Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

mimi huwa nashangaa sana, kama mtu unauwezo wa kuingia jamii forum na ukapost kitu kwa nini uwezo huo huo usiutumie kwenda kwenye Google au Altavista au Ask uka-type swali lako, au unachotaka kujua kisha ukasoma maelezo yake? au huzijui hizo search engine kaka? ok do this, nenda kwa address bar yako/URL/hapo unapoingiza www.jamiiforums.com kisha weka hii Google au hii Yahoo! Search - Web Search au hata hii Ask.com Web Search halafu ingiza kwa search bar Vatican kisha ikishakupa majibu soma wewe mwenyewe ujue Vatican ni nini,(usije sema sisi ndo tumekupotosha Vatican ni nin, soma mwenyewe kadri uwezavo) halafu search pia hiyo TEC au (Tanzania Episcopal Conference) ujue nayo ni nini, kisha ndo uje hapa tujadiliane.
Fanya uchunguzi wako tu mkuu, kisha njoo na hoja mezani, tunakuahidi kuzijibu hoja zako bila tatizo na kwa uhakika.

Huwezi kuichunguza Vatican kwa ku search kwenye Google etal. Unaichunguza kuangalia mwenendo wake jinsi inavyo behave na hii hutoipata kwenye mitandao hiyo. Vatican ipo pale kujenga interests za Wakatoliki dhidi ya dini na madhehebu mengine yote duniani na kwa hiyo HAIFAI kupewa ubalozi kwenye nchi zisizo za Katoliki rasmi hasa kwenye nchi zetu hizi za kimasikini. NUKTA.
 
Hapo kwenye red, are you serious? "Tanzania Episcopal Conferences" imetapakaa DUNIA NZIMA! Ha ha ha!

Ubalozi wa Vatican: Vatican ni nchi kama zilivyo Iran na Saudi Arabia. Rais wa Vatican (ikijulikana pia kama Holy See) ni Pope. Balozi wa Vatican yupo Tanzania akiwakilisha nchi yake sawa sawa na mabalozi wa nchi nyingine kama nilizozitaja hapo juu wanavyowakilisha nchi zao. Mwisho, Vatican ni mwananchama wa UN.

HOJA: Naomba unifahamishe "nchi" ya OIC iko wapi (bara gani au angalau iko kati ya latitudes na longitudes zipi), rais wake ni nani, na ina ubalozi katika nchi zipi, na kama ni mwanachama wa UN au la.

Nchi nyingine kuwa wanachama wa OIC: Kwanza Tanzania sio Uganda na wala sio Ivory Coast. Mbona huongelei upande wa pili wa shilingi; kwanini nchi nyingine sio wanachama wa OIC? Mbona hilo hulioni? Au ni Tanzania pekee ndio sio mwananchama wa OIC?

Katiba na Malengo ya OIC: Kaisome vizuri Katiba ya OIC, uielewe kisha uje hapa ufafanue malengo ya hiyo taasisi. Kwa kuwa baadhi yetu ni wavivu wa kusoma zaidi ya akili za kushikishwa, pata "highlights" kuhusu OIC hapa: Oic Constitution na uache kupotosha watu.

Waislamu kujiunga na OIC: Hakuna anayekataa waislamu kama waislamu kujiunga na OIC bali kikwazo ni taifa kama taifa lenye watu wa dini mbalimbali kujifunga kwenye minyororo na taasisi ya dini moja. OIC ina vikao vyake mbalimbali na kati ya hivyo kuna vya wakuu wa nchi wananchama hapo inakuwaje?

Ushauri: Tuache kupotosha; badala yake tuzungumzie vitu kwa uhalisia wake. Kuna taasisi nyingi sana za kikristo, kihindu, kibudha, kiyahudi, n.k. duniani ambazo Tanzania sio mwananchama na haiwezi kuwa mwananchama kutokana na malengo na Katiba za taasisi hizo sawasawa na ilivyo kwa OIC. Hata hivyo taasisi husika za kidini hazizuiliwi kuwa wanachama.

