...kwa muda mchache uliobaki ....uwakilishi atakaotoa kwa miezi hii michache..SIO VALUE FOR MONEY kwa kodi zetu..atapata kiinua mgongo pia...bora angemchagua baada ya uchaguzi!
Rais Jakaya Kikwete amewateua Ismail Jussa Ladhu wa CUF na Janet Zebedayo Mbene wa CCM kuwa wabunge, uteuzi huo unaanza mara moja.
Jussa ni Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CUF wakati Janet Mbene ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Masaki kwa tiketi ya CCM
PM
si tumemkumbusha juzi hapa (last week) kuwa ni mvivu kuchagua hadi ameshindwa kujaza nafasi mbili za ubunge zilizosalia.... Finally kaamua kujaza ili asionekane mvivu mvivu.
huyu mbene sio mke wa professor anayemfagilia kikwete kila siku??????????
Asante Mkuu Sanctus.. ingia skype tuzoze
Akili huyu Prof si anaitwa Mbelle au ni Mbene?huyu mbene sio mke wa professor anayemfagilia kikwete kila siku??????????
Well, kunaweza kuwa na maoni tofauti.
Hata hivyo sisi kama TPN tunapenda kumpa hongera dada Janet Mbene. Toka August 2007 amekuwa ni mjumbe wa kamati ya utendaji ya TPN na Mwenyekiti wa Kamati ya Uwezeshaji.
Alishiriki kikamilifu katika kufanikisha Kongamano la Wanataaluma wa Ndani na Nje ya Nchi lililofanyika Decembe 2009 na mambo mengine mengi.
Janet, imefika zamu yako sasa kushika bendera ya TPN, kama baadhi ya walio kutangulia. Tunaomba usituangushe.
TPN imekuwa na bahati ya kuwa na viongozi ambao ni wanachama na mashabiki wa TPN bila kujali itikadi, dini, rangi wala jinsia zao.