Nafikiri kama WaTz mtatumia akili zenu na kuangalia Hoja hii kiuchumi na kuweka nyume nyuma UDINI basi mtaona namna ilivyowapuruchuka. Lakin mngetazama kwa wenzenu Uganda na hata msumbiji.
Kwani kama nyie mlishindwa kusoma lakin hata kuangalia jirani zako wakoje mnashindwa.
Poleni sana
Mahakama ya kadhi ipate ruzuku kutoka serikalini kwa kuwa waislam wanalipa kodi hivyo ni haki yao wala sio hisani
Mahakama ya kadhi ipate ruzuku kutoka serikalini kwa kuwa waislam wanalipa kodi hivyo ni haki yao wala sio hisani
naomba uorodheshe faida wanazopata msumbiji na uganda mkuu? unionyeshe pia tofauti ya kiuchumi kati ya tanzania na nchi hizo mbili kutokana na OIC na kadhi.
Mbona nimeyayabainisha sana sana humu barzani lakin kwa kukusaidia angalia mADA UA Mou ya kanisa na Serikali ya JMTz utaona nimebainisha kila kitu na nimejikita zaidi sababu za kiuchumi .
Na ikumbukwe wenzao wakristo wanazoa 91 Bilion kila mwaka kufuatia MoU kati ya kanisa na Serikali ya JMTz.
andaa mou upeleke serkalini ili msikiti nao uwe unapewa mara mbili ya hiyo, sijui kama unajua mou inaandaliwa vp na una justify na nini? sio nipewe kwa sababu fulani anapewa, unaweza ukapewa hiyo pesa yote ukaenda kununua mikeka na korani vitu ambavyo pay back period yake ni infinity.
Hujui unalonena.
Hata richmond ilikuwa hivi hivi. Kila mtu aandike kwa nia ya kudhulumu na kuiibia serikali yenu masikini.
Nakupa Pole.
Lakin ukweli lazima usemwe hata kama hamtasikia lakin siku moja mambo yatakuwa sawia tu. Soma bandiko la Mou uone nilichobainisha kwa kina ili kikusaidie na kukuwezesha kujenga hoja na ilikuleta uhondo kwenye mnakasha huu.
Safi sana Kamanda hawa watu wanahitaji mtazamo Chanya Kama huu sio wawe wanaropoka bila evidencehakuna serikali inatoa hela bila justification ya kile kinachokwenda kufanyika na hiyo pesa na uhakika hata hiyo OIC haiwezi kutoa hela kwa sababu shehe ponda kaomba lazima wafanye appraisal na kuridhika na ombi lako, serikali imeingia mou na kanisa kwa sababu kanisa lina hospital, lina vyuo, lina mashule yaliyojengwa kwa sadaka yametapakaa everywhere na ni kwa watanzania wote, nani kawakatazeni kujenga mashule, hospitali na vyuo kwa kutumia sadaka ?
Wana topic hii mimi nakuwa na maswali mengi sana na wakati mwingine nabaki mdo wazi na nisipate majibu hata ya kukujibu ama kujibiwa,ukweli ni kwamba hawa wenzetu ni kweli kwamba hawana muda wa kuperuzi na kudadisi yan kifupi hawasomi vitu na kuelewa kabisa na hata viongozi wao wanaosema wanajua vitu hawawapi mwanga mzuri wanaowaongoza jamani ndugu zetu waislam tatizo lipo wapi?????binafsi ntapenda niongelee neno KAFIRI Na kwa nini waislam wanalitumia ndivyo sivyo? Na hii ina maana nzuri kwa muislam anayetaka mahakama ya kadh bila kuelewa madhara yake ni yapi kwa ushabiki asioujua fuatilia hii!
Neno kafiri lina asili ya kiarabu.Tafsiri yake sahihi ni MPINGAJI WA MANENO YA MWENYEZI MUNGU.Biblia ilitangulia na Quran ilifuata.Kitabu cha kwanza cha mungu kuwepo ni Biblia ,hivyo Quran imekuja kuipinga Biblia.kwa maneno haya basi,waislam wote ni makafiri kwan wanatupinga wakristo na kitabu chetu cha Biblia.Alipozaliwa Muhamad(s.a.w)mwaka 570A.D aliwakuta wakristo wapo na wameshapewa Neno la mungu(Biblia).Mkristo hawezi kumpinga muislam,bali muislam ndiye anayempinga mkristo.Ni sawa na kusema kuwa,Baba amefanana na mtoto wake,kumbe si kweli kwani mtoto ndiye anayefanana na baba yake.Huwezi kupinga kitu ambacho hakipo kwani mpaka tarehe 17.12.610A.D,Dunia nzima hapakuwepo na mwislam hata mmoja uislam umeanza mwaka huo wa 610A.D tarehe 17.12 usiku wa manane na mwislamu wa kwanza dunian alikuwa ni mkewe Muhamad Bib Khadija.{Rejea kitabu cha maisha ya Muhamad uk wa 18.
