Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

jee wao wameahidiwa?

kama kuna chama kimeahidi wakristo wapewe kitu fulani ktk kampeni kma ni ahadi wakipata wakristo wanayo haki kudai haki hiyo.


hii ni ahadi iliotolewa sawa na kuwaletea watanzania maisha bora, tuna haki ya kuulizia zote, sio kukubali sehemu kuuliziwa nyengine ikiuliziwa mnune.

ama kweli wengine wanachuki sana uislamu bila ya macho?

tuacheni roho ya kwa nini
 
Huyo mbunge akasema kuwa kuwa kwa vile waislamu ni wengi basi wapewe watakacho. Akasema wangeweza kuomba kama sheria zile kali za kukatana mikono lakin wao wanachoomba ni kuwa mahakama hiyo ya kadhi ishughulikie mambo ya ndoa, mirathi n.k yasiyohusiana ya uhalifu. Jasusi, huko nyuma mbunge akisema kitu ambacho kina utata alitakiwa kuleta ushahidi lakini katika hili Mwenyekiti wa kikao aliliacha lipite tu hivyo nimeassume kuwa wamekubali kuwa huo ni ukweli.

Hivi kwani sasa hivi MIRATHI na MAMBO ya NDOA yakoje kwa hawa jamaa?

Mimi nasema waombe vyote kwa sababu kama nikutekeleza amri za ALLAH hata kukata watu mikono kwa nini wanaikataa?

Kama ni utata hata hizo wanazoomba nazo zinautata.

Kwa hii nchi sijui itakuwaje miaka mitano ijayo. Hakika nina hofu moyoni mwangu.
 
jee wao wameahidiwa?

kama kuna chama kimeahidi wakristo wapewe kitu fulani ktk kampeni kma ni ahadi wakipata wakristo wanayo haki kudai haki hiyo.


hii ni ahadi iliotolewa sawa na kuwaletea watanzania maisha bora, tuna haki ya kuulizia zote, sio kukubali sehemu kuuliziwa nyengine ikiuliziwa mnune.

ama kweli wengine wanachuki sana uislamu bila ya macho?

tuacheni roho ya kwa nini

Kwa hiyo unataka kutubagua sio?. Nyie waislamu na mahakama zenu sisi wengine na mahakama zetu?. Mnatupeleka kubaya jamani
 
Huu ndo unaitwa ukoloni wa kidini, dini moja kutaka kuitawala ingine. Hiyo ilani kama ipo na ina uhai ife kifo cha mende!
 
CCM waliiingiza hilo katika Ilani ya uchaguzi kama mbinu ya kisanii ili kupata kura baadhi ya maeneo. Sasa yamewafika,jinsi ya kujinasua ktk hilo kitendawili.
 
Huu ndo unaitwa ukoloni wa kidini, dini moja kutaka kuitawala ingine. Hiyo ilani kama ipo na ina uhai ife kifo cha mende!


Pinokyo,

Hiyo ilani ipo, ila sasa sielewi kama ilisema kwamba hiyo Mahamaka ya Kadhi itaanzishwa ama la. Inasema hivi:

"Kulipatia ufumbuzi suala la kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara."
 
Mhhh... jama!
Hivi huu ni upepo gani?

Mbona kila kukicha waislamu! waislamu! waislamu!
-Mara tunaonewa,
-Mara afadhali Mkapa..
-Mara viwanja vyetu
-mara sisi ni wengi kuliko wengine
-Mara tupeni mahakama zetu

na yote ni kuelekezwa kwa raisi?

JAMANI KUNA NINI HASA??

Mbona haya mambo yanazidi kufuatana mno, na yanaibuka kwa kasi sana?

Ina maana ni upepo tu? na yamefuatana tu bahati nasibu? (coincidence) ama wimbi hili ni kubwa kuliko tunavyo dhani?


''whatch out''
 
ina maana hayo ndiyo maneno ya kwenye ilani?

Mzee Mwanakijiji,

Hivyo ndivyo nijuavyo. Pia ninasoma kwenye magazeti niliyonayo. Wakati wa kampeni za uchaguzi 2005, baadhi ya magazeti yalituwekea ilani za vyama mbali mbali vya siasa.

Sasa sina uhakika kama magazeti yalikosea ama vipi. Ngoja labda nitafute ilani yenyewe nilinganishe, kama kuna mwana-JF mwenye nayo hapo karibu, atusaidie.

Pia inaweza kupatikana hapa: http://www.ccmtz.org/0ilani.htm. Nimeshindwa kudownload kwa sasa hivi kwa maana ninazo bytes kidogo kwa leo.
 
Hivi kuna ubaya gani kudai kitu ambacho umehaidiwa kumbuka ahadi ni deni,Lazima ccm watekeleze ahadi zao kwa vitendo.
 
JF amani ya Bwana iwe Nanyi...MKJJ thanx kuieleta hii Barazani...

Mahakama ya Kadhi muulizen MREMA, naye amekuwa akiipigia debe..may be nae alikuwa anatafuta kura za waislam au kuipata rangi CV yake mbele ya waislam.

