Ficus
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 1,438
- 1,123
Unafurahi wanandoa kuachana!?Hahahaha nasikia walishaachana Kitambo tu
Una matatizo ya akili ww.
Unafurahi wanandoa kuachana!?Hahahaha nasikia walishaachana Kitambo tu
Dah hii comment imefungua siku yanguni ngumu sana kulala kitanda kimoja na mamba.
,hivi huyu alivyokuwa hasimu wa Ben Saanane si atakuwa amefurahi sana kwa yaliyomkuta Ben ?Hahahaha nasikia walishaachana Kitambo tu
Ameshaachika wamesema hapo juu kwa hiyo jimbo lipo wazi ( kama kweli) kwa hiyo hujachelewa mkuuJamaa kaniwahi, dah!!
Poleee!kukaa kimya ni tusi kubwa sana unavyojibu ndo wazidi kujiumiza
hahahahAfadhali kapata mume sasa, alikuwa hatulii kama vile kachanganyikiwa!
Nimeamini kutokuwa na mwenzi waweza kuwa hata Chizi.
Duuh mbona alishaolewa siku nyingiKwa mujibu wa kumbukumbu yangu, haijawahi kutokea mwanamke mrembo single akateuliwa waziri, halafu akaolewa akiwa waziri, hii imewahi kutokea maranyingi, kwa mawaziri single wanaume kuoa wakiwa mawaziri, hivyo huyu dada ana chance ya ataweka historia mpya Tanzania, kwa kuwa mwanamke wa kwanza Tanzania, kuolewa akiwa waziri.
Alinyanyaswa sana!, alidharauliwa sana!, alipuuzwa sana!, lakini Mungu ni Mkubwa!.
p.
Then ni kosa la mleta thread kuleta thread ya kuchumbiwa tuu lakini sikumbuki kama thread ya harusi, iliishawahi kupanda humu!, unless kama hiyo harusi ilikuwa ya siri au very private!, sikumbuki kuona picha ya mrembo huyu na shela popote!.Duuh mbona alishaolewa siku nyingi
Then ni kosa la mleta thread kuleta thread ya kuchumbiwa tuu lakini sikumbuki kama thread ya harusi, iliishawahi kupanda humu!, unless kama hiyo harusi ilikuwa ya siri au very private!, sikumbuki kuona picha ya mrembo huyu na shela popote!.
P.
Muondoe Mungu katika teuzi, nadhani aliye mkubwa katika hili anaeleweka ni nani !!!Kwa mujibu wa kumbukumbu yangu, haijawahi kutokea mwanamke mrembo single akateuliwa waziri, halafu akaolewa akiwa waziri, hii imewahi kutokea maranyingi, kwa mawaziri single wanaume kuoa wakiwa mawaziri, hivyo huyu dada ana chance ya ataweka historia mpya Tanzania, kwa kuwa mwanamke wa kwanza Tanzania, kuolewa akiwa waziri.
Alinyanyaswa sana!, alidharauliwa sana!, alipuuzwa sana!, lakini Mungu ni Mkubwa!.
p.