John Mnyika: CHADEMA haihusiki na 'Taarifa ya Siri'

John Mnyika: CHADEMA haihusiki na 'Taarifa ya Siri'

Uchaguzi ukikaribia ndipo vyama vya upinzani vinaanza upumbavu. Huyu Zito na Mkumbo wameamua kucheza ngoma za kuvuruga chama chao badala hata ya kuanza kujadili mambo hayo huko chamani kwao ambapo Zito ni mmoja wa viongozi wake. Wao wakakimbilia vyombo vya habari ili kuongeza nguvu kwenye ngoma ya kubomoana. Jambo la ajabu sana hilo. Zito akiwa naibu katibu mkuu siyo mtu wa kumwandikia barua Katibu mkuu na kutangaza hivyo; alishawahi kufanya hivyo tena huko nyuma. Kwa nini afanye hivyo kama hakuna sababu nyuma ya pazia?

Nina mashaka sana na kiini cha mgogor huo.

Mkuu Kichuguu, Karibu tena JF maana umepotea sana.Tunakosa nondo zako
 
Last edited by a moderator:
Zito unafiki unakugharimu sana, umeshakula mzigo wa watu, HAWAONI MATOKEO YA KAZI WALIOKUTUMA, KILA MBINU CHAFU UNAYOJARIBU, INASHINDIKANA, UNATEGEMEA DR.SLAA ajibu tuhuma ulizo tengeneza mwenyewe????
 
Vizuri sana kwa afisa habari chadema.
kwa kutoa msimamo wa chama na cha kupendeza zaidi ripoti iliyosambazwa inaonekana ya kawaida kama nyingine.

Mnyika yupo sahihi.Na pia haiwezi kuingia akilini mtu/watu wanapolaumu Kurugenzi ya Habari na kuishinikiza itoe matamko maana kuna kipindi TUNTEMEKE alikua akiweka nyaraka na taarifa alizodai zimetoka makao makuu CHADEMA na kuwachafua viongozi wa juu na chama.Hatukuwahi kusikia malalamishi ya watu hao wanaolalamika leo.Je walinufaika au kufurahia zile habari za akina TUNTEMEKE?
 
Mnyika ni mhuni, amejibu kihuni kweli kweli, utamlaumuje mlalamikaji badala ya kutoa majibu sahihi wala kuwahoji walalamikiwa waliosambaza hizi taarifa za kihuni

Kulikua na proper channel za kufuata.Mnyika yupo sahihi kabisa
 
kama ni vikao halali yeye huwa wapi kujitetea? na kwa nini wewe gamba ugeuke kuwa mtetezi wa zitto? ili upate nini? au umetumwa na nani na kwa waslahi yapi? acha ufyetere kijana.

Mambo ya vikao pengine tungejua kitambo(mwakani),angekuwa kasha chafuka,madai ya magamba kumtetea ZITTO???, We mjinga,watu wanatafuta kila penye moshi wapulizie kisha moto uwake wachochee kuni kwenye mafiga,hapendwi mtu hapo,watu wanahasira na Chama cha Ukanda."adui yako muombee njaa kudadadeki!!!!".
 
Issue ni nani katoa tamko na CHADEMA inabidi ijibu je contents za tamko zina ukweli? ili Zitto aende mahakamani maana ndicho alichoomba!!
 
siasa bwana nasubiri CCM na TISS watasema nini pia ile namba wanao sema ni ZZK nimejaribu kuipiga ilikua ikiita tu pasipo kupokelewa tangu noisome riport hiyo sikuelewa ni kwa nn ilikua haipokelewi pia nilijaribu kuitumia hela kwa M-PESA jina lililo onekana halikua la mh ZZK.....................NGOJA TUONE pia kwa uchunguzi wangu wa haraka kikao kilicho fanyka mwanza kwa viongozi waandamizi wa chadema na kumtimua yule wanao dai ni msaliti kuna walakin kwani matokeo ya kikao hicho inaweza kua ndio sehemu ya mkakati
 
