Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Yani mleta mada ni kama umelewa gongo asubuhi...Unachokiandika hujui, eti TEC ni chombo kinacho ratibu elimu dunia nzima na kimetapakaa duniani kote....shame shame..

Embu Waislam mnapochagua watu wakuja kuleta post humu atleast muwachuje wale wenye uelewa wa mambo kidogo...Mnazidi jiabisha ndugu..Ndo maana tunasema bado mpo nyuma kielimu..
 
Kinachotuponza sisi waislamu ni uvivu wa kusoma na kwa hilo tunatumia nguvu nyingi sana kutetea kitu ambacho mwishoni tunashindwa kwa hoja. Nashauri waislamu wenzangu tukaisome katiba ya OIC tuitumie hiyo kujenga hoja.
 
Mod...unganisha huu uzi na ule mwingine wa longtime kitambo......!
 
Haya tumekusoma. Dr. Dhaifu atalifanyia kazi. Lakini hii sio Siasa. Haya malalamiko yako ungeyatupia kwenye jukwaa la Dini/ imani.
 
Ifike sehemu wajue na waislamu wana haki kama walivyo watanzania wengine otherwise haya madaraja ya kielimu na kimaisha yataendeleza vita ya kifikra juu ya waislamu kuona walionayo katika matatizo yao yamesababishwa na wengine na hapo ndio utawakuta watu wenye intrest zao watakapotumia mwanya huu kuleta kutokuelewa kwa watanzania.
 
Yani mleta mada ni kama umelewa gongo asubuhi...Unachokiandika hujui, eti TEC ni chombo kinacho ratibu elimu dunia nzima na kimetapakaa duniani kote....shame shame..

Embu Waislam mnapochagua watu wakuja kuleta post humu atleast muwachuje wale wenye uelewa wa mambo kidogo...Mnazidi jiabisha ndugu..Ndo maana tunasema bado mpo nyuma kielimu..
Hawapendi kuambiwa ukweli.
 
Yani mleta mada ni kama umelewa gongo asubuhi...Unachokiandika hujui, eti TEC ni chombo kinacho ratibu elimu dunia nzima na kimetapakaa duniani kote....shame shame..

Embu Waislam mnapochagua watu wakuja kuleta post humu atleast muwachuje wale wenye uelewa wa mambo kidogo...Mnazidi jiabisha ndugu..Ndo maana tunasema bado mpo nyuma kielimu..

Dada yangu tedo me naona kama ww ndio ulolewa gongo mleta uzi kauliza suala zuri na lenye mantiki simple n clear kwamba tanzania tunaendeshwa na mfumo kristo
 
Yani mleta mada ni kama umelewa gongo asubuhi...Unachokiandika hujui, eti TEC ni chombo kinacho ratibu elimu dunia nzima na kimetapakaa duniani kote....shame shame..

Embu Waislam mnapochagua watu wakuja kuleta post humu atleast muwachuje wale wenye uelewa wa mambo kidogo...Mnazidi jiabisha ndugu..Ndo maana tunasema bado mpo nyuma kielimu..

Ndio hao wasomi wa M M University!!!
 
Ni jambo la kusikitisha sana kuona viongozi wa dini wa Kikristo, hasa Wakatoliki, wakikataa katakata Tanzania kujiunga na OIC. Sababu wanayoitoa ni kwamba Tanzania sio nchi ya kidini hivyo haiwezi kujiunga na OIC ambacho ni chombo cha Waisalamu.

Wakati wanaendelea kushushumalia Tanzania isijiunge na OIC, wao wana vyombo mbalimbali vya Kikatoliki hapa Tanzania vinavyowaunganisha na Wakatoliki dunia nzima.

Kwa mfano, Balozi wa Vatican ambaye ni Mwakilishi wa Papa yupo hapa Tanzania. Isitoshe, wana chombo chao cha kimataifa kuhusu masuala ya elimu hapa Tanzania kiitwacho Tanzania Episcopal Conference ambacho kimetapakaa dunia nzima.

Kwa nini wao waruhusiwe kuwa na vyombo vya kidini vya kimataifa wakati Waislamu wakataliwe?
Kibaya zaidi ni kwamba wakati Tanzania inakataliwa kujiunga na OIC, nchi zingine kama Uganda, Cameroon, Nigeria na Mozambique, Ivory Coast ni wanachama wa OIC na wanafaidika na misaada wanayopata kutoka OIC.

Huu ni ubeberu uliopindukia. Hali hii haikubaliki hata kidogo na waislamu wataendelea kupigania haki yao hii mpaka waipate au Wakristo wa Tanzania na wao wasiruhusiwe kujiunga na vyombo vya kidini vya kimataifa.