Nimejibu points zote kwenye posts zangu za juu. Zisome kwanza. Kama bado utakuwa na hoja karibu.
 
Wacha mzaha wewe! Hii nimei-quote kutoka mahali kuhusiana na malengo ya OIC:

"The OIC is an Islamic organization for Islamic nations which discuss only cultural issues, or issues which can benefit the Islam or the whole Islamic world. To bring other issues on the OIC agenda, there must be an official request and 51% of the OIC members must agree to bring this issue in the OIC."

Kwa maelezo zaidi soma hapa: Oic Constitution na uache kupotosha watu.

Hoja yako ya msingi ni muflis kwa sababu sio nchi zote zinazojiunga na OIC ni za Kiislamu kama vile Uganda, Mozambique, etc.
 
Kwa mara nyingine tena hoja ya Bunge kupitisha sheria ya kurudisha ofisi ya Kadhi Mkuu linajitokeza tena huku waislamu wakitaka Bunge litunge sheria ya kutambua uwepo wake na wakristu wakipiga kelele kuwa kufanya hivyo ni kuvunja Katiba. Hoja yangu leo ni kuwa, Waislamu hawahitaji kibali cha serikali kuanzisha ofisi ya Kadhi Mkuu kushughulikia mambo yao yanayoendana na sheria za Kiislamu.

Waislamu wakae wao wenyewe wapitishe uwepo wa ofisi hiyo na kuendelea na shughuli zao. Ilimradi tu, maamuzi ya ofisi yao hiyo hayaingilii uhuru wa Mtanzania mwingine au utendaji kazi wa sheria zetu za makosa ya uhalifu na jinai. Pia waelewe ya kwamba uwepo wa ofisi ya Kadhi Mkuu ni subject ya Katiba ya Muungano na Mtanzania yeyote kimbilio lake la mwisho ni mahakama ya Kiraia. Zaidi ya yote, watakapoanzisha ofisi hiyo, wajue kuwa isiwalazimishe waislamu wote kutatua matatizo yao kupitia ofisi hiyo isipokuwa wale ambao kwa hiari yao wanataka kufanya hivyo.

Kanisa Katoliki kwa mfano linayo mahakama yake na sheria zinazoliongoza kanisa hilo (Canon Law) na mahakama yake hiyo ina ngazi za rufaa hadi Vaticano. Hata hivyo Mkatoliki ana haki ya kutumia sheria hizo kuhusu masuala mbalimbali ya kanisa lake, lakini anapofanya kosa la jinai, sheria za kiraia (civil law) zinakuwa na mamlaka. Hivyo basi, waislamu wasisubiri Bunge kupitisha ofisi ya Kadhi Mkuu bali waianzishe wao wenyewe huku wakiweka bayana kabisa kuwa ofisi hiyo haitahusika na makosa ya jinai au kupingana na Katiba ya nchi. Then, hakutakuwa na haja ya kugongana!!!
Mbona hili swala lishaisha tayari Bakwata ishaanzisha hiyo mahakama.
 
Nikuulize swali Mleta Mada? unavosema Kuna Balozi wa Vatican hakuna balozi wa Saud Arabia? Oman? Iraq? etc au hujui maana ya kazi za Balozi? Kuhusu swala la OIC Tanzania sio nchi ya kidini ukisema tujiunge ina maana sisi wa Kirsto tukubali kufata sheria za Kiislam ili tupewe misaada... sheria kama kujitoa mhanga kwa ajili ya wengine kua na mahakama ya kadhi.hizo hatukufundishwa kanisani tafadhali sana ndugu Tunaswala la kuchinja sahivi na udini vyuoni usitongezee na.jingne kwa maslah yenu binafsi sawa? Misaada inayopatikana yenyewe Serikali imeshindwa kuisimamia wat is the point ya kuwatafutia ulaji Mwingne usiwe mviivu wa kufikiri kungekua na organization of Christians community Tz iliyokubaliwa na serikali.hapo tungewaelewa lakini maswala ya kutulazimisha nchi yetu itambulike kama ya kiislam SAHAU

Soma hoja zangu nilizozipost baada ya hii hoja yako halafu kama bado una hoja rudi tena.
 
