Amiliki
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,085
- 1,005
Kuhusu Huyu Kijana Kamwulize Lukuvi Na Makinda, Watapingana Na Kauli Yako
Labda leo kwa mara ya kwanza atakiri na atasema, wale Lukuvi na Makinda hamna kitu kichwani kwani MaCCM huwaga yanajitoa akili. Na akikosa hoja kabisa atakwambia, Wamemsifia eti kwasababu ni MKATORIKI mwenzao. Maana hili lijamaa Ritz, linapenda udini hilo!!