The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
Shibuda huwa simuelewi ni kama vile ana sura mbili za chadema na ccm
Hata kama Mbowe ni dikteta kweli, rants kwenye vyombo vya habari hazisaidii kitu, zinaongeza tatiozo tu.
CHADEMA, as they say in the hood, don't never say Kiranga never warned you.
CDM hawaoni makosa ya baba yao Mbowe, they will try to justify his every move....the guy is a crook. The party now needs a strong visionary leader not this thug....
Kuna taarifa kwamba Shibuda kufukuzwa Chadema, aonekana ni mamluki kutoka ccm.na nafasi ya zito kuchukuliwa na Luwakatare.source: Uhuru gazeti makini
source ya ms: baada ya kumsikiliza dk slaa Jana kupitia Tv mlimani aliposema kwamba Shibuda unamchunguza kwa kauli zake.napata picha kwamba Shibuda anaonekana ni mamluki ndani ya Chadema
When was the last time dictatorship was regarded as a good brand?
soma hayo maandishi niliyoyakuza....nahisi harufu ya chuki ya udini na ukabila katika post yako.Mkuu ningependa unielimishe ukiacha nafasi ya ubunge, je SHIBUDAana cheo gani ndani yaCHADEMA? au ni mjumbe wa kikao kipi na alichaguliwa lini?
2. si ndio huyu huyu UDSHIBA mwenye uchu wa nyama aliyekwenda kwenye mnuso wa uzinduzi wa bunge wakati wenzake walimwacha mkwere akae na wasanii wenzake wachekecheke vizuri? sasa mtu mwenye uchu wa nyama unategemea nini kutoka kwake? labda tumshauri MBOWE awe anchinja mbuzi kila wiki kuwafurahisha wenye uchu wa nyama.
Mkuu ningependa unielimishe ukiacha nafasi ya ubunge, je SHIBUDA ana cheo gani ndani ya CHADEMA? au ni mjumbe wa kikao kipi na alichaguliwa lini?
2. si ndio huyu huyu SHIBUDA mwenye uchu wa nyama aliyekwenda kwenye mnuso wa uzinduzi wa bunge wakati wenzake walimwacha mkwere akae na wasanii wenzake wachekecheke vizuri? sasa mtu mwenye uchu wa nyama unategemea nini kutoka kwake? labda tumshauri MBOWE awe anchinja mbuzi kila wiki kuwafurahisha wenye uchu wa nyama.
Je hayo uliyoyaorodhesha yametokea kipindi ambacho Bob Makani ndie Mwenyekiti wa Chama au Aikaeli?
Sasa kama yametokea wakati yeye ndie mwenyekiti wa chama basi anastahili pongezi.
Ngoja nikupe Mfano:
Anza tangu enzi ya Marehemu Kolimba, pitia mpk kwa Mangula kisha njoo kwa Baba January.
Je ni kipindi cha nani kama katibu mkuu ambacho chama kimeporomoka?
Au anzia kwa Mchonga, Mzee Ruksa, Uncle Ben au kwa huyu wa sasa je ni uongozi wa nani ambao chama kimeonekana kuporomoka?
Sasa ukipata jibu ndo utakuwa umefahamu kwa nini Mbowe anaheshimika na yeye binafsi yuko imara kuhakikisha hakuna ushuzi yeyote ambaye ni pandikizi atapata nafasi ya kutema sumu.
Endelea Mbowe, hao wanaopiga kelele ni madebe matupu tu
Mhe. Shibuda arejee sisiem , huko alishataka kuwa Rais wa TzGazeti la Mtanzania 13 December 2010 limemnukuu Shibuda akilalamika kuwa mbowe ni Dikteta na anawaburuza na anajenga makundi badala ya umoja ndani ya chama
"hali ilikwishachafuka, Mbowe anaendesha vikao kwa ubabe, kuhujumiana, kubomoana na kujenga makundi... ule ulikuwa mkutano wa uchaguzi wa wajumbe watano wa kamati kuu, lakini ukatanguliwa na hicho kikao cha kuvunjiana heshima, ilibidi nitoe jina langu" alisema Shibuda.
Shibuda kama ulikuwa hujui huyo ndio Mbowe.
Bado hujajibu hoja yangu ni vipi Mbowe amekisaidia Chadema kukua? Usizungumze upupu kaka au dada?