Molemo usjifanye mtoto wewe u mtu mzima lakini unataka kujilinganisha na junior kiakili jambo ambalo ni baya sana.
zito amechafuliwa mara kibao kwenye mitandao hata kwenye vikao vyenu halali na vile vya siri kisa madaraka dhambi hiyo itawatafuna tu.
Simiyu yetu mnachekesha wanyama na watalii,hivi nyie maccm,lini mmegeuka kuipenda chadema kiasi kwamba mnaingiwa huruma na kuteseka kwa kuchafuliwa ZZK?
Hivi kama kweli madai yenu ni ya kweli kwamba ZZK ni kiongozi bora,imara,iweje mnataka kiongozi atakaesababisha mng'olewe madarakani?hivi simiyu yetu unayajua lengo la kwanza lililopo kwenye katba yenu ya ccm?huenda hujui,linasema hivi,ukurasa wa tano;kushinda ktk uchaguzi wa Serikali za mitaa Tz bara na znz ili kuuunda na kushika Serikali kuu na Serikali za mitaa ktk jamuhuri ya muungano wa Tanzania kwa upande mmoja na znz kwa upande wa pili.
Sasa tunachojiuliza wengi ni hv,iweje leo mnampigania kiongozi mahiri ili msitimize malengo yenu?ndo maana tunamtilia mashaka ZZK.
Tumieni akili maccm.