Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Zitto kama mwenyekiti wa PAC hakustahili kufanyabiashara na mashirika anayoyasimamia full stop hakuna kuonewa hakuna longo longo Zitto ni fisadi mjanja.
Prof Ngongo

Kabla haujatoa maamuzi ya kumuweka Zitto kwenye kundi la mafisadi ungevuta subra kiduchu usikie na upande wa pili wa Zitto.

Hawa wanasiasa wetu wengi wao ni maghumashi.

Ahsanta.
 
Last edited by a moderator:
Katika mambo yanayo niudhi ni hili la wapinzani wao wenyewe kushambuliana badala ya kunoa mapanga kupambana na Liccm ninyi mnapambana wenyewe nini malengo yenu sasa

Hivi hizi Milioni mia ninyingi kuliko bil 200 zilizochotwa na viongozi wa serikali na chama kwanini msiunganishe nguvu kutusemea wanyonge ili mapesa haya yarudi kama zilivyorudi pesa za rada jamani upinzani nani kawaroga kiasi cha kuanza kuumbuana hadharani kiasi hiki??!!!!!!!

BACK TANGANYIKA
 
Hivi mnajua kama Zitto bado ni mwanachama wa chadema?
Kwa sasa huwezi kutenganisha 'ufisadi' wa Zitto na Chadema.

Wapiga kura ambao wengi sio wanachama wa JF wal wa Face book, kwasasa hawawezi kumtenganisha zitto na Chadema.
Hivyo mnavyomchafua Zitto, mnaichafua chadema.

Chadema ingehakikisha kwanza Zitto anaondolewa kabisa kwenye chama officialy kisha ndio waanze kumlipua.
 
Hivi kweli Sugu anaweza kupambana kwa hoja na zitto.
Kwakweli chadema mna jiaibisha sana.

Nssf ina mdai mbowe hadi sasa hajalipa.

Wewe wa wapi wewe?
Jadili hoja iliyopo mezani, sio kupambanisha watu!!
 
Katika mambo yanayo niudhi ni hili la wapinzani wao wenyewe kushambuliana badala ya kunoa mapanga kupambana na Liccm ninyi mnapambana wenyewe nini malengo yenu sasa
Unawataka UKAWA wachangue uchafu wa kufagia, yaani watoe mchanga tu,vumbi waliache kisa?
 
By the waykama kinachozungumzwa ni kutenganisha majukumu binafsi ya mtu na majukumu ya umma kuepusha maslahi ya umma yasijeingiliana na maslah binafsi ya mtu Sugu angepaswa kumuajibisha Freeman A. Mbowe ambaye amekuwa akifanya biashara na chama ambacho anakiögoya yeye. Huyu amekuwa akichukua tenda za kununua mgari na pikipiki za chama huku akijua yeye ni Mwenyekiti wa chama hiki ambacho ni mali ya umma. Ikumbukwe pia kupitia mikataba hyo aliyojipa mwenyewe ndio chanzo cha malalamishi na manung'ung'uniko meng yaliotokea ndani ya chama mpaka kufikia kuparaganyika kwa chama.
 
Last edited by a moderator:
wewe ni dafu kabisa, una mapenzi mpaka yanapitiliza...

Asante sana Bavicha. Nakuhakishia kuwa hamuwezi kupambana na zitto na hamtomchafua kamwe subirini muone UKAWA,Sugu na chadema mtakavyo umbuka na kuhakikishia Sugu kawaponza.

Chadema hamuwezi kupambana na Zitto kwa kuwatuma wakina Sugu.
 
Back
Top Bottom