Ni kosa kisheria kukataa dhamana na kama mahakama ikiamua inaweza kukuacha ndani kama adhabu kadri itakavyoona inafaa. wale wenzetu watatuambia ni mkono wa CCM
Lema hajui sheria na anataka kucheza nazo na ndio maana CCM wanamchezea kama mpira wa danadana. Alipokataa dhamana alifikiri ni kitendo cha kijasiri na kuwakomoa polisi kumbe wapinzani wake wakatumia nafasi hiyo kumbana kwa sheria. hakuna mkono wa mtu kwani hakunyimwa dhamana siku ya kwanza mbona mbowe, Lisu na Slaa wamepewa wanawasiliana vema na wanasheria wao.
Lema hajui sheria na anataka kucheza nazo na ndio maana CCM wanamchezea kama mpira wa danadana. Alipokataa dhamana alifikiri ni kitendo cha kijasiri na kuwakomoa polisi kumbe wapinzani wake wakatumia nafasi hiyo kumbana kwa sheria. hakuna mkono wa mtu kwani hakunyimwa dhamana siku ya kwanza mbona mbowe, Lisu na Slaa wamepewa wanawasiliana vema na wanasheria wao.
Ni kosa kisheria kukataa dhamana na kama mahakama ikiamua inaweza kukuacha ndani kama adhabu kadri itakavyoona inafaa. wale wenzetu watatuambia ni mkono wa CCM
Kama Lema hakukubaliana na mahakama kwamba hataki kupewa dhamana kwa muda gani hasitahi kutoka kwa hiari yake hadi pale mahakama itakavyoamua vinginevyo
Wadau, zimebaki saa chache ambapo mbunge wa Arusha mjini Mh. Godbless Lema atoke kule lupango. Ikiwa Hakimu siku hiyo ameamka akiwa na "stress" akasema hakuna dhamana, kwamba arudi Kisongo au ipo.
Unadhani Lema atakubali kurudi lupango? Je unadhani Mh.Lema amebadilika? Unatazamia nini mapokezi yake?
Nawasilisha
we faiza wanaume wakiongea we mfuga maziwa kaa pembeni...
Sheria gani!Ni kosa kisheria kukataa dhamana na kama mahakama ikiamua inaweza kukuacha ndani kama adhabu kadri itakavyoona inafaa. wale wenzetu watatuambia ni mkono wa CCM
Nataka J'tatu yule hakimu ampinge tena Lema miezi mitatu mpaka mwakani mwezi wa kwanza
Wadau, zimebaki saa chache ambapo mbunge wa Arusha mjini Mh. Godbless Lema atoke kule lupango. Ikiwa Hakimu siku hiyo ameamka akiwa na "stress" akasema hakuna dhamana, kwamba arudi Kisongo au ipo.
Unadhani Lema atakubali kurudi lupango? Je unadhani Mh.Lema amebadilika? Unatazamia nini mapokezi yake?
Nawasilisha
Mnamzungumzia yule ***** wa Arusha aliyevibip vyombo vya dola na vyenyewe vikapokea na yeye akaanza kulia lia? Hakimu tafadhali, fuata misingi ya kisheria. Kama hajatekeleza masharti ya dhamana mrudishe huko huko kisongo akazoee vizuri kulala mchongoma.