Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Majibu ya maswali yako ni haya, ilani ya uchaguzi ya ccm 2005 ambayo kikwete ndio alikuwa anainadi ndio ilikuwa imewaahidi waislamu mahakama ya kadhi na ukumbuke aliyekuwa anainadi ilani hiyo ni Jakaya Kikwete ambae nae ni muislamu, na Watanzania walimchaguwa na akashinda, sasa wewe badala ya kumuuliza Kikwete na ccm yake kuhusu hilo unamuuliza Dr Slaa! is it fare?

Tumetoka kwenye uchaguzi juzi tu kuna sehemu CHADEMA walinadi ilani yao kwa kuingiza mambo ya mahakama ya kadhi?
Kuhusu kujiunga na OIC hilo mimi kwangu halina mashiko, bado unapaswa kuwauliza ccm wao ndio wanaunda serikali wakiamuwa kujiunga mimi sioni shida kwani jumuiya ziko nyingi tu, hata wakitaka kujiunga na jumuiya ya mashoga ila kama kuna misaada tutapewa na wajiunge tu ruksa.
Una swali lingine?

Kwanza wewe sio Dr Slaa usimjibie on his behalf.

Pili nina haki kama mpiga kura kumuuliza hayo masuala kwasababu mimi ndiye nayemwajiri rais wa Tanzania umenifahamu hilo. Usimjibie Dr Slaa tafadhali tusitoke nje ya mada.
 
i thought hili suala limetolewa ufafanuzi,hamna ambaye anakataza kuifungua ni uamuzi wao,au mi ndo cjaelewa! Dini kitu gan ndugu yangu,hapo ulipo unawaza kukikucha kazini itakuaje umeme unaondoka,mafuta yamepanda bei,vyakula usiguse,watu wa nje wamekabidhiwa ardhi yetu kwa miaka kumi bure bila kodi,mabilioni ya fedha yanaibiwa kwenye secta mbalimbali ya nishati ikiwemo,mafisadi wanatesa tu bungeni wakati wamekwiba fedha za umma na kuacha watu wakiteseka,tabora shinyanga watu wanakufa kwa njaa,vyuo vikuu wanagoma uendeshaji mbovu vyuoni unaoanzia serikali kuu,vijana hawana ajira wanaranda randa tu. Yooote haya hamyaoni mnang'ang'ana na OIC kweli? OIC ina uzito kwa watanzania ukilinganisha na lolote nililosema hapo juu. Tuweke ushabiki pembeni!

Kuna faida mbali mbali za OIC ijapokuwa hukuniuliza kistaarabu.

Mojawapo ya faida ni kwamba nchi wanachama wa OIC hununua mafuta kwa bei nafuu kutoka nchi zinazochimba mafuta as part of their programme to promote economic growth in member states. Pia kuna misaada hutolewa kwa nchi wanachama misaada ambayo ingelisaidia kupunguza kiwango cha serikali kukopa. Je huoni haya ni mambo ya maendeleo kwa nchi yetu.

Tatu OIC members wangelitusaidia katika utafutaji na uchimbaji wa mafuta in better terms kuliko Wanorway, waingereza na wacanada wanaotupa 3% ya profit.
 
Kwanza wewe sio Dr Slaa usimjibie on his behalf.Pili nina haki kama mpiga kura kumuuliza hayo masuala kwasababu mimi ndiye nayemwajiri rais wa Tanzania umenifahamu hilo. Usimjibie Dr Slaa tafadhali tusitoke nje ya mada.
haya bana acha 2subiri majibu,naona wewe umeme haukusumbui,mafisadi kwako safi,ajira kwa vijana zimejaa tele,mfumuko wa bei pia haukuhusu,kinachokusumbua wewe ni hiyo OIC tu peke yake. Ama kweli ujinga nao ni tatizo la kitaifa.
 
Mkuu ukiangalia kwa undani unaweza kuona kuwa uislamu hautaki benki, wao huwa wanachimbia hela ndani na kujijengea nyumba kama ngome ili kulinda. Naona kama hii ni njia kama ile ya upatu au DECI, ambayo at the end of the day kuna mtu ataumia, it is not sustainable banking. Ni kuongopea watu tu.
 
Kuna faida mbali mbali za OIC ijapokuwa hukuniuliza kistaarabu.

