suppose wewe umeoa, mkeo anafanya kazi n a wewe pia una kazi nzuri. mmeshirikiana kujenga nyumba, kuanzisha miradi na mmejaliwa kupata mtoto mmoja wa kike. Bahati mbaya sana (mungu apishe mbali) ukatangilia mbele ya haki. Utaridhika mkeo apate mgao wa kathumuni kwenye mirathi yako? Au pengine unieleweshe mgao hapa utakuwaje kwa mkeo na mwanao.
Kwa bahati mbaya sina details sasa, lakini haki amepewa kila mtu kwenye sheria ya ndoa ya kiislamu.
hapa ndio kazi ingine inazuka. Nani atasomesha hao mahakimu Qoran? watkuwa wapya au ni wale ambao tayari ni mahakimu?
na Je, ajira ya waislam katika mahakama za kawaida itasitishwa ili ku-balance ajira kati ya waislam na wakristo katika idara ya mahakama?(au mahakama ya kadhi haitakuwa chini ya idara ya mahakama, maana inaweza kuongozwa na makafiri)
Katika kusomeshwa, at whose expense? kama ni serikali itagharamia, ita-justify vipi hizo kodi za wakristo?
na kama watajilipia, ni kigezo gani kitatumika kuhakikisha baada ya kusomeshwa wataajiriwa?
Hizi ndio complications ambazo zinafanyafanya/justfy, waislamu wanatake mahakama yao, yenye mahakimu wao wanaojua katiba yao [Quoran].
Mahakama za Kiserikali huwezi kuzichanganya na kuzipa mambo ya dini,,, kumbuka kwenye idara ya mahakama ya serikali pia kuna mahakama mbalimbali za ardhi, biashara, etc... ikimaanisha specialization is key ili kutoa haki.
In terms of resources sifahamu, lakini serikali yaweza amua itoe resources kwa wananchi wake ikipenda,,, nakumbuka kuna siku mkutano mkuu wa bakwata uligharimiwa na serikali enzi za mkapa, na kumbuka hivi karibuni chuo cha dodoma ilikuwa majengo ya serikali hivyo... waislamu ni wananchi wa serikali,,, details sina.
Hili la resource litachambuliwa, ingawa naamini hatuwezi kutumia resource issue kama sababu ya kumfanya mtu mwingine asimwabudu Mungu wake, at the same time, huwezi kumuumiza mtu mwingine,,, haya yanafanyiwa kazi. sina details
wezi, wagoni,wabakaji..wana adhabu zao ndani ya sheria za kiislam; haya sio makosa ya kiutendaji, ni jinai kamili. waislam watakubali kuona wagoni wao wakilipishwa faini ya sh 20,000 mahakama ya kawaida wakati mahakama ya kiislam ipo?
civil law na mahakama ya kawaida itafanya kazi yake,,, nchi haiongozi na sheria za kiislamu... ingawa kuna sehemu moja tu... sina unahakika nayo,,, nadhani kama ni waislamu wamekoseana wawili wamekoseana na kuamua kutatua kidini... inaruhusiwa.. mheshimiwa sina details hapa.
Wrong! Given time naweza kukuainishia sheria/vipengele rundo zima zinazokinzana na haki za binadamu kama zinavyojulikana na katika ulimwengu wa haki za binadamu:
Usually kwenye mambo ya civil laws,,, sio kwenye ndoa... na civil laws,,, sheria za mahakama za ki-serikali zitaprevail
Marekebisho ya kuingiza suala la mahakama ya kadhi linahitaji 'major uverhauling' its more like Katiba mpya, at least ndivyo ninavyoona
Kutoa haki ni gharama pia, kama ilivyo demokrasia ni gharama, ndio maana serikali inafanya uchambuzi makini...katika hili, kujua how many laws will be affected etc...