mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,777
- 6,454
Yuko obsessed ngoja uone akianzisha uzi mwingine kuhusu Kenya 😁Haha! naona wewe umeamua ku-deal na joto la jiwe tu...
Yuko obsessed ngoja uone akianzisha uzi mwingine kuhusu Kenya 😁Haha! naona wewe umeamua ku-deal na joto la jiwe tu...
Wachache sababu wakenya na waganda wako nyuma Sana kutumia mitandao ya kijamii kuliko wa TanzaniaWakenya Ni wachache humu sawa na Uganda news and politics pande ile nyingine. Utamjua joto la jiwe
Are you serious? Tukiacha ushabiki, Kenya inashika nafasi ya 3 Afrika (nyuma ya Misri yenye watumiaji milioni 49.23 na Nigeria inayoongoza ikiwa na watumiaji milioni 126.078) kwa kuwa watumiaji wengi wa intaneti, ina watu milioni 46.87 wanaotumia intaneti sawa na 87.2% ya population; Uganda (milioni 18.50) sawa na 40.4% ya population na Tanzania (milioni 23.14) sawa na 38.7% ya population, hii ni kwa mujibu wa internet world statistic ya March, 2020...Wachache sababu wakenya na waganda wako nyuma Sana kutumia mitandao ya kijamii kuliko wa Tanzania
Wakenya wengi Ni Twitter, YouTube na Facebook ingawa kunazo forums Kama Kenyanlist na Kenya talk( hili jina like censored humu i.e JamiiForums.com) jukwaa walilokimbilia Watanzania wakati JF ilifungwa.Wachache sababu wakenya na waganda wako nyuma Sana kutumia mitandao ya kijamii kuliko wa Tanzania
Hata mimi ni member huko Kenya talk, tena ni Village Elder...Wakenya wengi Ni Twitter, YouTube na Facebook ingawa kunazo forums Kama Kenyanlist na Kenya talk( hili jina like censored humu i.e *********) jukwaa walilokimbilia Watanzania wakati JF ilifungwa.
Uganda na Rwanda tunawangoja sijui wamekwama wapi?Hata mimi ni member huko Kenya talk, tena ni Village Elder...
Wana tabia ya kujitenga sana, hasa Waganda, huwa wanajiona wao ni bora sana kuliko wengine...Uganda na Rwanda tunawangoja sijui wamekwama wapi?
Wabongo wana wivu na Kenya.Wakuu, nimetafakari sana baada ya kupitia threads za kwenye jukwaa hili. Utakuta waanzilishi wa threads zilizo nyingi ni wa TZ badala ya wakenya. Hii imekaaje? Tujadiliane.
Hata ukienda huko Twitter FB na YouTube bado utaona hivyo kwenye mada comments za Watanzania zinakua bado nyingi tena afadhar kenya kuliko hao Uganda ndio hawapo kabisaa mi nadhani tatizo lugha maana asilimia kubwa Uganda ukimpeleka kwenye Kingereza unamuona kwenye Kiswahili ndio kabisaWakenya wengi Ni Twitter, YouTube na Facebook ingawa kunazo forums Kama Kenyanlist na Kenya talk( hili jina like censored humu i.e *********) jukwaa walilokimbilia Watanzania wakati JF ilifungwa.
Sasa kama hawa waganda mtandao gani walipokua wengi kuliko Tz hivi unajua wasanii sasa TZ soko lao kuu YouTube? Na imefiki Tz kama kuna skendo mtandaoni inavuma na kipindi hicho msanii alipanga achie wimbo anaghairi ili upepo utulie ndio anaitoa sasa utasemaje TZ wapo wachache mtandaoni kuliko Uganda ? Hizi takwimu labda za upande mmojaAre you serious? Tukiacha ushabiki, Kenya inashika nafasi ya 3 Afrika (nyuma ya Misri yenye watumiaji milioni 49.23 na Nigeria inayoongoza ikiwa na watumiaji milioni 126.078) kwa kuwa watumiaji wengi wa intaneti, ina watu milioni 46.87 wanaotumia intaneti sawa na 87.2% ya population; Uganda (milioni 18.50) sawa na 40.4% ya population na Tanzania (milioni 23.14) sawa na 38.7% ya population, hii ni kwa mujibu wa internet world statistic ya March, 2020...
Kwakuwa msingi wa JF ni TanzaniaWakuu, nimetafakari sana baada ya kupitia threads za kwenye jukwaa hili. Utakuta waanzilishi wa threads zilizo nyingi ni wa TZ badala ya wakenya. Hii imekaaje? Tujadiliane.
tumia kichwa kufikiri,unajua kenya ina watu wangapi???Are you serious? Tukiacha ushabiki, Kenya inashika nafasi ya 3 Afrika (nyuma ya Misri yenye watumiaji milioni 49.23 na Nigeria inayoongoza ikiwa na watumiaji milioni 126.078) kwa kuwa watumiaji wengi wa intaneti, ina watu milioni 46.87 wanaotumia intaneti sawa na 87.2% ya population; Uganda (milioni 18.50) sawa na 40.4% ya population na Tanzania (milioni 23.14) sawa na 38.7% ya population, hii ni kwa mujibu wa internet world statistic ya March, 2020...
