Mtuache
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 251
- 638
Watu wasinielewe vibaya, kuna utofauti kati ya uchumi wa nchi na uchumi wa mtu mmoja mmoja. Majirani zetu wakenya wametuzidi uchumi wa nchi. Hali ya uchumi katika nchi yao ipo juu kushinda yetu, ndo maana hata pesa yao ina thamani kuliko yetu.
Lakini uchumi wa mtu mmoja mmoja asikudanganye mtu ndugu zetu wana hali mbaya sana. Ukiwa na Millioni 30 ya Tanzania ukaenda Kenya wewe ni tajiri sana.
Kumbuka TZS 30,000,000 kwa ni sawa na Milioni 1 na laki 7 na ushee ya Kenya. Kwa Kenya inaonekana ni pesa ndogo ee? Bro hiyo Millioni 1.7 hukuti Mkenya yuko nayo.
Matajiri wa Kenya wengi viongozi wa serikali. Angalia orodha ya matajiri 10 Africa kama utakuta Mkenya hata mmoja, angalia orodha ya matajiri 100 ukimkuta Mkenya basi lazima ni kiongozi.
Wakenya wengi wanaishi chini ya dolla moja, pesa yao kuipata ni kazi. Mwezi uliopita nilikuwa huko nimejionea kwa macho yangu. Kule maisha ni magumu pamoja na pesa yao kuwa kubwa.
Nawasilisha
Lakini uchumi wa mtu mmoja mmoja asikudanganye mtu ndugu zetu wana hali mbaya sana. Ukiwa na Millioni 30 ya Tanzania ukaenda Kenya wewe ni tajiri sana.
Kumbuka TZS 30,000,000 kwa ni sawa na Milioni 1 na laki 7 na ushee ya Kenya. Kwa Kenya inaonekana ni pesa ndogo ee? Bro hiyo Millioni 1.7 hukuti Mkenya yuko nayo.
Matajiri wa Kenya wengi viongozi wa serikali. Angalia orodha ya matajiri 10 Africa kama utakuta Mkenya hata mmoja, angalia orodha ya matajiri 100 ukimkuta Mkenya basi lazima ni kiongozi.
Wakenya wengi wanaishi chini ya dolla moja, pesa yao kuipata ni kazi. Mwezi uliopita nilikuwa huko nimejionea kwa macho yangu. Kule maisha ni magumu pamoja na pesa yao kuwa kubwa.
Nawasilisha