Ishu hii ni ngumu haijadiliki!!!
Nakumbuka bunge liligawanyika wakati likijadili hoja ya kadhi. Rais kikwete kwenye ilani ya uchaguzi ya ccm ya kipindi chake cha kwanza kadhi ilikuwa ni moja ya ahadi zake kwa wananchi lakini imeshindikana na hakuna tamko rasmi la swala hili, shida inaonekana kuwa kadhi ikiruhusiwa kwenye nchi yetu italeta udini na sharia. Ndugu wa tz mimi mtazamo wangu jambo hili ni rahisi tu kwani kadhi hashighulikii kesi za jinai yeye hushughulikia mambo ya waisilamu tena ya ndoa tu, haijishughulishi na wezi wala wabakaji au majambazi.
Ushauri wangu, mbona uchaguzi wa mashekhe, maimamu,maaskofu na wachungaji haupo kwenye katiba? Na viongozi hao wanatuongoza. Tukumbuke kuwa tanzania kila mtu anaruhusiwa kuabudu chochote anachoona ni sawa kwake bila kuvunja sheria za nchi. Shida kwa kadhi ni kutaka pesa kutoka serikalini tu na sio kuitambua, kwani shekhe kaandikwa wapi kwenye katiba na mbona anawaongoza?? Mbona kesi zetu za ndoa wanamabaraza ya kuziamua? Mbona mwapeana talaka kidini na serikali haingilii, nduguzangu kinacho tafutwa hapani sidhani kuwa ni kuwa na kadhi tanzania ila ni kuipa kadhi nguvu dhidi ya mahakama, na jambo hilo halitawezekana. Muislamu akihukumiwa na kadhi vibaya lazima aende mahakama za kisheria za serikali kutafuta haki sasa hili ndio watu wanajaribu kuzuia ili mtu akihukumiwa na kadhi asiwe na pa kwenda.
Mbona wenzenu wakrito wao kesi zao nyingi za ndoa na za kanisa zipo mahakamani??
Uwezo wa kumlipa kadhi mnao msitegemee fedha za ushuru wa bia, sigara na riba kuongoza dini ni mwiko.
Uislamu unauwezo wa kujiendesha na sio kutegemea pesa za kodi za riba na pombe.
Hayo ni mawazo yangu tuu na sio kwa niaba ya mtu.
Nakumbuka bunge liligawanyika wakati likijadili hoja ya kadhi. Rais kikwete kwenye ilani ya uchaguzi ya ccm ya kipindi chake cha kwanza kadhi ilikuwa ni moja ya ahadi zake kwa wananchi lakini imeshindikana na hakuna tamko rasmi la swala hili, shida inaonekana kuwa kadhi ikiruhusiwa kwenye nchi yetu italeta udini na sharia. Ndugu wa tz mimi mtazamo wangu jambo hili ni rahisi tu kwani kadhi hashighulikii kesi za jinai yeye hushughulikia mambo ya waisilamu tena ya ndoa tu, haijishughulishi na wezi wala wabakaji au majambazi.
Ushauri wangu, mbona uchaguzi wa mashekhe, maimamu,maaskofu na wachungaji haupo kwenye katiba? Na viongozi hao wanatuongoza. Tukumbuke kuwa tanzania kila mtu anaruhusiwa kuabudu chochote anachoona ni sawa kwake bila kuvunja sheria za nchi. Shida kwa kadhi ni kutaka pesa kutoka serikalini tu na sio kuitambua, kwani shekhe kaandikwa wapi kwenye katiba na mbona anawaongoza?? Mbona kesi zetu za ndoa wanamabaraza ya kuziamua? Mbona mwapeana talaka kidini na serikali haingilii, nduguzangu kinacho tafutwa hapani sidhani kuwa ni kuwa na kadhi tanzania ila ni kuipa kadhi nguvu dhidi ya mahakama, na jambo hilo halitawezekana. Muislamu akihukumiwa na kadhi vibaya lazima aende mahakama za kisheria za serikali kutafuta haki sasa hili ndio watu wanajaribu kuzuia ili mtu akihukumiwa na kadhi asiwe na pa kwenda.
Mbona wenzenu wakrito wao kesi zao nyingi za ndoa na za kanisa zipo mahakamani??
Uwezo wa kumlipa kadhi mnao msitegemee fedha za ushuru wa bia, sigara na riba kuongoza dini ni mwiko.
Uislamu unauwezo wa kujiendesha na sio kutegemea pesa za kodi za riba na pombe.
Hayo ni mawazo yangu tuu na sio kwa niaba ya mtu.