John Mnyika: CHADEMA haihusiki na 'Taarifa ya Siri'

John Mnyika: CHADEMA haihusiki na 'Taarifa ya Siri'

Kosa la kitila sijaliona yeye mnyika na wenzake akina yericko,ben na wahuni wengine ndiyo chanzo cha huu mgogoro kwa nini hajawakanya akina ben na yeriko wakati wanamchafua zito na kwa nini hajatoa tamko dhidi ya tamko linalodaiwa kuwa limetoka makao makuu ambalo linamchafua kitila na zitto.
Wewe mtu wa ccm,mambo ya chadema yanakuhusu nini?
 
Waliotuhumiwa kwenye mtandao (Zitto na wenzake) ni sawa na kisa cha kuoga mtoni, mwendawazimu kachukua nguo zenu anatimua mbio. Nanyi bila kutumia akili mnatimua mbio kumfuata mkiwa uchi wa mnyama. Kwa kashfa hii, tutamuona anayestahili kuwa kiongozi CDM.
 
Hivi, ZITTO hana ofisi ndani ya CDM makao makuu, hakutani Dr. huko amuulize hayo.

Kuna haja ya kuzungumza na media na kusema kuwa nimemwandikia barua Dr. Slaa, wakati wanashare ofc? Mimi simwelewi kabisa huyo mtu.

Unakumbuka sakata la Lwakatare? Zitto alimwandikia Dr Slaa kushinikiza Lwakatare afukuzwe kwenye chama kisa eti tuhuma alizonazo zinakichafua chama. Inaonekana mawasiliano ya Zitto na boss wake si mazuri japo sidhani kama ni busara Zitto kuja kwenye media wakati ofisi yao iko jengo moja. Zitto ajibu tuhuma ila kusema eti hajawahi kukutana na Kimei tokea azaliwe ni usanii mtupu. Akanushe zile tuhuma moja baada ya nyingine na sio kuwasumbua wakina Mnyika.
 
dr slaa na mbowe toeni tamko tuwe huru na haya majitu ya ccm mtandaoni

Mtatizo ya Chadema yamo zaidi mitandaoni na sasa yameingia magazetini. tunaopitia humu ndio tumejua hali ilpofika. NI vizuri moto huu ukazimwa mapema kwa kuwaita wahusika na kuwapa nafasi ya kujieleza Japokuwa wao walitakiwa wafikishe mashtaka mbele ya chama
 
Maelezo ya Mnyika yamekaa kihuni sana, inaonyesha jinsi gani viongozi wa hili genge wasivyojali hisia za wengine, hasa wasio..........

Ile taarifa ingekuwa inamgusa Mbowe, Slaa au babu Eduu....wangeandaa mkutano wa dharura fasta na kenta ya matofali alafu Lema angemtandika mtoa taarifa (ambaye wanamjua ) huku Babu, Mbowe na dokta wakishuhudia.
 
Nimefatilia sana matamko ya Zitto na Mkumbo na nimeona niwashauri wafanye yafatayo ili kujiosha na shutuma hizi juu yao.
1. Zitto weka wazi kama kweli unafahamiana na yule mwanamke raia wa Ujeruman na imekuwaje wachafuzi wako waku connect naye?
2. Zitto hupokei posho na huli rushwa, tueleze unawezaje kumiliki nyumba kubwa ya gorofa na gari expensive aina ya Range Rover New Model?
3. Zitto hivi umewahi kuwatumia pesa washutumiwa wale wote kwa njia ya mitandao ya simu? Kitila, Shibuda, mwampambe, shonza nk.
4. Zitto unafahamu hizi shtuma hazijakilenga chama ila wewe na wenzio indidually; na wala chama hakijatoa shutuma hizo bali watu binafsi kama wao. Sasa inakuwaje unadai kumtaka katibu mkuu kutoa tamko? Kwani yeye atoe tamko kwa kukusemea wewe au kuwasemea wale wanaokushutumu ambao naye hawajui pia? Humtendei haki kiongozi yeyote wa chama kutaka akutetee. Kwanini usimtake na kumwomba mtuhumiwa mwenzio Ben Sanane anayeonekana mda wote JF akusaidie kueleza ukweli? Unaogopa anaweza kuharibu zaidi?
5. Zitto wewe ni kiongozi mkubwa Chadema lakini unadai umemwandikia barua katibu mkuu wa chama chako juu ya swala hili hajarespond; je hamna mazoea ya kuwasiliana kwa simu wakat mwingine hata na Mweyekiti wako? Twambie kabla hata ya wao kuja na thibitisho au kanusho unazotaka lakini wanakushaurije au wanakwambije juu ya kashifa hii? Au hamuwasiliani?
6. Zitto mikutano yako ya kichama na ziara zako zote mikoani kwa sasa zinaratibiwa kichama? Ziko kwenye ratiba ya ziara za viongozi wa chama? Huwa unarudisha mrejesho? Unwasilisha wapi mrejesho? (Feedback)
Dr Kitila ntakujia baadae jiandae kujibu tuhuma sio kupanic na kudai huongeki. Wewe bado sana kuridhika kifedha kaka nakufahamu. Jibu tu shutuma tene kwa busara na hekima ujikoshe!!

