalama kwamba sasa vijana wao wanaweza kufagia uchafu endapo wapumbavu hawa watakuwa wamepitiliza kuwaleta munjahidina wao wa nje? Maana adui sio lazima apige mpakani tu, mbona waliupiga ubalozi wa Marekani na polisi wakiwapo?

Adui ni adui tu, JWTZ wanazo mbinu zao, huenda wewe hukuona lakini wao waliona mbali zaidi na kuona vijidubwana hivi vinavyouchafua uislam vimewaleta wairan kwa kisingizio cha ugomvi wao na Marekani. Hukumbuki walisema Balozi wa Marekani aondoke?

Mipaka ya nchi ipo mingi hata DSM kwa kuwa kila ofisi ya Ubalozi ilipo ujue unapakana na nchi inayowakilishwa pale. Unahitaji shule pana zaidi, heri kama ungewahi kuhudhuria mafunzo ya JKT, kama hukwenda una hasara kubwa. Kule ndio unajifunza kwa undani kidogo maana ya usalama unaolindwa. Kama Rais hakuwapo ndio sahihi zaidi kwa sababu JWTZ ndiye kaka mkubwa ambaye lazima ahakikishe wadogo zake wako comfortable bila kubughudhiwa, baba akirudi anapewa ripoti.

Usidhani Rais mwenyewe hakujua kwamba JWTZ wanaingia mitaani, yeye ndiye mtoa kauli ya mwisho na sio lazima awepo physically, kwani hana Zantel inayotwanga kotekote? na Tigo je? Voda je? Airtel inayobugi men? Hukuwasikia wanataka kwenda Ikulu hata bila kibali? Kufanya nini, wakikalia kiti cha enzi na kusema amri moja Tanzania ni nchi ya kiislamu na wote inameni ungewasema vipi JWTZ hawakujihami?

Wamezoea kwenda kwa mwana wao Ikulu kiasi kwamba wanadhani ni njia ya kwenda msalani Kariakoo. Wanatia aibu.
Propaganda mtupu hapa! And the worst part of it is contradictions
 
Acha dharau mkuu, kiutaratibu ilitakiwa tufahamishwe mapema kwamba kutakuwa na matumizi ya jeshi. Kwanza inatakiwa hata sheria ipitishwe kwamba jeshi litasaidia polisi katika mazingira fulani fulani

Mfano Afrika kusini wamefanya hivyo juzi juzi tu.

Watu wanaelekea ikulu kwa polisi huo ni uchochezi ILA KWA JESHI HILO NI JARIBIO LA MAPINDUZI

JESHI lingetakiwa kupambana na wale waliotaka kuhujumu mamlaka ya URAIS kwa kuingia IKULU kiholela.

JESHI NI SAHIHI KABISA KUMHAKIKISHIA RAIS ULINZI
 
Ni sawa kabisa Amiri Jeshi Mkuu kuamuru Jeshi La Wananchi kusaidia Polisi inapobidi.

Hii hutokea kwenye mambo kama maafa ya mafuriko, matetemeko ya ardhi, na hatari za uvunjivu mkubwa wa usalama wa raia.

Yaliyotokea Mbagala yaliashiria Polisi kuzidiwa. Ilikuwa ni muhimu sana Amiri Jeshi Mkuu kuhakikishia Taifa kwamba bado tunao uwezo wa kuthibiti yale yanayokusudiwa na Uamsho na washirika wake.

Hofu iliyokuwa imewaingia wengi ilipungua sana JW lilipoonekana mitaani. Watu walipata usingizi.

Uamsho wamekuwa wanatingisha kiberiti. Kwa kuweka JW mitaani, Amiri Jeshi Mkuu amewaambia kimejaa.

Mwisho niseme nashangaa kuona watu wanadhani Rais akisafiri anaacha kuongoza. Huwa kwenye ngazi hiyo watu wanakuwa kazini saa zote, usiku na mchana, ndani na nje ya nchi. Wanaelezwa kila kinachotokea na wanatoa amri nini kifanyike. Ni kama wanasafiri na ofisi.
 
Richard

Naomba nifafanue hili:

POLISI : USALAMA WA RAIA NA MALI ZAO....KUMBUKA JWTZ SIO RAIA HIVYO HAWALINDWI NA POLIS.
JWTZ : ULINZI WA WANANCHI NA MIPAKA YA NCHI....KUMBUKA HATA POLISI NI MWANANCHI HIVYO ANALINDWA NA JESHI LA ULINZI.

