MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
Sasa mbona anawatoa CHADEMA jasho namna hii?zitto ni mbunge wa mahakama pimbi wewe.
Sasa mbona anawatoa CHADEMA jasho namna hii?zitto ni mbunge wa mahakama pimbi wewe.
Msiamini kila uzushi. Eti kisa CHADEMA wamesema.
Sasa mbona anawatoa CHADEMA jasho namna hii?
Kama kapotea iweje muendelee kumsakama? CHADEMA hata aibu hawana. Mwenzao anaugulwa na mama yake mzazi, wao kazi ya kumsakamaZitto ameshapotea kisiasa.
Zitto ameshapotea kisiasa.
Ukiona mtu hapa anatetewa fasta fasta na MSALANI pamoja na LIZABONI, hakuna haja ya kuuliza tena, fahamu moja kwa moja kwamba huyo mtu ni wa Chama kilichotangaza maisha bora kwa kila Mtanzania, ambayo mpaka leo, hayapo !!!!
Uongo Wa mchana kweupe
Naogopa BAN, ila najua mengi sana ya huyu jamaa
Hii ni mistake nyingine ambayo upinzani imecheza bungeni, Ukisoma hiyo hotuba ya sugu bila ushabiki utagundua kwamba ni muendelezo wa siasa chafu zisizo tija, Huku ni kuzua mijadala mipya isiyo tija kwa taifa, ngoja tusubiri naye Zitto atasema nini lakini huku ni kumpandisha kisiasa bila kujua.
HURUMA SANA SIASA ZETU
Kweli sugu hana sera. Nimemuona akishangilia wakai Juma Nkamia akijibu hoja kwa ufasaha na weledi mkubwanaona sugu una sera rudi kwenye bongo fleva
madili kama lile la mbowe kuwauzia chadema fuso mbovu milioni 600