Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,192
- 678
hoja yako ni uharo.
Sina haja ya kukuorodheshea aliyoyafanya Mbowe ila kama unakifuatilia chama cha Chadema kilivyokuwa kabla ya Mbowe na sasa wakati mwenyekiti ni Mbowe utagundua ni yepi ambayo Mbowe amesaidia.
Ukishindwa kuelewa hapo tena basi
kwa kweli kumpa credit zote mbowe ni kutokutenda haki
akina chacha wangwe, ndesamburo, zitto, hata vijana wa chadema akina mnyika, mdee, na wengine walipigana befga kwa bega kukifikisha chama hapo, ila cha kusikitisha kuwa kwa kuwepo kwake hakikufika mbali ilish=tahili wafike mbali zaidi ila yeye ndio kikwazo