ANGALIZO:

KATIKA THREAD YANGU "VIJUE VYEO VYA JESHI LA POLISI...VIKO 16" KUNA BAADHI YA MAMBO NILIYAGUSIA. HII IKIWA NI KUMJIBU MMOJA WA WADAU KWAMBA NITAANZISHA UZI MWINGINE WA JWTZ, KUHUSU VYEO VYAO NA MAJUKUMU YAO, BADO SIJAANZISHA HUO UZI KWANI NILIKUWA NAJIBU HOJA ZA WADAU NA HATA WENGINE WALINITUMIA EMAIL NIWATUMIE KWANI HAWAKUWA NA ACCESS YA INTERNET KWA MUDA MREFU KULINGANA NA MAENEO WALIPO.

MSISITIZO:

NAPENDA KUWAOMBA WANAJF TUWE WAVUMILIVU HASWA MTU ANAPOANZISHA UZI MUHIMU KAMA HUU KWANI SI TU UNAIGUSA JAMII, BALI PIA DOLA KWANI HUMU JF HATA RAIS YUPO, MWAMUNYANGE YUPO, AMINI USIAMINI WABUNGE WENGI WA UPINZANI NA HATA CHAMA TAWALA WAMO HUMU, WAKUU WA MAJESHI WAMO.

NAWAFAHAMU WENGI TU.
 
Last edited by a moderator:
Kwa sababu tokea awali wapo kuupoteza ukristu,walivunja hekalu takatifu la Yerusalemu wakajenga misikiti yao lengi ni kuhakikisha ukristu unakosa hata asili,MUNGU aliuacha ukuta mmoja wa hekalu ambao tunauitaa wa matumaini mpaka leo, kwa kukosa neema ya kristo Kumjua MUNGU wa kweli ni ngumu kwasababu hutamuona ndani yako ila utamkadilia kwa kipimo cha ufahamu wa kawaida
 
Watu wanaelekea ikulu kwa polisi huo ni uchochezi ILA KWA JESHI HILO NI JARIBIO LA MAPINDUZI

JESHI lingetakiwa kupambana na wale waliotaka kuhujumu mamlaka ya URAIS kwa kuingia IKULU kiholela.

JESHI NI SAHIHI KABISA KUMHAKIKISHIA RAIS ULINZI

Hakuna kitu hapa! Mimi naona nchi haina usalama kabisa. Siku moja kabla tulishaonywa kwamba waislam wataandamana baada ya sala ya Ijumaa.

Usalama wa Taifa wangeweza kumwagwa kwenye hot spots

Lingine mbona kwenye kifo cha Mwangosi inasemekana FFU walisafirishwa usiku usiku kwenda kuungana na wenzao Iringa?

Matumizi ya wanajeshi dhidi ya raia ni jambo ambalo halikubaliki. Na Mwamunyange ajue alichofanya hapo ni kutoa somo kwamba nchi hii kupinduliwa ni rahisi sana kama maandamano yanaweza kusababisha so much panic.

Wanajeshi wanauza sura mjini bila hata silaha. Na wasingeweza kuwa na silaha kwasababu zoezi zima halikuwa legitimate
 
Hii inaonyesha jinsi mwanadamu alivyo na hulka mbaya sana. Baada ya ghasia kutulizwa unauliza kama kulikuwa na haja ya JWTZ.Nina uhakika kama polisi wangezidiwa unge badilisha thread yako nakuuliza JWTZ walikuwa wapi. Learn to appreciate stuffs and quit asking irrelevant questions.
 
watu wanaelekea ikulu kwa polisi huo ni uchochezi ila kwa jeshi hilo ni jaribio la mapinduzi

jeshi lingetakiwa kupambana na wale waliotaka kuhujumu mamlaka ya urais kwa kuingia ikulu kiholela.

Jeshi ni sahihi kabisa kumhakikishia rais ulinzi
nakubaliana na wewe, ila kumbuka katika bajeti ya jeshi la tanzania, tz ni ya 23 barani afrika, jambo ambalo hata igp alikiri kuwa askari mmoja analinda raia 1500 jambo ambalo ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa ambazo ni 1xaskari=400raia. Tofauti ni zaidi ya mara mbili hivyo kulikuwa na ulazima wa jeshi kusaidia kupitia "state of imergency" ambayo hata hivyo haikuwepo.

Pili techinics za majeshi ni tofauti na mawazo ya raia, hivyo hata kova kusema hakuwa na taarifa za jeshi kuingilia kati alikuwa sahihi. Lengo la waislam kuandamana kwenda ikulu lilikuwa nini kama sio mapinduzi?