Mahakama ya Kadhi ilikuwepo since ukoloni, ambayo wao ndio wamekuja kuwabatiza watu. alipokuja Nyerere yeye ndie aliivunja hii na Asasi zingine za waislam. Waislam wameenza kudai hili since wakati wa mwalim naye alikuwa akiwafunga masheikh na wengine kuwafukuza waende kwao Z'bar..wakati Muungano Tayari ushajengwa...
Mliochangia hii mada wengi hamkusoma sharia. Hata kama mngesoma the so called secular laws..basi siku moja mwalim wenu angewagusia Kuhusu ISlamic Laws...Niwaulize wajumbe hivi Kenya na Tanzania wapi kuna muslim wengi?...jibu 100% ni Tanzania...Kenya wanazo Mahakama za kadhi...
Dini zingine hazina sheria, if that is true, ukristo ukitekeleza tu zile amri 10 basi waislam wenyewe watafurahi...lkn yale ni makatazo tu hayana hukumu...

(kwa mnaotaka Takwimu nendeni taasis ya Takwim Tanzania, muone juu ya Tanzania hali ikoje...)
 
Mhhh... jama!
Hivi huu ni upepo gani?

Mbona kila kukicha waislamu! waislamu! waislamu!
-Mara tunaonewa,
-Mara afadhali Mkapa..
-Mara viwanja vyetu
-mara sisi ni wengi kuliko wengine
-Mara tupeni mahakama zetu

na yote ni kuelekezwa kwa raisi?

JAMANI KUNA NINI HASA??

Mbona haya mambo yanazidi kufuatana mno, na yanaibuka kwa kasi sana?

Ina maana ni upepo tu? na yamefuatana tu bahati nasibu? (coincidence) ama wimbi hili ni kubwa kuliko tunavyo dhani?


''whatch out''

Offcourse tusipoangalia tutaelekea kubaya. We hukumbuki wakati wa Ruksa SMZ iliingizwa IOC.
 
Huu mjadala ulikuwepo hapa siku za nyuma na ulijadiliwa sana baadhi ya member wanakumbukumbu hiyo.tatizo siyo hiyo mahakama,tatizo lililopo ni kuwa haiwezi kuanzishwa kwa sheria za bunge,wafanye kama wakristo walivyofanya kwani wao wanamabaraza yao ya usuluhishi katika makanisa yao ambayo yanatambuliwa na waumini wenyewe.
Na waisilam tuanzishe ya kwetu ili tushughulikie hizi ndoa zetu na mirathi,kama tunaweza fungisha ndoa kwa imani yetu kwa nini tushindwe kutatua matatizo ya ndoa.hakuna sababu ya serikali kutupa kibali juu ya hili.kila msikiti tuwe na baraza la wazee ambao watakuwa wanashughulikia haya matatizo yetu ya kiimani.
 
Huu mjadala ulikuwepo hapa siku za nyuma na ulijadiliwa sana baadhi ya member wanakumbukumbu hiyo.tatizo siyo hiyo mahakama,tatizo lililopo ni kuwa haiwezi kuanzishwa kwa sheria za bunge,wafanye kama wakristo walivyofanya kwani wao wanamabaraza yao ya usuluhishi katika makanisa yao ambayo yanatambuliwa na waumini wenyewe.
Na waisilam tuanzishe ya kwetu ili tushughulikie hizi ndoa zetu na mirathi,kama tunaweza fungisha ndoa kwa imani yetu kwa nini tushindwe kutatua matatizo ya ndoa.hakuna sababu ya serikali kutupa kibali juu ya hili.kila msikiti tuwe na baraza la wazee ambao watakuwa wanashughulikia haya matatizo yetu ya kiimani.

Sasa unataka kusema CCM walipoandika irani yao hawakuyajua hayo???
 
Katibu Tarafa usijipe Uislam usiokua nao...kusulushisha kitu kingine na Laws kitu kingine... Sheria za Kiislam zinaaingiliana na sheria za Serikali na ndio maana muslim wanahitaji separation maalum...Wakristo hawana sheria za mirathi, islam it's a complete system of Life...if ur a muslim, plz go back to school..
 
Chuma, je mahakama hiyo ikiundwa itaendeshwa itawahusu watu wote au itawahusu waislamu peke yao?
 
Inayotajika nii elimu na ufumbusi hukusu sheria law.Who is allowed to take their case to a Sheria Court? ?If nii Waislamu pekeyao ;and what proof is required.And is the ruling binding?Or if one of the parties in the dispute is dissatified he can go to the usual Law Courts?
I think the hearing and rulings will be faster,but will that get rid of or reduce RUSHWA ??It will also reduce the work load at RM's Court where there is Rushwa kibao.Correct me if I am wrong ,But I think Sharia or Khadii Courts is where Muslim men can nyosha their women.
 
Hivi Hii Mahakama ikiruhusiwa na Serikali itaendeshwa kivipi!Nani atagharamia hiyo Mahakama?Msiniambie kuwa itapata Fungu kutoka Serikalini kuendesha Shughuli zake!Kumbukeni kuwa walipa kodi wana Dini tofauti!.
 
Mimi naona lugha iliyotumiwa ni ya kisanii. Nadhani na ufumbuzi utakaotafutwa utakuwa wa kisanii vile vile.
 
Back
Top Bottom