Kama uwezo wa Waislamu wote ni huu basi uislam ni Tatizo pia, hivi unafaham kwamba OIC ni Jumuia huwezi kuifananisha na Vatican ambayo siyo muunganiko wa maamlaka mbalimbali, mbona Tanzania ina barozi za nchi kama Iran, Saudia ambazo ni nchi za Kiislam. Jifunze kutofautisha vitu. Nyie Waislam mnaruhusiwa kujiunga na Jumuia yeyote kama ambavyo wakatoliki na madhehebu mengine wanaruhusiwa, lakini ni Mwiko kwa nchi kujiunga na jumuia za kidini.

Kama hoja zako ni hizo basi Ukristo ni tatizo tena. Soma hoja zangu nilizoziweka baada ya hii hoja yako kuelewa nini ninachokizungumza.
 
wakati mwingine ujinga nao ni utumwa. Eti vatican wanabalozi wao Tanzania kwa hiyo Tanzania ijiunge na OIC, mbona huu uelewa ni wa kiprimary sana? Kwahiyo balozi wa vatican Tanzania anawawakilisha wakristo wote? Au hujui kwamba vatican ni ufalme unaojitegemea ndani ya Italy? Hujui kwamba vatican ni dola? Soma vizuri uelewe mkuu usipende kukurupuka! Au unataka na sisi tuhoji kwanini Tanzania ina ubalozi wa falme za kiarabu hapa? Unataka tuhoji kwanini tuna ubalozi na Irani ilihali Iran ni nchi ya kiislamu? Ukiongelea OIC unaongelea organization ambayo ipo kwa maslahi ya uislamu na unapoamua kujiunga nayo, unaifanya nchi yako itambuliwe rasmi kama nchi ya kiislamu. Lakini balozi wa Vatican hakuwahi kusema Tanzania ni nchi ya kikristo hata siku moja. Huu udini unaodevelop hivi sasa naona unatoa mianya ya watu kuanza kuhoji hata vitu visivyo na mantiki.

Wewe ndio mjinga kwa sababu unameza kila ulichoandikiwa na mwalimu bila kudadisi na matokeo yake unafaulu kwa ajili ya uwezo wako wa kukariri badala ya kuelewa mambo. Soma posts zangu nilizoweka baada ya hii yako halafu kama unadhani bado una hoja karibu.
 
Kama hoja zako ni hizo basi Ukristo ni tatizo tena. Soma hoja zangu nilizoziweka baada ya hii hoja yako kuelewa nini ninachokizungumza.

Hamtaisha kulalamika nyie watu, kinachowatesa ni inferiority complex, wakati wenzenu wakristo wanapiga dini na kuwekeza katika elimu na uchumi nyie mnalalamikia eti kuna mfumo kristu Tanzania, nyie waislam ni wakuwadharau tu dunia nzima eti mnaonewa hata ukifuatilia makundi mengi ya kigaidi duniani ni zaidi hata miamoja yote yanapambana kupigania uislam, angalia orodha ya waislam wenzako hapa inamaana wote hawa wameonewa? List of designated terrorist organizations - Wikipedia, the free encyclopedia dini yenu ni laana tu, mimi naamini ili dunia iwe na amani inatakiwa dunia nzima tuwe waislam labda roho yenu ya kumwaga damu itapungua baada ya kuachiwa muendelee kuwakandamiza wanawake kuwafanya ni chombo cha starehe kwa mwanaume, kumuua mtu kwasababu kafanya kosa fulani, kuchinja mtu anayepinga uislam.....n.k
 