Halafu rais hakuwepo nchini hivyo ingekuwa ni rahisi kufanya "mapinduzi" hayo haramu...jeshi ni imara ndugu!!anaeona jeshi limekosea alipeleke mahakamani kulishtaki kwa kurejesha amani na utulivu...nikikuahidi pia kukupa takwimu za jeshi hilo kwa dar pekee na idadi ya waandamanaji utashangaa sana kuona ni kwa jinsi gani polisi walizidiwa......katika katiba ya jeshi hakuna kuzidiwa hata kama kiukweli umezidiwa.
 
Hii issue very sensitive, si jambo la kuupuza,sets a dangerous precedent. Mfano marekani: Federal law prohibits military personnel from enforcing the law within the USA except as expressely authorized by constituition or an Act of congress. Swali la kuuliza
1.katiba ya jamuhuri ina ruhusu jeshi kuzima maandamano?
2. Taratibu ipi inatumika kuidhinisha jeshi kuzima maandamano?
 
Thanda,

aisee...kumbe kumbe polisi hana uwezo wa kumlinda mwanajeshi na mali zake,ila mwanajeshi anamlinda polisi,mali zake pamoja na sisi raia wa kawaida...Mkuu inamaana mwanajeshi hata akivamiwa vibaka uraiani hawezi kuripoti polisi..
 
Ni sahihi kabisa hao JWTZ walivyofanya; ndivyo chain of command yao ilivyo na kimsingi Kova kajibu kwa usahihi kabisa kwamba hakuwa na taarifa - kawa muungwana na mkweli.

Pili, Jeshi halipaswi kumpa Kova taarifa na mikakati yao ili kuepusha uwezekano wa taarifa hizo kuvuja. Si ajabu zingefika Al-Masjid Muqadas, Tandika Maguruwe, kabla Jeshi halijaingia mtaani unategemea nini kingetokea?

Kwa hiyo Mkuu mleta uzi, kilichotokea ni sahihi wala usishangae bali tushangae kama taifa imekuwaje tukafika hapa? Hilo ndilo la msingi.

Matumizi ya wanajeshi Marikana Afrika Kusini habari iliwekwa kwenye national tv siku moja kabla. Kova ni mwana usalama, sasa kama wao kwa wao hawaaminiani usalama upo hapo kweli?

Mimi nilidhani nchi imepinduliwa halafu polisi wamefyata mkia
 
jana jeshi limetenda haki na wajibu wake kikamilifu

watu walitaka kuelekea ikulu kwa jeshi hili ni jaribio la mapinduzi na sii uchochezi, jeshi lazima lihakikishe Rais analindwa

jeshi lilitakiwa kuwachakaza wale wote waliokamatwa karibu na IKULU wakijaribu kumwondoa Rais.


ule mkwara walioutoa pale kariakoo ni sahihi ila wangeelekea karibu na ikulu na kuwapunguza viungo wale wote waliotaka kuingia IKULU na kumhujumu RAIS

umeongea ukweli mtupu , hii inalingana na ile ya ya zanzibar 2001 hawa jamaa walikuwa wanataka wateka bohari ya silaha ili waende ikulu kupindua nchi, safi mkapa chapa kabisa hao
 
Said Mwema anamuamrisha Davis kwa kuwa Said, Selemani, Khalib, Vuai, ni dini yetu.
Tatizo kubwa ni sera ya vitabu TUKUFU na TAKATIFU,

1/kitabu tukufu kina angalia saana mambo na faida za kidunia kuliko za kimbingu,hivyo SIRIT Yake kuua,kufujoka,kichinga mpaka ufe,kuchafua hali ya hewa si tatizo maadam kunaleta maslahi ya wafuata kitabu hicho na shule kwao si MUHIMU kabisa,ndo mana mambo haya yana fanana kote duniani kwa wafuatao kitabu hicho bila kujali kuna MOU au laa. Mfano KENYA, NIGERIA, SOMALI, nk kote huko watu hao wanaroho na maamuzi ya kufanana pasipo kuwepo mou,hivyo hawa hapa wanasingizia mou kumbe ni spirit yao.

2/kitabu KITAKATIFU hiki hujali saana kanuni na maadili ya kimbingu,pamoja na kufuata mtaala hou lakini wafuasi wake si malaika ni binadamu wenye udhaifu kwa namna tofauti kama ilivyo kwa binadamu wengine, lakini watu hao wanapokosea mara nyingi hukkubali makosa na kujirekebisha hasa wakiogopa kwenda kinyume na jamii kwa kufuata imani ya kitabu chao.
 
Back
Top Bottom