John Mnyika: CHADEMA haihusiki na 'Taarifa ya Siri'

John Mnyika: CHADEMA haihusiki na 'Taarifa ya Siri'

Zitto angekuwa mtoto wa kike angekuwa anaachika kila siku kwa waume zake...Ulishajibiwa na chama na huyo mwanamke wako wa ujerumani alijibiwa sasa unataka nini tena..watu wafupi mna matatizo sana bana
 
Mjadala huu umekosa mashiko maccm yanaufrahia.
 
...Hapa nimemdharau Mnyika,yawezeka nae yupo kwenye timu iliyo nyuma ya uchafuzi huu....

Sio nyuma!mbele! kitengo cha Habari na propaganda wanafuja Pesa za ruzuku,kwajili ya kuchafua watu na wengi wao ni kutoka kanda yao.
 
Sio nyuma!mbele! kitengo cha Habari na propaganda wanafuja Pesa za ruzuku,kwajili ya kuchafua watu na wengi wao ni kutoka kanda yao.

CCM mnahangaika sana!

Mbowe na Dr Slaa wamewashika pabaya sana.
 
Zitto angekuwa mtoto wa kike angekuwa anaachika kila siku kwa waume zake...Ulishajibiwa na chama na huyo mwanamke wako wa ujerumani alijibiwa sasa unataka nini tena..watu wafupi mna matatizo sana bana

Zitto ametusaidia sana kujua ulaghai wa viongozi wa CHADEMA. Mbona hawajaitisha press conference ili tujue kuwa chama hakihusiki na ripoti ile?
 
well done chadema hii ndio siasa hapa tunaona gazeti la mwananchi likijitafutia huruma upande pili baada ya kuwa kifungoni kwa majuma kadhaa kwa kuandika habari zisizo na mashiko na ambazo hazijafanyiwa uchunguzi wa kutosha ,sioni weledi wa hawa waandishi wa mwananchi kutoa tuhuma hizi ihali wanajua chanzo cha habari ni kutoka mitandaoni huku mtoa habari akiwa na id yenye giza ,na kuwa vigumu kumpata mhusika ili athibiti she ukweli,cha msingi hapa waandishi watafute habari wasisubiri taarifa za mitandaoni waje kulisha watu ,huu ni uandishi wa makanjanja
 
Tatizo kila mbinu ya CCM inashtukiwa na kudhibitiwa kikamilifu.

CCM haina uwezo wa kubuni mbinu za kiiteligensia kiasi cha kuweza kuidhuru CDM, ni lazima tu watashtukiwa mapema kama ilivyo sasa. hawa ccm akili zao ni nzito sana kwa sababu ya kulelewa kwenye mazingira ya "ndiyo mzee" na kujichotea kodi za wananchi hovyo na kirahisi na hivi kutajirika tu kirahisi bila kuwa na sababu ya kuumiza ubongo. Ni kwa sababu hiyo bongo zao zimekuwa butu na hivi ni ngumu kuweza kufikiri strategically licha ya kuwa wamezungukwa na resources nyingi plus baadhi ya wajinga kwenye institutions za serikali wanaofikiri kuwa kwa kuwa kwao wakuu wa institutions za serikali basi wao eti ni wana-ccm pia!! kwa kifupi ccm ni panga butu, ni kama toto zee lililodekezwa tangu kuzaliwa hadi linazeeka. hii imesababisha toto hili lishindwe hata kuamka usiku kwenda kukojoa na badala yake linajikojolea tu kitandani na kulialia "mama mi 'akojoaaaa"......lakini mwisho wa siku, kuhusu hizi tuhuma, the burden of proof lies on the part of zito kuthibitisha kuwa hausiki. Ipo sababu ya Kwanini wananchi, na hasa waNA-CCM, na si CDM, wanamhusisha na tuhumu hizi. anayo matunda flani mtini ndo mana apigwa mawe, ajitafakari upya.
 
Zito ndiye mwenye uwezo wa kuendeleza au kumaliza haya malumbano. Kuna kujiingiza kwa watu wa ccm katika swala hili kunakotia wasiwasi. Zito hata kama hatumiwi na ccm je kwa mazingira haya haoni anafanya kazi ya ccm? Haoni wanaomshangilia ni watu wa ccm wengi? Yuko tayari kuiua chama chake na chama kinachoonekana kuindoa ccm madarakani? Je, likitokea hilo CDM kikadhoofu kupitia malumbano haya Zito anadhani atakuwa salama katika siasa za ukombozi? Kuna mtu atamwamwini tena eti anapigania maslahi ya wananchi? Hata kama hahusiki na haya tayari atakuwa amejiandika alama ya usaliti na kutumiwa na ccm.
Zito kuua CDM ni hasara kubwa sana kwa nchi hii kuliko kuchukua posho ya siku bungeni. Pamoja na kwamba nakuunga mkono kutochukua posho lakini kuidhoofisha CDM ni hatari na ni hasara kuliko hizo posho usizochukua wewe tu huku mamilioni yakilipwa na serikali ya ccm kwa wabunge wa ccm na chama chako.
Nakushauri ushuke kama wewe ni mzalendo haya malumbano yaishe.
 
Zitto angekuwa mtoto wa kike angekuwa anaachika kila siku kwa waume zake...Ulishajibiwa na chama na huyo mwanamke wako wa ujerumani alijibiwa sasa unataka nini tena..watu wafupi mna matatizo sana bana

Madai yaliwekwa adharani,na Mnyika akajibu kisirisi utegemee nini?baada Zitto kumlima barua Babu ndio wakina Mnyika wakajibu fasta fasta.Ukanda noma sana.
 
jibu la mnyika mbna rahisi ivo
zile tambo zote za yeriko nyerere twitter
aliziona au anafumba macho..
 
Yaani kumtetea mtu anayeonewa siku hizi imekuwa jambo baya?
, ukiwaona wezi, mafisadi, majangili wa nyara za serikali na wauza sembe wanamtetea mtu basi jua tu lazima kuna jambo ambalo si la kawaida kwa huyo anayetetewa na hayo majambazi.
 
Back
Top Bottom