Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Duu Jussa tena!yale yale.
Aliwahi kuolewa na mwanajeshi hapo zamani na sasa ana wajukuu ingawa anaonekana bado wamo!!
Kumbe bado hamumjui Janet Zebedayo Mbene sawa sawa,Huyu mama akiwa NBC alipora benki na kukimbilia Nairobi Kenya,RB ya kutafutwa kwake ipo police central Dar Es Salaam Tangu hapo amekuwa mtu wa kuranda randa tu hadi alipohitimisha ajira yake pale Oxfam akaanza kujihusisha na siasa za CCM,Siyo wa kihivyo mnavyomjua ana vibwanga zaidi ambavyo asingesitahili kabisa kuingia mjengoni.
Si tumemkumbusha juzi hapa (last week) kuwa ni mvivu kuchagua hadi ameshindwa kujaza nafasi mbili za ubunge zilizosalia.... finally kaamua kujaza ili asionekane mvivu mvivu.
Mh nijuavyo mimi wote mjengoni wana vimbwanga vya kuajabisha na kutisha sasa hivyo vya mama Mbenne vikoje kiasi cha kumfanya asistahili kuingia mjengoni?
Ni kweli usemacho Abednego but je wabunge wa Tanzania wote wanakubalika kwa matendo na maneno yao? Nijuavyo Mama Mbene amerudi nchini siku za karibuni (kama sikosei ) alikuwa Swaziland au Botswana.MwanajamiiOne kuitwa mwakilishi wa watu ni kwamba unakubalika.Kama hukubaliki kwa watu kwa matendo na maneno ya kinywa chako utawawakilishaje?
Hujiulizi tuu kwamba huyu mama na usomi wake alikuwa wapi siku zote asionekane kwenye njanja za kisiasa,Ila kwenye magazeti zile kurasa za kununua za makala tuu.
Huu si ndio mwaka wa mwisho kwa Bunge? hao watafanya kazi gani?
Kuongeza gharama kwa walipa kodi! Watafanya nini muda huu uchaguzi OCT! Kaweka rekodi kuchagua jamaa wa CUF.
Sijui kama ni Mbene huyu nime-mgoogle!
Janet Mbene -
She joined the Board in May 2006. She is a professional banker and holds a Masters Degree in Economics from University of New England, Armidale New South Wales, Australia. She has a Bachelor of Arts in Economics from University of Dar es Salaam and an Advanced Diploma in banking from Institute of Finance in Dar es Salaam. She is a Company Director and Lead Consultant SIA Limited and a member of Fair Competition Tribunal Tanzania and the Advisory Board Faculty of Business at Tumaini University in Dar es Salaam. She is also a founder member of the Association of Women Economists in Tanzania among others.
Tangaza majibu ya mama yako kwanza.
Tangaza majibu ya mama yako kwanza.
enzi ya kina SARAH MARTIN SIMBAULANGA na TOROHA MOHAMED TOROHA??? kwenye ishu kama hizo???Kumbe bado hamumjui Janet Zebedayo Mbene sawa sawa,Huyu mama akiwa NBC alipora benki na kukimbilia Nairobi Kenya,RB ya kutafutwa kwake ipo police central Dar Es Salaam Tangu hapo amekuwa mtu wa kuranda randa tu hadi alipohitimisha ajira yake pale Oxfam akaanza kujihusisha na siasa za CCM,Siyo wa kihivyo mnavyomjua ana vibwanga zaidi ambavyo asingesitahili kabisa kuingia mjengoni.