Mods muwe wavumilivu na mawazo tofauti ya members ili mradi hayavunji kanuni za JF na sheria za nchi. Mjitahidi kuzuia unazi wenu.

Aluta Continua.

Kasome tena, refresh your mind! what is TEC, OIC, Vatican Diplomatic representations etc
 
Haturuhusiwi kujiunga kwa sababu nchi yetu inaendeshwa mfumo kristo hakuna asiejua

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Yani
mleta mada ni kama
umelewa gongo asubuhi...Unachokiandika hujui, eti TEC ni chombo kinacho
ratibu elimu dunia nzima na kimetapakaa duniani kote....shame shame..

Embu Waislam mnapochagua watu wakuja kuleta post humu atleast muwachuje
wale wenye uelewa wa mambo kidogo...Mnazidi jiabisha ndugu..Ndo maana
tunasema bado mpo nyuma kielimu..
Kwa hiyo TEC wamejiunga wakatoliki au Tanzania kama nchi? Waislamu
hawajakatazwa kujiunga OIC, mkitaka kujiunga mnaweza hata leo, lakini sio nchi. Kwanini mnalazimisaha ncho ndo ijiunge na si bakwata au taasisintingine?
 
Ni jambo la kusikitisha sana kuona viongozi wa dini wa Kikristo, hasa Wakatoliki, wakikataa katakata Tanzania kujiunga na OIC. Sababu wanayoitoa ni kwamba Tanzania sio nchi ya kidini hivyo haiwezi kujiunga na OIC ambacho ni chombo cha Waisalamu.

Wakati wanaendelea kushushumalia Tanzania isijiunge na OIC, wao wana vyombo mbalimbali vya Kikatoliki hapa Tanzania vinavyowaunganisha na Wakatoliki dunia nzima.

Kwa mfano, Balozi wa Vatican ambaye ni Mwakilishi wa Papa yupo hapa Tanzania. Isitoshe, wana chombo chao cha kimataifa kuhusu masuala ya elimu hapa Tanzania kiitwacho Tanzania Episcopal Conference ambacho kimetapakaa dunia nzima.

Kwa nini wao waruhusiwe kuwa na vyombo vya kidini vya kimataifa wakati Waislamu wakataliwe?
Kibaya zaidi ni kwamba wakati Tanzania inakataliwa kujiunga na OIC, nchi zingine kama Uganda, Cameroon, Nigeria na Mozambique, Ivory Coast ni wanachama wa OIC na wanafaidika na misaada wanayopata kutoka OIC.

Huu ni ubeberu uliopindukia. Hali hii haikubaliki hata kidogo na waislamu wataendelea kupigania haki yao hii mpaka waipate au Wakristo wa Tanzania na wao wasiruhusiwe kujiunga na vyombo vya kidini vya kimataifa.

Mods muwe wavumilivu na mawazo tofauti ya members ili mradi hayavunji kanuni za JF na sheria za nchi. Mjitahidi kuzuia unazi wenu.

Aluta Continua.

mleta mada naomba kukufafanulia mambo uliyouliza hapo juu.
Vatican ni nchi kama ilivyo Tanzania, Kenya, Germany nk. hivo wewe kuhoji kuhusu ubalozi wa Vatikani hapa bongo ni sawa na kuhoji kuhusu ubalozi wa Uholanzi au Kenya kwa nini uwepo bongo au kuhoji ubalozi wa Iran ambayo ni Islamic state why uwepo hapa Bongo. kwa hivo suala la huo ubalozi kuwa hapa Bongo ni jambo la kawaida na limefuata Protocol zote kaka.
TEC (Tanzania Episcopal Conference) hili ni baraza la maaskofu katolic Tanzania, ni baraza tu kwenye dini ya wakatoliki kama ilivo baraza la maulamaa kwenu. Nafikiri sihitaji kufafanua zaidi kwenye hilo.
Kuhusu OIC hiyo kaka nafikiri waifahamu, labda tu ufafanue wewe why tujiunge nayo, na je wewe uko tayari tanzania ijiunge kwenye shirikisho la dini ya kikristo? utakubali au yataanza maneno mengine tena?
 