Tiger One hapa umeuliza maswali ya msingi kabisa.Naomba uni-cc mara tu atakapokujibu.
Hasa hilo swali la 4,ndio utakata mzizi wa fitina....asitake kutupoteza muda wa viongozi wake wana majukumu ya muhimu ya kukijenga chama,na si hizi shutuma dhidi yake.

Mwisho nimpongeze sana Mnyika kwa weledi na ufanisi wa kuufunga huu mjadala kistaarabu.
ZZK kama haridhiki awatafute wabaya wake aende mahakamani fullstop
 
Mnyika awajibu

Hata hivyo, Katibu Mwenezi wa Chadema, John Mnyika ameikana ripoti hiyo na kueleza kuwa haijaandikwa na makao makuu ya Chadema.

Mnyika alisema Zitto ameibua kitu ambacho anafahamu kuwa kimeshughulikiwa na uongozi wa chama hicho.

“Zitto anajua kuwa Andrea Cordes aliniandikia baruapepe na nakala kwake nikawajibu kuwa ripoti hiyo haijaandikwa na Makao Makuu ya chama na tukipokea malalamiko rasmi tutachunguza kwa sasa chama kinaichukulia ripoti hiyo kama ripoti nyingine zinazosambazwa mitandaoni,” alifafanua Mnyika.

Akizungumzia malalamiko ya Dk Mkumbo, Mnyika alisema alikuwa anapaswa kufuata taratibu za chama kama alikuwa na malalamiko.

Alisema baada ya taarifa hiyo ya siri kusambaa mtandaoni, Zitto alitoa kauli na kama Dk Mkumbo hakuridhika, alipaswa kuonana na watu wa Idara ya Uenezi ya Chadema.

“Idara ingetoa ufafanuzi zaidi. Mjadala huu usikuzwe bila sababu za msingi na kufunika masuala mengine muhimu ya kitaifa,” alisema Mnyika.

Well said Right answers at the right time...Mmejifunza nini kutoka kwa JJ @Nape na ZZK?
 
Hata kama Zitto ataruka sarakasi kiasi gani, kuna kaukweli fulani hivi za hizi ripoti kumhusu yeye. Huwezi kushutumiwa tu mara kwa mara kwa facts, ina maana watu wote hao wanakuchukia kivile!? Zitto, mienendo yako haijanyooka. Kazi unazozifanya ni personal na sio za kichama. Ili uaminike, wakane hao wenzio wa CCM na TISS na urudi kukijenge CHAMA pamoja na wenzio. GLORY CAN NOT BE ALL YOURS.
 
Huu mkajadala umefugwa..magamba kwa mara nyingine tena mmeshindwa.chadema ni mpango wa Mungu...Tulianza Na Mungu na tutamaliza na Mungu.
 
Kosa la kitila sijaliona yeye mnyika na wenzake akina yericko,ben na wahuni wengine ndiyo chanzo cha huu mgogoro kwa nini hajawakanya akina ben na yeriko wakati wanamchafua zito na kwa nini hajatoa tamko dhidi ya tamko linalodaiwa kuwa limetoka makao makuu ambalo linamchafua kitila na zitto.

Mnyika naye anavuliwa nguo siku hizi

akili sio zake

Lema, Ben, Yeriko Nyerere na Nassari walituma tuma vi post vyao KWA KIONGOZI WA CHAMA, NAIBU KATIBU MKUU WA CHAMA.....................ALL THOSE WHILE MNYIKA ALIKAA KIMYA

TOFAUTI YA MNYIKA NA UTENDAJI WA CCM NI NINI??

-------- HUYU DOGO
 
Namsubiri dr.slaa aje atoe tamko linalopingana na mnyika kama kawaida yake bandugu si mnakumbuka kwenye ishu ile ya katiba ya chama ya kamanda mwigamba? Muvi bado haijaisha...!!!
 
Kwani kifupi cha "Chama cha Msimu" ni nini kama siyo CCM? Naona akili zako zote umeziacha Lumumba wewe!

TAA=TANU=CCM Ni kitu kimoja na kina zaidi ya miaka 50 wewe unaita ni chama cha msimu pole sana kijana.
 
Back
Top Bottom