Katika sheria hiyo ya Kiislamu ndio inatambua kwamba wale watakaokuwa hawajaelewana kuhusu mgawanjo wa mirathi na n.k. watapeleka shauri lao kwenye mahakama ya kadhi.
suppose wewe umeoa, mkeo anafanya kazi n a wewe pia una kazi nzuri. mmeshirikiana kujenga nyumba, kuanzisha miradi na mmejaliwa kupata mtoto mmoja wa kike. Bahati mbaya sana (mungu apishe mbali) ukatangilia mbele ya haki. Utaridhika mkeo apate mgao wa
kathumuni kwenye mirathi yako? Au pengine unieleweshe mgao hapa utakuwaje kwa mkeo na mwanao.
Hapa ndio watu wengi wanatoka nje ya mstari, ili mahakama ya sasa ikidhi haja ya mahakama ya kadhi, maana yake tusomeshe mahakimu Quran (maana hii ndio katiba yao). na hata hivyo haitakuwa suluhisho! waislamu wana hoja kwamba kama ndoa ilitambuliwa,,, namna ya kuivunja itambuliwe,,, na vyote viwili viko kwenye vitabu vyao... mahakama ya kadhi iko kwenye vitabu vyao.
hapa ndio kazi ingine inazuka. Nani atasomesha hao mahakimu Qoran? watkuwa wapya au ni wale ambao tayari ni mahakimu?
na Je, ajira ya waislam katika mahakama za kawaida itasitishwa ili ku-balance ajira kati ya waislam na wakristo katika idara ya mahakama?(au mahakama ya kadhi haitakuwa chini ya idara ya mahakama, maana inaweza kuongozwa na makafiri)
Katika kusomeshwa, at whose expense? kama ni serikali itagharamia, ita-justify vipi hizo kodi za wakristo?
na kama watajilipia, ni kigezo gani kitatumika kuhakikisha baada ya kusomeshwa wataajiriwa?
Makosa mengi ya kijinai (hapa ni mawazo yangu) ni ya kiutendaji/utawala na kwa kuwa Tanzania sio dola ya kiislamu... Mahakama ya Ki-serikali inachukua mkondo.
wezi, wagoni,wabakaji..wana adhabu zao ndani ya sheria za kiislam; haya sio makosa ya kiutendaji, ni jinai kamili. waislam watakubali kuona wagoni wao wakilipishwa faini ya sh 20,000 mahakama ya kawaida wakati mahakama ya kiislam ipo?
Kwanza sheria za dini ya kiislamu kwenye mambo ya ndoa/nirathi haziendi tofauti na hizo zinazoitwa haki za binadamu, hence hakuna haja ya kujitoka kwenye kuridhia mikataba. Only tunekuwa kwenye jinai pia huko ndio kungekuwa na tatizo ya mitazamo
Wrong! Given time naweza kukuainishia sheria/vipengele rundo zima zinazokinzana na haki za binadamu kama zinavyojulikana na katika ulimwengu wa haki za binadamu
Sasa huwezi lazimisha wenye imani zao wamwamini mdhaifu George Bush.
We have no choice my bro...beggars are not choosers...
Ume-missquote; wamekataa kuleta katiba mpya, marekebisho wanafanya kwa sasa yalishafikia 11
Marekebisho ya kuingiza suala la mahakama ya kadhi linahitaji 'major uverhauling' its more like Katiba mpya, at least ndivyo ninavyoona