Dada yangu tedo me naona kama ww ndio ulolewa gongo mleta uzi kauliza suala zuri na lenye mantiki simple n clear kwamba tanzania tunaendeshwa na mfumo kristo

mimi huwa nashangaa sana, kama mtu unauwezo wa kuingia jamii forum na ukapost kitu kwa nini uwezo huo huo usiutumie kwenda kwenye Google au Altavista au Ask uka-type swali lako, au unachotaka kujua kisha ukasoma maelezo yake? au huzijui hizo search engine kaka? ok do this, nenda kwa address bar yako/URL/hapo unapoingiza www.jamiiforums.com kisha weka hii Google au hii Yahoo! Search - Web Search au hata hii Ask.com Web Search halafu ingiza kwa search bar Vatican kisha ikishakupa majibu soma wewe mwenyewe ujue Vatican ni nini,(usije sema sisi ndo tumekupotosha Vatican ni nin, soma mwenyewe kadri uwezavo) halafu search pia hiyo TEC au (Tanzania Episcopal Conference) ujue nayo ni nini, kisha ndo uje hapa tujadiliane.
Fanya uchunguzi wako tu mkuu, kisha njoo na hoja mezani, tunakuahidi kuzijibu hoja zako bila tatizo na kwa uhakika.
 
Ni jambo la kusikitisha sana kuona viongozi wa dini wa Kikristo, hasa Wakatoliki, wakikataa katakata Tanzania kujiunga na OIC. Sababu wanayoitoa ni kwamba Tanzania sio nchi ya kidini hivyo haiwezi kujiunga na OIC ambacho ni chombo cha Waisalamu.

Wakati wanaendelea kushushumalia Tanzania isijiunge na OIC, wao wana vyombo mbalimbali vya Kikatoliki hapa Tanzania vinavyowaunganisha na Wakatoliki dunia nzima.

Kwa mfano, Balozi wa Vatican ambaye ni Mwakilishi wa Papa yupo hapa Tanzania. Isitoshe, wana chombo chao cha kimataifa kuhusu masuala ya elimu hapa Tanzania kiitwacho Tanzania Episcopal Conference ambacho kimetapakaa dunia nzima.

Kwa nini wao waruhusiwe kuwa na vyombo vya kidini vya kimataifa wakati Waislamu wakataliwe?
Kibaya zaidi ni kwamba wakati Tanzania inakataliwa kujiunga na OIC, nchi zingine kama Uganda, Cameroon, Nigeria na Mozambique, Ivory Coast ni wanachama wa OIC na wanafaidika na misaada wanayopata kutoka OIC.

Huu ni ubeberu uliopindukia. Hali hii haikubaliki hata kidogo na waislamu wataendelea kupigania haki yao hii mpaka waipate au Wakristo wa Tanzania na wao wasiruhusiwe kujiunga na vyombo vya kidini vya kimataifa.

Mods muwe wavumilivu na mawazo tofauti ya members ili mradi hayavunji kanuni za JF na sheria za nchi. Mjitahidi kuzuia unazi wenu.

Aluta Continua.


Hapo kwenye red, are you serious? "Tanzania Episcopal Conferences" imetapakaa DUNIA NZIMA! Ha ha ha!

Ubalozi wa Vatican: Vatican ni nchi kama zilivyo Iran na Saudi Arabia. Rais wa Vatican (ikijulikana pia kama Holy See) ni Pope. Balozi wa Vatican yupo Tanzania akiwakilisha nchi yake sawa sawa na mabalozi wa nchi nyingine kama nilizozitaja hapo juu wanavyowakilisha nchi zao. Mwisho, Vatican ni mwananchama wa UN.

HOJA: Naomba unifahamishe "nchi" ya OIC iko wapi (bara gani au angalau iko kati ya latitudes na longitudes zipi), rais wake ni nani, na ina ubalozi katika nchi zipi, na kama ni mwanachama wa UN au la.

Nchi nyingine kuwa wanachama wa OIC: Kwanza Tanzania sio Uganda na wala sio Ivory Coast. Mbona huongelei upande wa pili wa shilingi; kwanini nchi nyingine sio wanachama wa OIC? Mbona hilo hulioni? Au ni Tanzania pekee ndio sio mwananchama wa OIC?

Katiba na Malengo ya OIC: Kaisome vizuri Katiba ya OIC, uielewe kisha uje hapa ufafanue malengo ya hiyo taasisi. Kwa kuwa baadhi yetu ni wavivu wa kusoma zaidi ya akili za kushikishwa, pata "highlights" kuhusu OIC hapa: Oic Constitution na uache kupotosha watu.

Waislamu kujiunga na OIC: Hakuna anayekataa waislamu kama waislamu kujiunga na OIC bali kikwazo ni taifa kama taifa lenye watu wa dini mbalimbali kujifunga kwenye minyororo na taasisi ya dini moja. OIC ina vikao vyake mbalimbali na kati ya hivyo kuna vya wakuu wa nchi wananchama hapo inakuwaje?