Hamtaisha kulalamika nyie watu, kinachowatesa ni inferiority complex, wakati wenzenu wakristo wanapiga dini na kuwekeza katika elimu na uchumi nyie mnalalamikia eti kuna mfumo kristu Tanzania, nyie waislam ni wakuwadharau tu dunia nzima eti mnaonewa hata ukifuatilia makundi mengi ya kigaidi duniani ni zaidi hata miamoja yote yanapambana kupigania uislam, angalia orodha ya waislam wenzako hapa inamaana wote hawa wameonewa? List of designated terrorist organizations - Wikipedia, the free encyclopedia dini yenu ni laana tu, mimi naamini ili dunia iwe na amani inatakiwa dunia nzima tuwe waislam labda roho yenu ya kumwaga damu itapungua baada ya kuachiwa muendelee kuwakandamiza wanawake kuwafanya ni chombo cha starehe kwa mwanaume, kumuua mtu kwasababu kafanya kosa fulani, kuchinja mtu anayepinga uislam.....n.k

Kupigania haki yako ya msingi ni ibada. Sio suala la inferiority complex. Kama kupigania haki yako ni inferiority complex tulipokuwa tunapigania uhuru ni kwa sababu ya inferiority complex zetu? Kama kulikuwa na terrorist mkubwa hapa Tanzania basi alikuwa Nyerere. Aliua Wanzanzibari kule kwa kumtumia Okello katika mauaji ya kutisha ambayo kwa definition yoyote ile ni ya kimbari. Aliua Watanganyika wengi na wengine kuwafukuza kwenye nchi yao ili kusimamia mpango wake wa kueneza Ukatoliki Tanzania na Afrika kwa ujumla. Mbona hajawa kwenye list ya ma terrorists? Marekani inaongoza kwa ugaidi (terrorism) duniani kwa kuua watu wengi kwa staili ya mauaji ya kimbari ukichukulia watu waliouwawa kwenye vita za kibeberu wanazoziendesha duniani kote. Mbona kwenye hiyo list ya ma terrorists hawapo?
 
Kupigania haki yako ya msingi ni ibada. Sio suala la inferiority complex. Kama kupigania haki yako ni inferiority complex tulipokuwa tunapigania uhuru ni kwa sababu ya inferiority complex zetu? Kama kulikuwa na terrorist mkubwa hapa Tanzania basi alikuwa Nyerere. Aliua Wanzanzibari kule kwa kumtumia Okello katika mauaji ya kutisha ambayo kwa definition yoyote ile ni ya kimbari. Aliua Watanganyika wengi na wengine kuwafukuza kwenye nchi yao ili kusimamia mpango wake wa kueneza Ukatoliki Tanzania na Afrika kwa ujumla. Mbona hajawa kwenye list ya ma terrorists? Marekani inaongoza kwa ugaidi (terrorism) duniani kwa kuua watu wengi kwa staili ya mauaji ya kimbari ukichukulia watu waliouwawa kwenye vita za kibeberu wanazoziendesha duniani kote. Mbona kwenye hiyo list ya ma terrorists hawapo?

Ok kumbe kuua ni idaba endeleeni.
 
Ndio Vatican ni independent country. Lakini ni nchi ambayo imeundwa kiaina ili kuwa kitovu cha kueneza Ukatoliki duniani. Kulikuwa hakuna sababu ya msingi ya kuipa Vatican status ya nchi ndani ya Italy zaidi ya hiyo kwani nchi yenye ukubwa wa eneo la heka 15 ni utani. Hivyo Vatican ni chombo cha kusambaza ukatoliki duniani. Hata Nyerere alikuwa akipewa malengo na Ukatoliki wa kukandamiza waislam na madhehebu mengine ya Kikristo na alikuwa akitoa ahadi ya kufuatilia matakwa ya Wakatoliki kwa Balozi wa Vatican hapa Tanzania. Hivyo utaona kwamba kama Vatican mipango yake ni kuikandamiza jamii moja dhidi ya nyingine na kuhakikisha ukatoliki unapendelewa dhidi ya dini na madhehebu mengine, basi HAIFAI hata kidogo kupewa ubalozi kwenye nchi Kama Tanzania ambayo ina raia wa dini tofauti na madhehebu tofauti.

