Joshua Nassari MB.

Joshua Nassari MB.

Arushaone

Platinum Member
Joined
Mar 31, 2012
Posts
15,237
Reaction score
13,560
WanaJF
Nadhani wote mngependa kujua kuhusu kinachojiri hapa kuhusu Mheshimiwa Joshua Nasari na sakata lake na polisi wa Arusha. To make a long story short, mchana huu kasharipoti kituo kikuu cha police hapa Arusha akifuatana na Godbless Lema na baadhi ya viongozi wa CDM akahojiwa kwa kama 20 minutes then yuko free. Karibuni Arusha.
 
Mbona kuna mtu kasema kuwa baada ya kuachiwa huru alikuj kamanda wa polisi sijui yupi sasa na kushangaa wa kwa nini kaachiwa? Fafanua hapo.
 
Amefunguliwa mashitaka au ameachiwa tu.

Pamoja na kuifupisha stori lakini umeacha kuelezea vitu muhimu sana ambavyo vilipaswa kuwamo kwenye hiyo post.
 
Eleza kwa undani ili hata wale wenye magamba hadi machoni waelewe!!
 
Labda baada ya kutoa maelezo hawakuona kosa lake
 
Haki ya watanzania kuzungumzia vitu wanavyowish wanavyoaspire haipo tena? Polisi wanajuaje Kama kitu Fulani kitaleta uvunjifu wa amani?
 
Mbona kuna mtu kasema kuwa baada ya kuachiwa huru alikuj kamanda wa polisi sijui yupi sasa na kushangaa wa kwa nini kaachiwa? Fafanua hapo.
Wewe ndiye wa kufafanua kwanza huyo aliyekuambia ni nani.
 
hivi kauli kwamba Rais ajaye hawezi kutoka kaskazini na kuwa jina la rais huyo analo JK haiwezi kuleta uvunjifu wa amani na sio kauli ya uchochezi mbona hakuna aliyehojiwa???
 
Back
Top Bottom