Nimefatilia sana matamko ya Zitto na Mkumbo na nimeona niwashauri wafanye yafatayo ili kujiosha na shutuma hizi juu yao.
1. Zitto weka wazi kama kweli unafahamiana na yule mwanamke raia wa Ujeruman na imekuwaje wachafuzi wako waku connect naye?
2. Zitto hupokei posho na huli rushwa, tueleze unawezaje kumiliki nyumba kubwa ya gorofa na gari expensive aina ya Range Rover New Model?
3. Zitto hivi umewahi kuwatumia pesa washutumiwa wale wote kwa njia ya mitandao ya simu? Kitila, Shibuda, mwampambe, shonza nk.
4. Zitto unafahamu hizi shtuma hazijakilenga chama ila wewe na wenzio indidually; na wala chama hakijatoa shutuma hizo bali watu binafsi kama wao. Sasa inakuwaje unadai kumtaka katibu mkuu kutoa tamko? Kwani yeye atoe tamko kwa kukusemea wewe au kuwasemea wale wanaokushutumu ambao naye hawajui pia? Humtendei haki kiongozi yeyote wa chama kutaka akutetee. Kwanini usimtake na kumwomba mtuhumiwa mwenzio Ben Sanane anayeonekana mda wote JF akusaidie kueleza ukweli? Unaogopa anaweza kuharibu zaidi?
5. Zitto wewe ni kiongozi mkubwa Chadema lakini unadai umemwandikia barua katibu mkuu wa chama chako juu ya swala hili hajarespond; je hamna mazoea ya kuwasiliana kwa simu wakat mwingine hata na Mweyekiti wako? Twambie kabla hata ya wao kuja na thibitisho au kanusho unazotaka lakini wanakushaurije au wanakwambije juu ya kashifa hii? Au hamuwasiliani?
6. Zitto mikutano yako ya kichama na ziara zako zote mikoani kwa sasa zinaratibiwa kichama? Ziko kwenye ratiba ya ziara za viongozi wa chama? Huwa unarudisha mrejesho? Unwasilisha wapi mrejesho? (Feedback)
Dr Kitila ntakujia baadae jiandae kujibu tuhuma sio kupanic na kudai huongeki. Wewe bado sana kuridhika kifedha kaka nakufahamu. Jibu tu shutuma tene kwa busara na hekima ujikoshe!!
Khaa!! wenye chuki binafsi utawajua tu. Povu jingii hoja hakuna :A S 39:
 
Watapishana sana lakini fimbo wanazo make kila mtu anaongea lake nani tumwelewe huyu akimwaga ugari mwingine anamwaga mboga.
 
Zito unafiki unakugharimu sana, umeshakula mzigo wa watu, HAWAONI MATOKEO YA KAZI WALIOKUTUMA, KILA MBINU CHAFU UNAYOJARIBU, INASHINDIKANA, UNATEGEMEA DR.SLAA ajibu tuhuma ulizo tengeneza mwenyewe????

Una ushahidi?? Au ndo mambo ya hear say!!!.
 
siku hizi kila uozo unaofanywa na chadema utasema ni njama za ccm, au hoja nyepesi kwamba wanashughulikia masuala mazito ya kitaifa.........sijui masuala gani hayo. kamanda wa arusha amesimamishwa kimizengwe zengwe na hawahawa jamaa..hatujasahau wameleta mauzauza mengine.....mi nadhani tuache ushabiki..hatuwezi kujenga chama imara kwa hoja nyepesi tu za kudai kupambana na ccm.....kwani shughuli pekee ya chadema ni kupambana na ccm?
 
:focus::focus::focus::focus::focus:

Hiyo ndo Topic yenyewe, wewe umesema ZZK keshakula Mzigo, UNA USHAHIDI?? Msiwe wepesi wa kukurupuka na kukimbila ku comment / kuandika kwa sababu za ushabiki na chuki tu! Kuweni Objective!
 
Propaganda za kijinga kamwe hazitaifanya chadema ipotee.
 
dr slaa na mbowe toeni tamko tuwe huru na haya majitu ya ccm mtandaoni

Tambua kukaa kimya ni jibu kwa mjinga.na sidhani kwa busara na hekima za Mbowe na Dr.Slaa kama watazungumza lolote kuhusu ujinga huu.
 
Tambueni nyakati na majira ya kurudi kwa Bwana Yesu kuwa kutakuepo wachonganishi na wasema uongo! Pigeni vita vya kiroho huku mkitambua kua Kristo anarudi kulichukua kanisa lake! lakini pia kabla hajarudi CHADEMA itaongoza watanzania kuelekea mafanikio wanayoyataka, na hili si jambo jepesi!
Kila la kheri.
 
Back
Top Bottom