Ushauri: Tuache kupotosha; badala yake tuzungumzie vitu kwa uhalisia wake. Kuna taasisi nyingi sana za kikristo, kihindu, kibudha, kiyahudi, n.k. duniani ambazo Tanzania sio mwananchama na haiwezi kuwa mwananchama kutokana na malengo na Katiba za taasisi hizo sawasawa na ilivyo kwa OIC. Hata hivyo taasisi husika za kidini hazizuiliwi kuwa wanachama.
 
Wivu unawasumbua,B.membe alishawahi kusema mbele ya bunge kuwa tz kujiunga na oac haina tatizo,kwani hata hao wakiristo watanufaika nayo,na hii ni kutokana uchunguzi aliofanya.

Wacha mzaha wewe! Hii nimei-quote kutoka mahali kuhusiana na malengo ya OIC:

"The OIC is an Islamic organization for Islamic nations which discuss only cultural issues, or issues which can benefit the Islam or the whole Islamic world. To bring other issues on the OIC agenda, there must be an official request and 51% of the OIC members must agree to bring this issue in the OIC."

Kwa maelezo zaidi soma hapa: Oic Constitution na uache kupotosha watu.
 
Nikuulize swali Mleta Mada? unavosema Kuna Balozi wa Vatican hakuna balozi wa Saud Arabia? Oman? Iraq? etc au hujui maana ya kazi za Balozi? Kuhusu swala la OIC Tanzania sio nchi ya kidini ukisema tujiunge ina maana sisi wa Kirsto tukubali kufata sheria za Kiislam ili tupewe misaada... sheria kama kujitoa mhanga kwa ajili ya wengine kua na mahakama ya kadhi.hizo hatukufundishwa kanisani tafadhali sana ndugu Tunaswala la kuchinja sahivi na udini vyuoni usitongezee na.jingne kwa maslah yenu binafsi sawa? Misaada inayopatikana yenyewe Serikali imeshindwa kuisimamia wat is the point ya kuwatafutia ulaji Mwingne usiwe mviivu wa kufikiri kungekua na organization of Christians community Tz iliyokubaliwa na serikali.hapo tungewaelewa lakini maswala ya kutulazimisha nchi yetu itambulike kama ya kiislam SAHAU
 
Ni jambo la kusikitisha sana kuona viongozi wa dini wa Kikristo, hasa Wakatoliki, wakikataa katakata Tanzania kujiunga na OIC. Sababu wanayoitoa ni kwamba Tanzania sio nchi ya kidini hivyo haiwezi kujiunga na OIC ambacho ni chombo cha Waisalamu.

Wakati wanaendelea kushushumalia Tanzania isijiunge na OIC, wao wana vyombo mbalimbali vya Kikatoliki hapa Tanzania vinavyowaunganisha na Wakatoliki dunia nzima.

Kwa mfano, Balozi wa Vatican ambaye ni Mwakilishi wa Papa yupo hapa Tanzania. Isitoshe, wana chombo chao cha kimataifa kuhusu masuala ya elimu hapa Tanzania kiitwacho Tanzania Episcopal Conference ambacho kimetapakaa dunia nzima.

Kwa nini wao waruhusiwe kuwa na vyombo vya kidini vya kimataifa wakati Waislamu wakataliwe?
Kibaya zaidi ni kwamba wakati Tanzania inakataliwa kujiunga na OIC, nchi zingine kama Uganda, Cameroon, Nigeria na Mozambique, Ivory Coast ni wanachama wa OIC na wanafaidika na misaada wanayopata kutoka OIC.

Huu ni ubeberu uliopindukia. Hali hii haikubaliki hata kidogo na waislamu wataendelea kupigania haki yao hii mpaka waipate au Wakristo wa Tanzania na wao wasiruhusiwe kujiunga na vyombo vya kidini vya kimataifa.

Mods muwe wavumilivu na mawazo tofauti ya members ili mradi hayavunji kanuni za JF na sheria za nchi. Mjitahidi kuzuia unazi wenu.

Aluta Continua.

Kama uwezo wa Waislamu wote ni huu basi uislam ni Tatizo pia, hivi unafaham kwamba OIC ni Jumuia huwezi kuifananisha na Vatican ambayo siyo muunganiko wa maamlaka mbalimbali, mbona Tanzania ina barozi za nchi kama Iran, Saudia ambazo ni nchi za Kiislam. Jifunze kutofautisha vitu. Nyie Waislam mnaruhusiwa kujiunga na Jumuia yeyote kama ambavyo wakatoliki na madhehebu mengine wanaruhusiwa, lakini ni Mwiko kwa nchi kujiunga na jumuia za kidini.
 
Back
Top Bottom