Kweli TEC ni kwa ajili ya Tanzania tu. Lakini TEC ina mfumo wa pyramid mpaka kwa Papa. Hivyo TEC ya Tanzania ni node ya chini kabisa kwenye mfumo huo. Juu ya TEC kuna The Association of Member Episcopal Conferences in Eastern Africa (AMECEA) etc. Hivyo utaona kwamba huu si mfumo Kikatoliki wwa nchi tu. Ni mfumo wa kimataifa.

Kujiunga na OIC sio suala la kidini. Ni suala la kimaslahi kwa Watanzania wote. Tanzania ni taifa maskini sana hivyo linahitaji misaada. Kwa nini tukatae misaada hiyo wakati nchi ambazo ni tajiri zaidi yetu kama Mozambique zinakinga mkono? Hivyo suali lako kwamba kwa nini tujiunge nayo ni kwa sababu tunahitaji misaada.

mkuu wewe ndo unawafundisha watu malengo ya kuwa na nchi yao/sehemu ya kiutawala?unaposema Vatican iliundukwa kwasababu ya kueneza ukatoliki napata wasiwasi na majibu yako. hebu rudi mwenyewe ukasome upya why vatican ni nchi inayojitegemea. Please soma mwenyewe usijesema sisi ndio tumekuambia...
kila dini ina organization flan inayotengenezwa ili kufikia ndani yake kama chombo cha utawala. Hivo hivo TEC malengo yake ni kueneza injili na kusimamia mafundisho ya dini katoliki hapa tanzania. Ni Baraza la Maaskofu ambalo linadili na issue la Litrugia na mafundisho ya kanisa. na wao wanaposhirikiana na wenzao wa kenya uganda rwanda na Burundi kwa maana nzima ya east africa hushirikiana kama TEC na sio kama STATE (hapa namaanisha Tanzania) kwani nan kawanyima nyie kama waislamu kujiunga na OIC? jiungeni dini kama dini lakini sio NCHI kwa maana ya Tanzania.
kuhusu suala la kupewa misaada, nani kakuambia wewe nchi itaendelea kwa kupewa misaada? ni misaada mingapi mpaka hivi leo tushapewa na bado hatujaendelea n too bad we are looking for more misaada.
kaka tufanye kazi na kuijenga nchi, mambo ya kupewa misaada ni kulemaza akili zetu na kuendeleza umaskini.
 
Huwezi kuichunguza Vatican kwa ku search kwenye Google etal. Unaichunguza kuangalia mwenendo wake jinsi inavyo behave na hii hutoipata kwenye mitandao hiyo. Vatican ipo pale kujenga interests za Wakatoliki dhidi ya dini na madhehebu mengine yote duniani na kwa hiyo HAIFAI kupewa ubalozi kwenye nchi zisizo za Katoliki rasmi hasa kwenye nchi zetu hizi za kimasikini. NUKTA.

kaka umekaririshwa, (nisamehe kwa kusema hayo) mimi huwa naamini sana katika kujenga hoja zilizo waziwazi na pia kushirikisha akili yangu katika kufanya maamuzi. Unaposema huwezi ichunguza Vatican kwa kusoma maandiko kwenye mitandao, wewe uijulia wapi zaidi ya kusoma maandiko kwenye mitandao na vitabu?Ushawah kukaa Vatican labda?au kuwa mtumishi kule Vatican?
Nimeshakaa Italy, najua nachokuambia, nimekupa option ya mitandao kwa sababu nataka uwe huru na uje na hoja huru, sio mie nikukaririshe.
Hakuna hoja Madhubuti mnayoitoa kwa kutaka Tanzania ijiunge na OIC. OIC ingekuwa nchi, mie nisingekuwa na neno kama Ubalozi wao ungekuwepo hapa Tanzania(maana upo wa Iran, Palestine, UAE na nchi nyinginezo za Kiislamu)
Vatican ni nchi huru, yenye utawala wake na hata umoja wa mataifa unaitambua.
 
