Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,126
- 2,860
Ahaa sasa kumbe kama hivyo ni sawa na kua na akaunti nyingi za fb halafu hazitumiki ,sababu haina maana kuwa mtandaoni halafu hauplay YouTube maana hao wasanii wanapata pesa Kwa watu kutazama nyimbo zao . Na chamilion alikubalika TZ na ndio maana akawa msanii mkubwa tu ingawa alikuwa hakubaliki Uganda sababu ya Kiswahili soko alikua anategemea Sana Tz na KenyaSijasema kuwa Waganda ni wengi kuliko Watanzania, soma tena posti yangu. Lakini kitu cha pili ni kwamba wingi pekee bado hausaidii bali pia ni jinsi gani watu wanachangamkia posti zinazohusu mambo ya nchi yao (uzalendo), na pia kuna suala la ubaguzi. Waganda wana tabia ya ubaguzi, wanabaguana, hasa kama mtu anatumia lugha isiyokuwa ya Kiingereza au Kiganda. Kwa mfano Jose Chameleon alikuwa anabagulia sana nchini Uganda kwa kuwa anaimba kwa Kiswahili...