Jussa, Mbenne wabunge wapya!

Ni kweli usemacho Abednego but je wabunge wa Tanzania wote wanakubalika kwa matendo na maneno yao? Nijuavyo Mama Mbene amerudi nchini siku za karibuni (kama sikosei ) alikuwa Swaziland au Botswana.

Hapa sitetei kuwa yeye ni msafi sana (since simjui kihivyo) but ninajaribu kusema kuwa tusimpime kwa kipimo ambacho kikitumika kwa wabunge waliopo kitatoa majibu sawa kwa wote!! Unless uvilete hivyo vimbwanga tuanzekuvichambua ili tuone ni kwa kiwango gani vimevizidi vile vya wabunge wenzie mjengoni.

...mmm, mOne, unaniangusha. tayari Abednego ameishataja kimbwanga kimojawapo cha mama kuwa alichori kwenye Benki yetu na kukimbilia Kenya. Kama tunafahamu hili, kama ni kweli na lina ushahidi, ni halali kumuingiza mjengoni kwa vile tu walio wengi mjengoni humo nao wana vimbwanga vyao??
Si ingekuwa vema kuwa kwa vile tumefahamu kimbwanga cha mama huyu basi tumpunguze kabisa kuingia mjengoni na sio kumuongeza humo kwa vile tu tayari mjengoni kuna wana vimbwanga wenzake tayari??
 
Mmeona hiyo anuani? Jamani warudishieni wenyewe nchi yao. Zanzibar is a country in East Africa, not a part of Tanzania. Kwani nyie mlishawahi kuandika, kwa mfano, "Dar-es- Salaam, East Africa"?

Zanzibar - ni nchi iliyoungana na Tanganyika
Dar es salaam - ni mkoa katika Tanzania, unapatikana katika ile iliyokuwa tanganyika kabla ya muungano.
 
Zanzibar - ni nchi iliyoungana na Tanganyika
Dar es salaam - ni mkoa katika Tanzania, unapatikana katika ile iliyokuwa tanganyika kabla ya muungano.

Kuna tofauti gani kati ya post yangu na ya kwako?
 
Kwa maana hiyo hapa mzazi ni mama yake na injinia tu? vipi kuhusu kikwete yeye si mzazi?

Aliyekuambia mama yangu ni kiongozi wa kitaifa na aliwahi kufanyiwa vipimo vya akili ni nani? Mama yangu amefanya maamuzi yanayoathiri nchi? Mimi sijamzungumzia Kikwete katika nafasi yake kama mzazi bali kama kiongozi mkuu wa nchi.

Kama Rais Kikwete ni baba yako inabidi uweke hilo pembeni, pole sana, lakini ni rais wetu, tulimchagua sisi, sisi ndio waajiri wake hivyo tuna haki kumfuatilia kama haturidhishwi na utendaji wake.

If you can't stand the heat, get out of the kitchen
 
Kuna tofauti gani kati ya post yangu na ya kwako?

DU!! hujaiona? ulitaka kutufanya tuamini kuwa hadhi ya dar na zanzibar ni sawa, mimi nimeonesha utofauti uliopo ki hadhi, dar ni mkoa na zanzibar ni nchi iliyoungana na nchi nyingine tu. Kwa muktadha huu Dar ni sawa tu mkoa wa mjini magharibi huko visiwani.
 
DU!! hujaiona? ulitaka kutufanya tuamini kuwa hadhi ya dar na zanzibar ni sawa, mimi nimeonesha utofauti uliopo ki hadhi, dar ni mkoa na zanzibar ni nchi iliyoungana na nchi nyingine tu. Kwa muktadha huu Dar ni sawa tu mkoa wa mjini magharibi huko visiwani.

We burn unamatatizo gani? Mimi nimeandika "Zanzibar is a country in East Africa" pia "...kuandika Dar-es-Salaam, East Africa" kwa mantiki hiyo hiyo ya kuonesha tofauti. Ni wapi nimerefer Zanzibar kama mkoa?
 
Aliyekuambia mama yangu ni kiongozi wa kitaifa na aliwahi kufanyiwa vipimo vya akili ni nani? Mama yangu amefanya maamuzi yanayoathiri nchi? Mimi sijamzungumzia Kikwete katika nafasi yake kama mzazi bali kama kiongozi mkuu wa nchi.

