Jussa, Mbenne wabunge wapya!

Injinia ndiyo nakubaliana na Burn. Kwa nini umutukane Rais wetu bwana. Basi kapime cha kwako kwanza. Mama yetu tumwache. Kapimwe chako x 3
 
...kwa muda mchache uliobaki ....uwakilishi atakaotoa kwa miezi hii michache..SIO VALUE FOR MONEY kwa kodi zetu..atapata kiinua mgongo pia...bora angemchagua baada ya uchaguzi!

Mkuu malipo ya wabunge yangelikuwa yanaangaliwa kwa mlengo wa VALUE FOR MONEY.......sijui ni akina nani wangetoka na kitu pale...........trust ni wachache sana.........tena hawa wa kuteuliwa ndio bure kabisaaa......

80% ya wabunge hawana tofauti na walioteuliwa sasa...........hakuna kipya
 
Jk atakua amefanya kosa kama kafanya hizi teuzi kwa manufaa yake.

I still hope the guy has a big plan for the sake of national interest other than political credits.Tafadhali hebu tuwe nasubira,kinyuma na hapo mr.president kachemka strategically and presidentially!
 
MwanajamiiOne kuitwa mwakilishi wa watu ni kwamba unakubalika.Kama hukubaliki kwa watu kwa matendo na maneno ya kinywa chako utawawakilishaje?

Hujiulizi tuu kwamba huyu mama na usomi wake alikuwa wapi siku zote asionekane kwenye njanja za kisiasa,Ila kwenye magazeti zile kurasa za kununua za makala tuu.

...Aisee umesahau nguvu tuliyompa Rais ......ushindi wa Tsunami 80%?.......amekubalika na Rais bana.......aarrgghh
 
wadau kulikua na umuhimu wowote kwa rais kuteua wabunge wakati huu, ukizingatia muda ulio baki kabla ya uchaguzi mkuu ?
 
wadau kulikua na umuhimu wowote kwa rais kuteua wabunge wakati huu, ukizingatia muda ulio baki kabla ya uchaguzi mkuu ?

Kuna umuhimu ili tuanze kuwazoea zoea maana tutakuwa nao kwenye Uongozi ujao ambao JK atashinda kwa mshindo mkubwa na haya watakuwa among his cabinet so tusijiumize sana vichwa vyetu.

Tanzania sucks!!!
 
Kuongeza gharama kwa walipa kodi! Watafanya nini muda huu uchaguzi OCT! Kaweka rekodi kuchagua jamaa wa CUF.

Sijui kama ni Mbene huyu nime-mgoogle!

Janet Mbene -
Janet%20Mbene%20-%20TZ.jpg


She joined the Board in May 2006. She is a professional banker and holds a Masters Degree in Economics from University of New England, Armidale New South Wales, Australia. She has a Bachelor of Arts in Economics from University of Dar es Salaam and an Advanced Diploma in banking from Institute of Finance in Dar es Salaam. She is a Company Director and Lead Consultant SIA Limited and a member of Fair Competition Tribunal Tanzania and the Advisory Board Faculty of Business at Tumaini University in Dar es Salaam. She is also a founder member of the Association of Women Economists in Tanzania among others.
CV imetulia hasa ukizingatia wabunge wengi......
 
Waheshimiwa hawa wapya wataapishwa kesho saa 3 asubuhi bungeni baada ya dua.
Leo tayari wameishatinga mjini Dodoma.
 
Hatimaye wabunge wapya, Janet Mbene na Ismail Jussa Ladhu ndio wanakula kiapo asubuhi hii.
 
Ismail Jussa Ladhu ndio wa kwanza, anaingia amevalia Suti yake maridadi ya blue huku wabunge wa upinzani wakimsindikiza, ameshika Quaraan na kupiga Bismilahi kikao kilafuatia
 
Amefuatia Janet Zebedayo Mbene ametinga tenge la madoa doa huku wabunge kinama wa CCM nyuma yake, ameshika Biblia na kula kiapo.
 
Duu si bora wangefanya proration i.e. kama pensheni ya mbunge aliyekaa 5 years ni Tzs 80m then aliyekaa miezi 5 apate 5/60 x 80m = 6.67m

Ina maana wabongo hatujui hesabu au ni makusudi tu kubebana kwa sababu maalum?
 



Referees:
Seif Sharif Hamad
Secretary General,
The Civic United Front (CUF)
P. O. Box 3637
Zanzibar
East Africa

Mr. Nick D. M. Parry
Senior Lecturer,
The University of Hull
Law School
Hull HU6 7RX
United Kingdom

Mmeona hiyo anuani? Jamani warudishieni wenyewe nchi yao. Zanzibar is a country in East Africa, not a part of Tanzania. Kwani nyie mlishawahi kuandika, kwa mfano, "Dar-es- Salaam, East Africa"?
 
Back
Top Bottom