Prof Ngongo
Kabla haujatoa maamuzi ya kumuweka Zitto kwenye kundi la mafisadi ungevuta subra kiduchu usikie na upande wa pili wa Zitto.
Hawa wanasiasa wetu wengi wao ni maghumashi.
Ahsanta.
Naona siku hizi unajifanya mjanja wa JF, teh teh teh kauzu kweli wewe.
Katika mambo yanayo niudhi ni hili la wapinzani wao wenyewe kushambuliana badala ya kunoa mapanga kupambana na Liccm ninyi mnapambana wenyewe nini malengo yenu sasa
Hivi hizi Milioni mia ninyingi kuliko bil 200 zilizochotwa na viongozi wa serikali na chama kwanini msiunganishe nguvu kutusemea wanyonge ili mapesa haya yarudi kama zilivyorudi pesa za rada jamani upinzani nani kawaroga kiasi cha kuanza kuumbuana hadharani kiasi hiki??!!!!!!!
BACK TANGANYIKA
Hivi mnajua kama Zitto bado ni mwanachama wa chadema?
Kwa sasa huwezi kutenganisha 'ufisadi' wa Zitto na Chadema.
Wapiga kura ambao wengi sio wanachama wa JF wal wa Face book, kwasasa hawawezi kumtenganisha zitto na Chadema.
Hivyo mnavyomchafua Zitto, mnaichafua chadema.
Chadema ingehakikisha kwanza Zitto anaondolewa kabisa kwenye chama officialy kisha ndio waanze kumlipua.
Unawataka UKAWA wachangue uchafu wa kufagia, yaani watoe mchanga tu,vumbi waliache kisa?
Nilikuwa sifahamu kumbe TANAPA wanakopesha siku hizi???
Zile za makada wa Chama chenu yakiwemo mabilion ya Mzindakaya ya Guarantee Scheme mmesharejesha?
CHADEMA waache chuki binafsi za kumshambulia mtu kisa tu hataki kufuata mkumbo wao.
Ni sawa sawa tuu na kutoboa jahazi mlilopanda wote tena mpo katikati ya bahari.
Hivi mnajua kama Zitto bado ni mwanachama wa chadema?
Kwa sasa huwezi kutenganisha 'ufisadi' wa Zitto na Chadema.
Wapiga kura ambao wengi sio wanachama wa JF wal wa Face book, kwasasa hawawezi kumtenganisha zitto na Chadema.
Hivyo mnavyomchafua Zitto, mnaichafua chadema.
Chadema ingehakikisha kwanza Zitto anaondolewa kabisa kwenye chama officialy kisha ndio waanze kumlipua.
Wewe MSALANI kila kitu unatetea na we2 ni uko wa panya ameiba ameiba,wewe ninani? katika nchi hii.
Hapa swala sio Zito tu hata akiwa nani ikionekana anatenda ndivyo sivyo atawajibishwa.
Mkuu tunachopinga hapa ni uzushi wa CHADEMA. Kila mtu anafahamu Viongozi wa CHADEMA na Zitto haziivi ndio maana wanamtumia SUGU asiyejitambua kumshambulia.Wewe MSALANI kila kitu unatetea na we2 ni uko wa panya ameiba ameiba,wewe ninani? katika nchi hii.
Mkuu Ruttashobolwa , Sugu ni kifaranga tu aliyetumwa kumshambulia Zitto. Namfananisha na kifaranga Lema alivyotumwa na Mengi kumtukana Prof.Muhongo.
Mara nyingi mapunguani wengi uwa wananishinda kwenye mijadala kama hii.Dah! mi mjanja toka kitambo, Kauzu kweli wewe...
we ndio unajifunza ujanja humu...
Ahsanta!
Katika wanasiasa niliokuwa nawakubali basi ni Zitto...Ata wakati wanaanza kumuanika nikajua ni siasa chafu wanamuonea......Nilikuja kuchoka nilipokaa na kina Linex wanamuziki members wa Leka Tugite waliponiambia namna alivyokuwa anawatumia wasanii kupiga pesa.....Yani jamaa walikuwa wanaongea kwa uchungu uwezi kuamini ni Zitto uyu uyu ... rip leka tugigite
Nyie wapinga ufisadi mbona tukisema Mbowe alipe fedha za UMMA alizokopeshwa hamtaki? Na Mbowe anaonyesha kila dalili ya kutaka "kurusha" deni hilo?Huwa ninamshangaa sana utafikiri si mtanzania mwenye uchungu na nchi yake. Huenda ni mtoto wa fisadi. Angekuwa mtoto wa mkulima kama mimi angesimama kidete kupinga ufisadi.
ngoja tusubilie majibu ya zitto mwenyewe bila shaka atajibu kwa mda muafaka na kwa majibu mujalabu
uzuri wa zitto akijibu huwa anaanza kwanza na mama kifaranga halafu anamalizia kwa vifaranga
sugu mwenyewe haaminiki maana aliwaacha kwenye mataa vinega wenzake akaingia makubaliano na ruge bila kuwashirikisha vinega
madili kama lile la mbowe kuwauzia chadema fuso mbovu milioni 600
No tender advised, no work done, and still Zitto Daft Kabwe cashed the money.