Sijasema kuwa Waganda ni wengi kuliko Watanzania, soma tena posti yangu. Lakini kitu cha pili ni kwamba wingi pekee bado hausaidii bali pia ni jinsi gani watu wanachangamkia posti zinazohusu mambo ya nchi yao (uzalendo), na pia kuna suala la ubaguzi. Waganda wana tabia ya ubaguzi, wanabaguana, hasa kama mtu anatumia lugha isiyokuwa ya Kiingereza au Kiganda. Kwa mfano Jose Chameleon alikuwa anabagulia sana nchini Uganda kwa kuwa anaimba kwa Kiswahili...Sasa kama hawa waganda mtandao gani walipokua wengi kuliko Tz hivi unajua wasanii sasa TZ soko lao kuu YouTube? Na imefiki Tz kama kuna skendo mtandaoni inavuma na kipindi hicho msanii alipanga achie wimbo anaghairi ili upepo utulie ndio anaitoa sasa utasemaje TZ wapo wachache mtandaoni kuliko Uganda ? Hizi takwimu labda za upande mmoja
Wengi wa watanzania wenzako ni mihemko tu hawana data yoyote kuunga mkono hoja zao ila wabishi kweli....tushawazoea tuAre you serious? Tukiacha ushabiki, Kenya inashika nafasi ya 3 Afrika (nyuma ya Misri yenye watumiaji milioni 49.23 na Nigeria inayoongoza ikiwa na watumiaji milioni 126.078) kwa kuwa watumiaji wengi wa intaneti, ina watu milioni 46.87 wanaotumia intaneti sawa na 87.2% ya population; Uganda (milioni 18.50) sawa na 40.4% ya population na Tanzania (milioni 23.14) sawa na 38.7% ya population, hii ni kwa mujibu wa internet world statistic ya March, 2020...
Wewe ndiyo utumie akili na usitumie kichwa kufugia nywele tu. Hizi siyo takwimu zangu ni za mamlaka ya mawasiliano duniani. Soma hapa Africa Internet Users, 2020 Population and Facebook Statistics labda utatoa tongotongo na uache ushabiki maandazi...tumia kichwa kufikiri,unajua kenya ina watu wangapi???
watu milioni 49,ni sawa na kusema hamna watoto kenya,wazee,wala watu wasio na kipato cha chini.
mna mahaba na takwimu hata mkidanganywa hamna habari.
Na wewe ni Mtanzania au Mkenya?Wakuu, nimetafakari sana baada ya kupitia threads za kwenye jukwaa hili. Utakuta waanzilishi wa threads zilizo nyingi ni wa TZ badala ya wakenya. Hii imekaaje? Tujadiliane.
mamlaka ni nini wewe!!!!umefungwa na uwezo wa wazungu kufikiri kwa niaba yako,kwani leo ukiabiwa watz milioni 58 kati ya 60 wanatumia mitandao utakubali tu,sababu ni takwimu za mamlaka ya mtandao duniani!!!!???Wewe ndiyo utumie akili na usitumie kichwa kufugia nywele tu. Hizi siyo takwimu zangu ni za mamlaka ya maswaliano duniani. Soma hapa Africa Internet Users, 2020 Population and Facebook Statistics labda utatoa tongotongo na uache ushabiki maandazi...
Povu lote kwa kuwa tu tafiti zimewabeba Wakenya, ila zingetu-favour Watanzania usingepiga kelele! Kaazi kwelikweli...mamlaka ni nini wewe!!!!umefungwa na uwezo wa wazungu kufikiri,kwani leo ukiabiwa watz milioni 58 kati ya 60 wanatumia mitandao utakubali tu,sababu ni takwimu za mamlaka ya mtandao duniani!!!!???
au ndio nyinyi mliokuwa mkiamini wodi zimejaa wagonjwa wa corona,mpaka manesi na madaktari wanakimbia wagonjwa???
povu liko wapi!!!!kwani sisi namba tulizopewa wewe unakubaliana nazo au sababu kenya iko mbele basi mengine hayana maana???Povu lote kwa kuwa tu tafiti zimewabeba Wakenya, ila zingetu-favour Watanzania usingepiga kelele! Kaazi kwelikweli...
Basi wewe amini unavyoona inakufurahisha...povu liko wapi!!!!kwani sisi namba tulizopewa wewe unakubaliana nazo au sababu kenya iko mbele basi mengine hayana maana???