Mojawapo ya faida ni kwamba nchi wanachama wa OIC hununua mafuta kwa bei nafuu kutoka nchi zinazochimba mafuta as part of their programme to promote economic growth in member states. Pia kuna misaada hutolewa kwa nchi wanachama misaada ambayo ingelisaidia kupunguza kiwango cha serikali kukopa. Je huoni haya ni mambo ya maendeleo kwa nchi yetu.

Tatu OIC members wangelitusaidia katika utafutaji na uchimbaji wa mafuta in better terms kuliko Wanorway, waingereza na wacanada wanaotupa 3% ya profit.
Mdondoaji unaweza kunitajia nchi yeyote mwanachama wa OIC ya Afrika iliyoendelea kutokana na mpango huo, faida na hasara pls sidhani kama kuna biashara yenye faida tuuuu.
 
Maendeleo yake yakoje au kwa hiyo unataka tujiunge na OIC ili tuendelee kama Uganda.

Wenzenu Uganda wameanza kuchimba mafuta sisi tuko bado tunatafuta wawekezaji na waliokuja wanatupa masharti magumu na kutuibia tu.
 
Wenzenu Uganda wameanza kuchimba mafuta sisi tuko bado tunatafuta wawekezaji na waliokuja wanatupa masharti magumu na kutuibia tu.
Mbona hujajibu swali nimeuliza Uganda toka wamejiunga na OIC wanamaendeleo gani ili pindi tutakapojiunga twende kujifunza?
 
Balantanda,

Kwanza naona mjadala umeuvamia hukufahamu umeanzia wapi. Jenifa alimuita Dr Slaa aje ukumbini kujibu masuali. Malaria Sugu alimuuliza kuhusu suala la kadhi na OIC. Dr wako wa uaskofu aliwajibu kuwa yeye anashughulikia masuala ya umuhimu suala la kadhi na OIC akaliruka. Alipoulizwa waislamu wanawaogopeni chadema kwasababu hawajui msimamo wa Chadema akasema waislamu wapi yeye amekutana na waislamu wa Kisarawe wao shida yao ni mlo wa uhakika.

Sasa mimi nimemuuliza je mahakama ya kadhi na OIC si suala la umuhimu kwa tanzania. Watoto waliozagaa mitaani mayatima nani atawasimamia au wale sio watanzania? Na waislamu je sio walipa kodi nchini? na wao sio watanzania? In short Dr Slaa amekimbia huu mjadala kwani either hana hoja ya kujibu au ndio naanza kuamini Chadema ni Anti-islamic party.

Silencer amefuta posti zangu kwa utashi wa mapenzi yake ya dini. Amenisikitisha amekuwa bias katika maamuzi yake ya kufuta kwani hakuna post hata moja isiyokuwa na hoja ya msingi. KWA ALICHOKIFANYA LEO AMEDHIHIRISHA HAFAI KUWA MODERATOR KWANI YUKO BIASED

Kama definition ya udini ni kudai impartiality na usawa basi wacha niwe mdini ila nadhani definition yenu ya udini ni chuki yenu dhidi ya uislamu.
serikali itasimamia, acha upuuzi wewe ina maana OIC na Mahakama ya Kadhi ikiwepo kutakuwa hamna watoto yatima na wa mitaani hebu tembelea Uganda na Mozambique ujionee kwanza halafu ndipo uje hapa kutuhimiza!
 
serikali itasimamia, acha upuuzi wewe ina maana OIC na Mahakama ya Kadhi ikiwepo kutakuwa hamna watoto yatima na wa mitaani hebu tembelea Uganda na Mozambique ujionee kwanza halafu ndipo uje hapa kutuhimiza!

Crap bin pumba kazi eleza hasara OIC nikuchambulie faida za OIC eti Uganda kuna mayatima uganda wanachanja mbuga sie siasa na malalamiko tunabakia pale pale na umaskini wetu.