Wadau kwa maelezo hayo machache nisitoke nje ya maada ila nachosisitiza ni kwamba hawa watu wanahitaji elimu ya hali ya juu sana wapunguze jazba wasome vitu waelewe kabla ya kukurupuka tu bila msingi wowote.:crazy:
Naunga mkono hoja!!!!!
Chama kikizidiwa kinatumia mbinu chafu kulazimisha ushindi. Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Mei 1, 1995 akizungumza na wafanyakazi Mbeya alianza kuhofia mfumo wa vyama vingi na kusema: Nataka kusema kauli ya mwisho kuhusu sheria ya uchaguzi ilivyo sasa hivi. Ninalo tatizo moja. Hili nataka kulisema kwa sababu nadhani ni la msingi kidogo. Tulipokubali tuwe na vyama vingi vya siasa tulisema kwamba hivi vyama vingi vina migogoro. Mnaweza mkawa na chama cha dini, kabila, .Mimi ninavyojua Serikali yetu haina dini. Ukitaka kila imani iwe na jinsi yake ya kuamua kesi basi unakaribisha dini ndani ya serikali na wewe ni hatari sana kuliko hata Shekh Osama Bin Laden na haufai katika jamii. Habari ya Imam ni mpang mkamilifu kutoka nchi za Kiarabu na mpango wa OIC. Tuliyoyasikia Nigeria yatakuja kwetu. Kwa nini tusiamini mahakama zetu? Kama zina matatizo basi turekebishe na sio kuingiza kitu cha imani fulani, hili halifai kabisa.
Chama kikizidiwa kinatumia mbinu chafu kulazimisha ushindi. Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Mei 1, 1995 akizungumza na wafanyakazi Mbeya alianza kuhofia mfumo wa vyama vingi na kusema: Nataka kusema kauli ya mwisho kuhusu sheria ya uchaguzi ilivyo sasa hivi. Ninalo tatizo moja. Hili nataka kulisema kwa sababu nadhani ni la msingi kidogo. Tulipokubali tuwe na vyama vingi vya siasa tulisema kwamba hivi vyama vingi vina migogoro. Mnaweza mkawa na chama cha dini, kabila, .Ee bwana hivi, bibble alishushiwa mtume nani kama: qur-an - Muhamad,taurati-Mussa; injili -Issa na zaburi - Daudi? Kukusaidia M/Mungu alikuwa na utaratibu wa kuleta mjumbe(mtume) kila baada ya watu kupotoka/kupotosha na kuach mafundisho yake, aliwaletea mjumbe ku-revive, watakaomfuata hao wamejisalimisha kwake(waislamu),wataopinga hao ndio makafiri. Sasa baada ya Yesu kuondoka baadhi ya watu walipotosha na kubadilisha mafundisho yake na kutunga dini yao wakaiita kristo ndaniya kitibu chao kiitwacho bibble, Mungu kutaka kurudisha mafundisho sahihi ndipo alipomleta Muhammad, hivyo yoyote mwenye kumpinga yeye km kawida ataitwa kAFIri. Je wewe unampinga au anafuata mandisho yake!? Lakini pia uislamu ukiwa na maana ya 'submission to one God''haukuanzishwa na Muhammad ila aliuiisha(revive) km walivyofanya waliopita, ulikuepo tokea dunia kuanza ndoo maana haupingani na muongozo sahihi wa vitabu/mitume iliyopita km Ibrahim,Daudi,Suleiman,Enock,Mussa,Issa(Yesu) etc.
Mwanakijiji,
Zanzibar waliomba warejeshewe Ofisi ya Kadhi Mkuu, SMZ iliitikia wito huo. Kitu cha ajabu ni malalamiko yaliyojitokeza kwamba kwanini Kadhi Mkuu ateuliwe na Raisi wa Zanzibar. Vilevile wengine walilalamika kwamba kwanini Kadhi Mkuu awe chini ya mamlaka ya Waziri ambaye ni Mkristo, Bw.Adam Mwakanjuki.
Kuleta nafasi ya Kadhi Mkuu kupitia Bunge na Katiba kutaleta migogoro isiyo ya lazima kati ya serikali na Waislamu. Naunga mkono mapendekezo yako kwamba Waislamu waungane wamchague Kadhi Mkuu bila kuishirikisha serikali na vyombo vyake.
Ikiwa Wamaasai wameweza kuwa na mfumo na utaratibu wao wa mila na uongozi sioni kwanini Waislamu washindwe kuwa kitu kimoja na kumchagua Kadhi Mkuu. Wamaasai wana utaratibu wa kuchagua Laigwanan ktk jumuiya ndogo ndogo, halafu kutokana na hao huchaguliwa kiongozi wa Laigwanan wote.