Kama Rais Kikwete ni baba yako inabidi uweke hilo pembeni, pole sana, lakini ni rais wetu, tulimchagua sisi, sisi ndio waajiri wake hivyo tuna haki kumfuatilia kama haturidhishwi na utendaji wake.

If you can't stand the heat, get out of the kitchen

Kama bado hajafanyiwa fanya hima mpeleke akafanyiwe, kwangu mimi mzazi ni mzazi tu hata mama yako naye ni mama yangu kama alivyo baba yake na ridhiwani.
 
Kama bado hajafanyiwa fanya hima mpeleke akafanyiwe, kwangu mimi mzazi ni mzazi tu hata mama yako naye ni mama yangu kama alivyo baba yake na ridhiwani.

You have major problems with your attitude. I do not intend to continue this dialogue with you.
 
Mmeona hiyo anuani? Jamani warudishieni wenyewe nchi yao. Zanzibar is a country in East Africa, not a part of Tanzania. Kwani nyie mlishawahi kuandika, kwa mfano, "Dar-es- Salaam, East Africa"?


We burn unamatatizo gani? Mimi nimeandika "Zanzibar is a country in East Africa" pia "...kuandika Dar-es-Salaam, East Africa" kwa mantiki hiyo hiyo ya kuonesha tofauti. Ni wapi nimerefer Zanzibar kama mkoa?

Jibu lako ni hiyo red kwenye quote yako, unalinganisha zanzibar, east africa na dar es salaam east africa maana yake unatuambia hadhi ya dar na zanzibar ni sawa hata kabla na baada ya muungano.

Matatizo niliyonayo ni upungufu wa uvumilivu kwenye upuuzi(UVUKU) tiba yake ni wewe kuacha ki post upuuzi..unataka kusaidia?
 
Duu si bora wangefanya proration i.e. kama pensheni ya mbunge aliyekaa 5 years ni Tzs 80m then aliyekaa miezi 5 apate 5/60 x 80m = 6.67m

Ina maana wabongo hatujui hesabu au ni makusudi tu kubebana kwa sababu maalum?

Serikali hakuna ulinganifu huo hapo juu, ndo mana hata unapostaafu mshahara wako wa mwisho ndo unaopigiwa mahesabu ya kiiuna mgongo chako..kwa minajili hiyo mama Mbene na jussa watadaka 80m kama Gratuity yao!...Mfano mzuri ni mdau alirefer kwenye bible..Tajiri na wafanyakazi wake
 
Huyu Mbene ni msomi mmoja mama machachari mtetea haki Alikuwa kaolewa na Mwanajeshi Mstaafu. Amefanya kazi NBC, kwenye mashirika ya kimataifa umoja wa Mataifa na Kwenye NGO. Ni Mwenyekiti wa Bodi ya Kenya Comercial Bank Tanzania, Mwenyekiti wa NGO Moja GOIG iko Mbezi Juu, Amewahi kuwa Board Member NMB, Dawasco, Makumbusho ya Taifa, Amewahi fundisha Tumaini University, Ni Mjumbe ya Kamati ya Ushauri wa SYNERGOS ya USA na kadhalika. Sasa Hivi ni Mwenyekiti wa Serikali za Mitaa Masaki na amepigania sana Kutobinafsishwa Ufukwe wa Bahari.
 
Kumbe bado hamumjui Janet Zebedayo Mbene sawa sawa,Huyu mama akiwa NBC alipora benki na kukimbilia Nairobi Kenya,RB ya kutafutwa kwake ipo police central Dar Es Salaam Tangu hapo amekuwa mtu wa kuranda randa tu hadi alipohitimisha ajira yake pale Oxfam akaanza kujihusisha na siasa za CCM,Siyo wa kihivyo mnavyomjua ana vibwanga zaidi ambavyo asingesitahili kabisa kuingia mjengoni.
So, You want to tell us we have another fisadi in the making? Anatoka mmoja, wanaingia kumi. Tutafika tu.
 
Back
Top Bottom