huna lolote kwanza nasar keshatoa ufafanuz wa yale aliyotamka.Na ukae ukijua nasar kama nasar wala si chadema! So muiache chadema ifanye mambo yake.
Nasari aliwakilisha kile ambacho viongozi wa Chadema hukisema hasa wanapokuwa wenyewe tu. Kwa hiyo kile alichosema Nasari ni kile hasa Chadema wanaplan kwa nchi yetu nzuri Tanzania.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
ITV ‏ @ITVTANZANIA