AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Haya ni baadhi tu maneno machache ya Mbunge Joshua Nassary ktk mahojiano yake na polisi baada ya kujisalimisha.
Kasema hivi" Mimi sikuwa na nia mbaya juu ya kauli yangu bali ilikuwa ni kutoa hamasa ya mabadiliko kwa mikoa mingine iige Arusha,Mbeya,Musoma,Manyara, kwa mabadiliko walioonyesha pia Mimi ni mtu mdogo sana ktk nchi hii so sina mamlaka ya kumzuia Rais kuja Arusha wala sina uwezo wa kuigawanya nchi kwani kama ni kweli mm ninaweza kuigawanya nchi na kumzuia Rais basi HIYO ITAKUWA SIYO NCHI WALA HAIPASWI KUWEPO maana mi ni mtu mdogo sana"
Kasema hivi" Mimi sikuwa na nia mbaya juu ya kauli yangu bali ilikuwa ni kutoa hamasa ya mabadiliko kwa mikoa mingine iige Arusha,Mbeya,Musoma,Manyara, kwa mabadiliko walioonyesha pia Mimi ni mtu mdogo sana ktk nchi hii so sina mamlaka ya kumzuia Rais kuja Arusha wala sina uwezo wa kuigawanya nchi kwani kama ni kweli mm ninaweza kuigawanya nchi na kumzuia Rais basi HIYO ITAKUWA SIYO NCHI WALA HAIPASWI KUWEPO maana mi ni mtu mdogo sana"