mkuu wewe ndo unawafundisha watu malengo ya kuwa na nchi yao/sehemu ya kiutawala?unaposema Vatican iliundukwa kwasababu ya kueneza ukatoliki napata wasiwasi na majibu yako. hebu rudi mwenyewe ukasome upya why vatican ni nchi inayojitegemea. Please soma mwenyewe usijesema sisi ndio tumekuambia...
kila dini ina organization flan inayotengenezwa ili kufikia ndani yake kama chombo cha utawala. Hivo hivo TEC malengo yake ni kueneza injili na kusimamia mafundisho ya dini katoliki hapa tanzania. Ni Baraza la Maaskofu ambalo linadili na issue la Litrugia na mafundisho ya kanisa. na wao wanaposhirikiana na wenzao wa kenya uganda rwanda na Burundi kwa maana nzima ya east africa hushirikiana kama TEC na sio kama STATE (hapa namaanisha Tanzania) kwani nan kawanyima nyie kama waislamu kujiunga na OIC? jiungeni dini kama dini lakini sio NCHI kwa maana ya Tanzania.
kuhusu suala la kupewa misaada, nani kakuambia wewe nchi itaendelea kwa kupewa misaada? ni misaada mingapi mpaka hivi leo tushapewa na bado hatujaendelea n too bad we are looking for more misaada.
kaka tufanye kazi na kuijenga nchi, mambo ya kupewa misaada ni kulemaza akili zetu na kuendeleza umaskini.

Mambo ya kuniambia nikasome achana nayo. Wewe hata malengo ya TEC huyajui halafu unataka ku argue na mimi? Wanashirikiana kama TEC maana yake nini? Yaani woote Africa mashariki wanashirikiana kama TEC? Unajua T inasimamia nini? Au umekariri tu TEC basi unafahamu TEC iko kila mahala?

Sasa mimi siwezi ku argue na mtu ambaye hajitambui anaongea nini na anayerudia mambo ambayo nimeshayatolea maelezo bila kuelezea kwa nini anadhani ana haki ya kuzungumza tu bila kujibu hoja zilizokuwa zimeshawekwa mezani tayari. Niliowa quote kwenye points husika na ambao wana uelewa mkubwa mno nikilinganisha na utumbo wako unaoundaka hapa hawajarudi kujibu mapigo. Mods wenyewe wameifanyia hii thread mizengwe kibao. Kwanza niliipost kwenye thread yangu mwenyewe wakaiunganisha kwenye thread nyingine ili isionekane. Watu walipoanza kujibu post yangu niliporudi nikaikuta iko ukurasa wa kwanza kwenye Siasa. Nilipoanza kujibu mapigo, MODs wakaiondoa kabisa kwenye ranks za thread inayotakiwa kuwa juu kwa sababu ya current posts sasa hivi haionekani kabisa. Wewe kilaza ndo unaweka mkono?
 
Kwa mtindo huo pia BAKWATA iombe kuwa mwanachama wa IOC kivyakevyake.... na jumuiya nyingine za kiislam pia zifanye hivyo... Nadhani ya kuiingiza serikali inayodaiwa na wadau hawa ni kuipa msukumo..lakini wanapaswa wajenge hoja wenyewe... TEC haiiombi serikali itunge sheria katika masula yake na Vatican kwa sababu inajitosheleza na inajiamini kimuundo..sina uhakika wa hilo na taasisi hizo za kiislam.. wawatafute TEC waombe ushauri namna ya kujiimarisha
 
kaka umekaririshwa, (nisamehe kwa kusema hayo) mimi huwa naamini sana katika kujenga hoja zilizo waziwazi na pia kushirikisha akili yangu katika kufanya maamuzi. Unaposema huwezi ichunguza Vatican kwa kusoma maandiko kwenye mitandao, wewe uijulia wapi zaidi ya kusoma maandiko kwenye mitandao na vitabu?Ushawah kukaa Vatican labda?au kuwa mtumishi kule Vatican?
Nimeshakaa Italy, najua nachokuambia, nimekupa option ya mitandao kwa sababu nataka uwe huru na uje na hoja huru, sio mie nikukaririshe.
Hakuna hoja Madhubuti mnayoitoa kwa kutaka Tanzania ijiunge na OIC. OIC ingekuwa nchi, mie nisingekuwa na neno kama Ubalozi wao ungekuwepo hapa Tanzania(maana upo wa Iran, Palestine, UAE na nchi nyinginezo za Kiislamu)
Vatican ni nchi huru, yenye utawala wake na hata umoja wa mataifa unaitambua.

