MZK
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 248
- 318
Then ni kosa la mleta thread kuleta thread ya kuchumbiwa tuu lakini sikumbuki kama thread ya harusi, iliishawahi kupanda humu!, unless kama hiyo harusi ilikuwa ya siri au very private!, sikumbuki kuona picha ya mrembo huyu na shela popote!.
P.