dallazz
Senior Member
- Aug 6, 2011
- 106
- 14
Mhe Nasari nataka utambue kuwa Chadema ni chama cha kitaifa, pia utambue kuwa pamoja na udogo wako wapo watu wengi ambao wanasikiliza na kufuata kila unachotamka. Maneno ya juzi licha ya kumuudhu mwenyekiti wa Taifa pia yameleta adhari kwa chama kwani wapo wengi wapenzi na wanachama ambao wameona kuwa ni kauli ya kibaguzi. pili ni vyema ukakaa chini ukapanga namna ya kujenga chama ili tuweze kukitoa chama hapa kilipo na kukipeleka mbele. kama akina mbowe wangelewa sifa baada ya kuwa wabunge na kusahau kujenga chama leo chadema wasingekuwa na mafanikio walionayo leo. So dogo tulia acha kuiga mambo fanya yale tuliokutuma bungeni na jenga chama kwa lugha ya kuwavutia hata wapizani wetu.
asipokuelewa atakuwa ckio la kufa.