Kukaa Italy ndio nini? Kule kuna baadhi ya mapadri kazi yao kupiga wafuasi wao TIGO sasa ukisema umekaa Italy unataka kutueleza nini? Masuala mengine nimeshayatolea maelezo hivyo sina mda wa kuyarudia.
 
Kukaa Italy ndio nini? Kule kuna baadhi ya mapadri kazi yao kupiga wafuasi wao TIGO sasa ukisema umekaa Italy unataka kutueleza nini? Masuala mengine nimeshayatolea maelezo hivyo sina mda wa kuyarudia.

Haya asante,kesho Tanzania itajiunga na OIC.
 
Mambo ya kuniambia nikasome achana nayo. Wewe hata malengo ya TEC huyajui halafu unataka ku argue na mimi? Wanashirikiana kama TEC maana yake nini? Yaani woote Africa mashariki wanashirikiana kama TEC? Unajua T inasimamia nini? Au umekariri tu TEC basi unafahamu TEC iko kila mahala?

Sasa mimi siwezi ku argue na mtu ambaye hajitambui anaongea nini na anayerudia mambo ambayo nimeshayatolea maelezo bila kuelezea kwa nini anadhani ana haki ya kuzungumza tu bila kujibu hoja zilizokuwa zimeshawekwa mezani tayari. Niliowa quote kwenye points husika na ambao wana uelewa mkubwa mno nikilinganisha na utumbo wako unaoundaka hapa hawajarudi kujibu mapigo. Mods wenyewe wameifanyia hii thread mizengwe kibao. Kwanza niliipost kwenye thread yangu mwenyewe wakaiunganisha kwenye thread nyingine ili isionekane. Watu walipoanza kujibu post yangu niliporudi nikaikuta iko ukurasa wa kwanza kwenye Siasa. Nilipoanza kujibu mapigo, MODs wakaiondoa kabisa kwenye ranks za thread inayotakiwa kuwa juu kwa sababu ya current posts sasa hivi haionekani kabisa. Wewe kilaza ndo unaweka mkono?

I wonder, your IQ must be very low!!!...arguing with you is just waste-ge of time.
I was trying to educate you,I don't get anything if I argue with you till morning, if you are dumb, then its up to u! Big sorry for u dude!
 
I wonder, your IQ must be very low!!!...arguing with you is just waste-ge of time.
I was trying to educate you,I don't get anything if I argue with you till morning, if you are dumb, then its up to u! Big sorry for u dude!

Kichaa wangu mimi ndio Zali la Mentali. Niko kwenye Kitali. Ukimwaga mboga ninamwaga Ugali.
 
Hivi kama Waislam watakosa Mahakama yao na CCM ilisha wapa ahadi je mwaka 2010 CCM watakuwa na lugha gani juu ya ahadi hii ?Hebu Mzee Es nipe mawazo yako maana ni Chama chako abacho kimevamia sera hii .

Kama GAMBA wameshindwa kutekeleza ahadi hii,GWANDA likija litaizika kabisaaaaaaa.Lakini inataka kuhusishwa na serikali ili kwanza iwepo kikatiba kwani serikali ya CCM hutoa haki upande mmoja na huichukua upande wapili.Pili badala ya mabilioni ya MoU kumiminikia kanisani basi nawaislam wapewe waendeshe mahakama yao ya KADHI.Simnajua kua HAKI ni bidaa adimu Tanzania.
 
Back
Top Bottom