Amiliki
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,085
- 1,004
Alipoamua kwenda gerezani Lema alisema: Leo nimeamua kwa hiari yangu kutangulia magereza. Watakaotubeza tuwasamehe kwa sababu wanahitaji ukombozi wa kifikra. Watakaotuunga mkono na kutuhurumia tuwafundishe ujasiri wa kutoogopa jela wala magereza katika mapambano ya kutafuta haki, uhuru na utu wa mwanadamu, alikaririwa Lema katika waraka alioutoa kwa wafuasi wakeAlikuwa anatafuta umaarufu wa kisiasa..matokeo yake kaumbuka!
sasa hivi kila mtu anamuona kama punguani flan hivi!
siku alipokwenda mahabusu.
Sasa wewe endelea kutumiwa hayo Masaburi yako na Mafisadi wa Magamba. Sisi tunasonga mbele kwenye Ukombozi. Freedom is coming tomorrow.