Pia nakushukuru sana kwa kuniita kenge inaonekana umeishiwa hoja jana. Ila umeghafilika kwamba kenge pia mnyama mkimya lakini dhoruba yake huweza kumuangusha hata binaadamu anayemzidi mara 100 kwa ukubwa kenge. Mie naendelea kuwapa misumari kama mnapendelea sawa kama hamuipendi sawa nincamput wewe!!!!!
 
ama kweli watanzania tumezoea tiba na si kinga,ndo maana mambo yetu yanakua km ya msimu
nyerere alisema akistaajabu kwamba t6unaacha ya maana na msingi aliyoyaanzisha enzi za awamu yake tunachukua mambo ya***********ya enzi zake
ivi kila dini ikiwa na mahakama yake humu nchini itakuaje?pia kwani waislam wakianzisha maakama yao pasipo kuamuliwa na bunge kuna shida gani?
ivi kuingiza bunge au serikali kwenye mambo ya kidini kuna lengo si bure kuna kitu
katiba inasemaje kuhusu uhuru wa kuabudu au ndo tunataka hata muda wa ibada pia upitishwe bungeni?maana watakuaja hawa,jumapili,watakuja wale jumamosi,tutakuja sie ijumaa,watakuja hawa jumatano,watakuja wale saa mbili,hawa saa7,sie saatisa,jamani tutafika?
 
Crap bin pumba kazi eleza hasara OIC nikuchambulie faida za OIC eti Uganda kuna mayatima uganda wanachanja mbuga sie siasa na malalamiko tunabakia pale pale na umaskini wetu.

Pia nakushukuru sana kwa kuniita kenge inaonekana umeishiwa hoja jana. Ila umeghafilika kwamba kenge pia mnyama mkimya lakini dhoruba yake huweza kumuangusha hata binaadamu anayemzidi mara 100 kwa ukubwa kenge. Mie naendelea kuwapa misumari kama mnapendelea sawa kama hamuipendi sawa nincamput wewe!!!!!
hasara ya OIC ni kula mkong'oto na Western nations si unaona ilianza Iraq ikaja Libya na Iran ipo njiani! hawa woote ni OIC! Do salaleeee...
 
Mtume wako muhamad/allah ndiyo alikuwa anaoa tuvulana na ameruhusu nyie waislamu kuona tuvulana tuzuri na mnafanya hivyo...........uislamu bana ni unafiki na uchafu tu...........

jk aende kisha awaeleze idadi ya watanzania wakatoliki ambao wamekufa kwa sababu ya msimamo wa vatican kuwaambia wafuasi wao wasitumie condom hilo la mapadre walawiti awaahie hao waamerika watadela na vatican
 
hili swala la oic na mengineyo yataishia kupigiwa kelele tu-hii nchi haitakuja kujiunga nayo
 
Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa Uganda imegundua mafuta kwa sababu ya kujiunga na OIC, yes?
muulize kama ni hivyo mbona si kampuni ya kiarabi imegundua? ni Tullow kampuni ya Ki-Irish yenye makao nchi non-oic; kuna watu humu ndani huudhuria mihadhara na kuja kuleta pumba zao humu ndani kama vile si woote humu ndani ni mazezeta! hawajui humu dani kuna hata ma-prof wa field hizo wanazoziongelea!
 
muulize kama ni hivyo mbona si kampuni ya kiarabi imegundua? ni Tullow kampuni ya Ki-Irish yenye makao nchi non-oic; kuna watu humu ndani huudhuria mihadhara na kuja kuleta pumba zao humu ndani kama vile si woote humu ndani ni mazezeta! hawajui humu dani kuna hata ma-prof wa field hizo wanazoziongelea!

Wewe mbwiga usifikiri unazungumza na mtu asiyejua nini anaongea kwanza nakujibu post yako kwa kauli hii aliyoitoa Museveni katika mkutano wa OIC 2008 Kampala alisema hivi nanukuu:-

"I have held a meeting with companies producing oil," he told the over 500 delegates from 57 Muslim countries. "OIC members have benefited from exploration of petroleum and gas".

Pia akaendelea kusema nanukuu
""OIC members have benefited from exploration of petroleum and gas and accumulated financial surpluses which can be invested in Uganda so that we expand our GDP,".

Pia tuzungumzie kwenye Tullow Plc ni kampuni ya UK na wamiliki wake wakuu ni hawa hapa:-
1. Blackrock
2. Prudential PLC
3.IFG International Trust.

Only IFG ndio majority shareholders sio waarabu na waasia but Blackrock na Prudential PLC majority shareholders ni waarabu kama Saudi Arabia, Kuwait, Malaysia, Indonesia who happens to be OIC members.

Siku nyengine ficha upumbavu wako usifikiri unazungumza na sheikh wa madrassa. Mimi ni muislamu ila sio kihiyo unavyofikiri mpuuzi na mdini we.
 
Back
Top Bottom